‘Bibi wa unga’ amwaga machozi mahakamani
Hatimaye bibi raia wa Nigeria aliyekamatwa na dawa za kulevya kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere(JNIA), jana aliangua kilio baada ya kupandishwa kizimbani na kusomewa shtaka la kusafirisha dawa za kulevya.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania05 Mar
Mbasha amwaga machozi mahakamani
Na Veronica Romwald, Dar es Salaam
MWIMBAJI wa muziki wa injili, Emmanuel Mbasha, anayekabiliwa na kesi ya kumbaka mtoto wa miaka 17, jana alitoka kwenye chumba cha Mahakama ya Wilaya ya Ilala akibubujikwa machozi.
Hali hiyo ilimtokea mara baada ya shahidi wa pili wa kesi hiyo, aliyejulikana kwa jina la Suzan, kutoa ushahidi wake.
Kwa kuwa kesi hiyo inasikilizwa kwenye chemba (chumba maalumu ambacho waandishi na watu wasiohusika hawaruhusiwi kuingia) haikuweza kujulikana mara moja ni kitu...
11 years ago
Habarileo25 Apr
Mjumbe amwaga machozi Bungeni
MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba na Kadhi Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Shehe Hamid Masoud Jongo jana alimwaga machozi bungeni kwa kile alichodai ni masikitiko yake kuona waasisi wa Taifa wanatukanwa na vijana wadogo wajumbe wa Bunge hilo.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LzPfBre8N7YHCUMZSAUFMC08ni5sPphno3Ol9WMuwVhPT07Crl-0RhIgCA0EXSMhrwIGchBf50Seb0VJ2789eDkpoxrZ8Qrm/g.jpg)
ZITTO AMWAGA MACHOZI UKUMBINI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/j2M1I3T7jznEY2dhcR9JqNjmOuEg3Y3dztivbrWY4W0kQTb2rqylyTkN0**Dc9bGCv4t7jN5jT1yYp0O6-Yg1OHrfdTrmGlk/hihgh.jpg?width=650)
ROSE MUHANDO AMWAGA MACHOZI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZNt8FIknlRPr1o-Ur1pb3QNFEshmGvh7FXKtiAzx5tOtbtK2FK36hFTjd5af*6GyaSA-c9t4NRleGT*xDA1P9ghE8MdcoyfS/Image5copy.jpg?width=650)
GODWIN GONDWE AMWAGA MACHOZI!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rhqcRsJl7aRXbx4z4nH0iXT6gtjKm-B7BqMqpNL7MD*ST0jdItoDAJmaC6pEf7QtgWJH3Wkx7T2Bbme0z3*6ljm*g3ggapC1/AUNTY_EZEKIEL661.jpg?width=650)
AUNT AMWAGA MACHOZI KULAANIWA KIFO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bsmQVYBkFPi8ITDN-D6u3EQcSr5f5jiFIy*omumexKqsmfntV3Chx2ZKrUSdqVTQqI45O08V3mY0zpkFVZHN8gfrPrwL-sEr/tambwe.jpg)
Tambwe amwaga machozi Simba, atimkia kwao
11 years ago
Mwananchi26 May
Bibi wa ‘unga’ kupandishwa kizimbani leo
11 years ago
Mwananchi28 May
Bibi wa ‘unga’ asomewa shtaka, apanda kizimbani