Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sapp Blatter atakiwa kuachia ngazi FIFA

Mjumbe wa zamani wa shirikisho la soka duniani amesema kuwa Rais wa shirikisho hilo Sepp Blatter anapaswa kuachia ngazi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

StarTV

Blatter atakiwa kuachia ngazi FIFA

Mjumbe wa zamani wa shirikisho la soka duniani amesema kuwa heshima ya Fifa haitaweza kurudi mpaka pale Rais Wa shirikisho hilo Sepp Blatter atakapoachia ngazi.

 
Michael Hershman ameiambia BBC kuwa Sepp blatter hanabudi kuondoka na kupisha mtu mwingine kukiongoza chombo hicho.

 

 
Amedai kuwa hivi sasa yanatakiwa mabadiliko ya uongozi baada ya Fifa kuwa katika mlolongo wa shutuma za rushwa kwa miaka mingi,hivyo basi ni vyema uongozi ukabadilika.

 

 
Blatter amekuwa Rais wa shirikisho...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Dk. Dau atakiwa kuachia ngazi

KAMATI ya Kudumu ya Bunge inayoshughulika na Mashirika ya Umma (PAC), imemtaka Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Dk. Ramadhan Dau, aachie nafasi ya ukatibu wa Kamati...

 

10 years ago

Habarileo

Nyalandu atakiwa kuachia ngazi

Lazaro Nyalandu.WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu amebanwa bungeni huku baadhi ya wabunge wakimtaka ajiuzulu, kutokana na kile kilichoelezwa amesababisha Shirika la Hifadhi la Taifa (TANAPA) na Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro kupoteza Sh bilioni mbili kila mwezi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Madabiba atakiwa kuachia ngazi CCM

KADA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kibonde Bwawe, amemtaka Mwenyekiti wa chama hicho Mkoa wa Dar es Salaam, Ramadhani Madabida, kujiuzulu wadhifa wake ili kukiepusha chama kupakwa matope kutokana na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mwenyekiti Wazo atakiwa kuachia ngazi

WANANCHI wa Mtaa wa Kilimahewa, Kata ya Wazo, Dar es Salaam, wametishia kufunga ofisi ya Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa huo, endapo hatakubali kuachia ngazi. Wakazi hao wamekuwa na mvutano...

 

10 years ago

GPL

MWAKIFWAMBA KITANZINI, ATAKIWA KUACHIA NGAZI!

  HAMIDA HASSAN
KIBANO! Rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania (Taff), Simon Mwakifwamba amejikuta kwenye wakati mgumu kwenye mkutano mkuu wa mwaka uliofanyika kwenye ofisi za shirikisho zilizopo Kinondoni, Dar akitakiwa kuachia ngazi.
Habari kutoka kwa sosi aliyekuwa ndani ya kikao hicho zilinyetisha kwamba, wanachama wa shirikisho hilo walisema wamechoshwa na rais huyo na kwa sababu muda wake umekwisha, alitakiwa kuachia...

 

10 years ago

Vijimambo

SEPP BLATTER AACHIA NGAZI KUONGOZA CHOMBO KIKUBWA KABISA KINACHOONGOZA MPIRA WA MIGUU DUNIA FIFA LICHA YA JUZI JUZI TU KUSHINDA KWA KISHINDO


Kutoka na tuhuma za rushwa ilichokikumba chama cha soka duniani FIFA rais wake ajiuzulu. Habari zaidi kuwaletea kwaiyo endelea kukodolea macho blog yako ya jamii Vijimambo.

 

9 years ago

Habarileo

Katibu Taboa atakiwa kuachia uongozi

WANACHAMA wa Chama cha Wamiliki wa Mabasi Tanzania (Taboa) wamemtaka Katibu Mkuu wa chama hicho, Enea Mrutu kuachia uongozi kwa madai ya kushindwa kufatilia maslahi yao serikalini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani