Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Madabiba atakiwa kuachia ngazi CCM

KADA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kibonde Bwawe, amemtaka Mwenyekiti wa chama hicho Mkoa wa Dar es Salaam, Ramadhani Madabida, kujiuzulu wadhifa wake ili kukiepusha chama kupakwa matope kutokana na...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Dk. Dau atakiwa kuachia ngazi

KAMATI ya Kudumu ya Bunge inayoshughulika na Mashirika ya Umma (PAC), imemtaka Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Dk. Ramadhan Dau, aachie nafasi ya ukatibu wa Kamati...

 

10 years ago

Habarileo

Nyalandu atakiwa kuachia ngazi

Lazaro Nyalandu.WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu amebanwa bungeni huku baadhi ya wabunge wakimtaka ajiuzulu, kutokana na kile kilichoelezwa amesababisha Shirika la Hifadhi la Taifa (TANAPA) na Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro kupoteza Sh bilioni mbili kila mwezi.

 

10 years ago

GPL

MWAKIFWAMBA KITANZINI, ATAKIWA KUACHIA NGAZI!

  HAMIDA HASSAN
KIBANO! Rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania (Taff), Simon Mwakifwamba amejikuta kwenye wakati mgumu kwenye mkutano mkuu wa mwaka uliofanyika kwenye ofisi za shirikisho zilizopo Kinondoni, Dar akitakiwa kuachia ngazi.
Habari kutoka kwa sosi aliyekuwa ndani ya kikao hicho zilinyetisha kwamba, wanachama wa shirikisho hilo walisema wamechoshwa na rais huyo na kwa sababu muda wake umekwisha, alitakiwa kuachia...

 

10 years ago

StarTV

Blatter atakiwa kuachia ngazi FIFA

Mjumbe wa zamani wa shirikisho la soka duniani amesema kuwa heshima ya Fifa haitaweza kurudi mpaka pale Rais Wa shirikisho hilo Sepp Blatter atakapoachia ngazi.

 
Michael Hershman ameiambia BBC kuwa Sepp blatter hanabudi kuondoka na kupisha mtu mwingine kukiongoza chombo hicho.

 

 
Amedai kuwa hivi sasa yanatakiwa mabadiliko ya uongozi baada ya Fifa kuwa katika mlolongo wa shutuma za rushwa kwa miaka mingi,hivyo basi ni vyema uongozi ukabadilika.

 

 
Blatter amekuwa Rais wa shirikisho...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mwenyekiti Wazo atakiwa kuachia ngazi

WANANCHI wa Mtaa wa Kilimahewa, Kata ya Wazo, Dar es Salaam, wametishia kufunga ofisi ya Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa huo, endapo hatakubali kuachia ngazi. Wakazi hao wamekuwa na mvutano...

 

10 years ago

BBCSwahili

Sapp Blatter atakiwa kuachia ngazi FIFA

Mjumbe wa zamani wa shirikisho la soka duniani amesema kuwa Rais wa shirikisho hilo Sepp Blatter anapaswa kuachia ngazi.

 

9 years ago

Habarileo

Katibu Taboa atakiwa kuachia uongozi

WANACHAMA wa Chama cha Wamiliki wa Mabasi Tanzania (Taboa) wamemtaka Katibu Mkuu wa chama hicho, Enea Mrutu kuachia uongozi kwa madai ya kushindwa kufatilia maslahi yao serikalini.

 

10 years ago

Vijimambo

BAADA YA KUTANGAZA KUACHIA NGAZI KWA KOCHA BORUSSIA DORTMUND WENGER TUMBO JOTO


JURGEN KLOPP

Jurgen Klopp kocha wa Borussia Dortmund ametangaza kuachia ngazi kuifundisha timu hiyo  ya Ujerman, Jurgen mwenye umri wa miaka 47 amekuwa kocha wa Borussia kwa miaka saba na kuiwezesha kutwaa ubigwa wa Bundesliga mara mbili na pia kuiwezesha timu hiyo kuingia fainali za Club bingwa Ulaya mara moja. Jurgen katangaza nia hiyo ya kuachana na timu hiyo baada ya ligi kumalizika na anatamani kufundisha moja ya timu za ligi ya Barclay Premier League  na baada ya kusikia hivyo kocha wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani