BAADA YA KUTANGAZA KUACHIA NGAZI KWA KOCHA BORUSSIA DORTMUND WENGER TUMBO JOTO
JURGEN KLOPP
Jurgen Klopp kocha wa Borussia Dortmund ametangaza kuachia ngazi kuifundisha timu hiyo ya Ujerman, Jurgen mwenye umri wa miaka 47 amekuwa kocha wa Borussia kwa miaka saba na kuiwezesha kutwaa ubigwa wa Bundesliga mara mbili na pia kuiwezesha timu hiyo kuingia fainali za Club bingwa Ulaya mara moja. Jurgen katangaza nia hiyo ya kuachana na timu hiyo baada ya ligi kumalizika na anatamani kufundisha moja ya timu za ligi ya Barclay Premier League na baada ya kusikia hivyo kocha wa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/81315000/jpg/_81315455_dortmund-getty.jpg)
Borussia Dortmund 3-0 FC Schalke 04
9 years ago
BBC![](http://c.files.bbci.co.uk/54CC/production/_85780712_aubameyang.jpg)
Borussia Dortmund 2-2 Darmstadt
10 years ago
BBCSwahili29 Apr
Borussia Dortmund yatinga fainali
10 years ago
BBCSwahili21 Dec
Borussia Dortmund yatishiwa kushushwa
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/83189000/jpg/_83189925_kloppgetty2.jpg)
Borussia Dortmund 3-2 SV Werder Bremen
9 years ago
BBC![](http://c.files.bbci.co.uk/6D1F/production/_85653972_pierredortmundgetty.jpg)
Borussia Dortmund 3-0 Bayer Leverkusen
9 years ago
Dewji Blog08 Nov
Kocha Arsene Wenger akasirika baada ya kugundua Harry Kane aliruhusiwa kutoka katika Academy ya Arsenal
Kocha wa Arsenal, Arsene Wenger.
Mshambuliaji wa Tottenham Hotspur, Harry Kane.
Na Rabi Hume
Kocha wa Arsenal, Mfaransa Arsene Wenger amesema alikasirika kidogo baada ya kugundua mshambuliaji wa Tottenham Hotspur, Harry Kane aliruhusiwa kutoka katika kituo cha kukuzia vipaji (academy) ya Arsenal na kuhamia academy ya wapinzani wao wakubwa klabu ya Tottenham.
Wenger amezungumzia habari hiyo wakati akizungumza na waandishi wa habari kuelekea mchezo wa ligi kuu ya Wingereza kesho jumapili...
5 years ago
Mirror Online19 Mar
Man Utd ready to break bank to seal Jude Bellingham transfer ahead of Borussia Dortmund