Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAKUNDI BUNGE LA KATIBA NI MPASUKO

NIMSHUKURU Mungu kwa kuniwezesha kuwa nanyi leo na kuniwezesha kuandika haya nitakayoandika hapa, hakika Mungu ahimidiwe. Hivi sasa kuna mkusanyiko wa wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba bungeni Dodoma, awali kukutana kwao kulitia faraja na matumaini na wananchi wakawa na matarajio na matamanio makubwa kuona katiba mpya inakuja baada ya mijadala makini ya wajumbe. Wengi tunatarajia kuona Tanzania ya kesho ikiwa na haki, usawa,...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

KATIBA: Taasisi yasaka tiba mpasuko Bunge la Katiba

>Taasisi inayojishughulisha na Utafiti wa Sera za Umma Zanzibar (ZIRPP) imeunda kamati ya watu sita ya kuwaunganisha wajumbe wa Bunge la Katiba kutoka Zanzibar ili kuondoa tofauti zao za kiitikadi zilizosababisha mgawawiko mkubwa.

 

11 years ago

Mwananchi

Wajumbe Bunge la Katiba kuchangia kwa makundi

>Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Pandu Ameir Kificho ametoa mwongozo wa namna wajumbe wa Bunge hilo wanavyopaswa kuchangia mijadala bungeni.

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali yataja rasmi makundi ya kuunda Bunge Maalumu la Katiba

>Serikali imeyataka makundi mbalimbali ya watu yanayopenda majina yao kuteuliwa kuwa Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, kufanya hivyo kabla ya Januari 2, 2014 saa tisa alasiri.

 

11 years ago

Mwananchi

Makundi chanzo cha vurugu, mivutano Bunge la Katiba [VIDEO]

Uwepo wa makundi haya na kutambuliwa kwake na bunge kunachochea mgawanyiko na kujenga uhasama baina ya wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba.

 

11 years ago

Habarileo

Mpasuko Bunge Maalum wapata tiba

MWENYEKITI wa muda wa Bunge Maalumu la Katiba, Pandu Ameir Kificho ameunda kamati ya mashauriano na maridhiano inayohusisha watu wenye busara ambao wamepewa jukumu la kuafikiana wao wenyewe ni kura gani ipigwe katika kupitisha ibara mbalimbali za rasimu ya katiba.

 

10 years ago

Michuzi

TAARIFA YA WAWAKILISHI WA TAASISI ZA DINI WA BUNGE MAALUM LA KATIBA TOKA WAJUMBE 201 KUHUSU MWENENDO WA SHUGHULI ZA BUNGE MAALUM LA KATIBA

 Sisi Wawakilishi wa Jumuiya na Taasisi za Dini, tuliopendekezwa na Taasisi zetu na baadaye kuteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, baada ya kushauriana na Rais wa Zanzibar kuwa Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba, na kula kiapo cha utekelezaji wa jukumu hili kubwa.Tukiamini kuandaa Katiba Mpya kwa maridhiano ya Kitaifa kwa wananchi wote, tulipokea jukumu hili kama wajibu wetu Kitaifa.  Aidha tunaamini kwamba katika kupata maridhiano ya Kitaifa ni muhimu kuheshimu kila wazo na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Bunge limeyasahau makundi mengine’

MKUFUNZI wa Chuo cha Mafunzo ya Jinsia cha Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP), Dorothy Mbilinyi, amesema Bunge limekuwa na malumbano ya serikali tatu, mbili na muungano wakati kuna makundi muhimu...

 

11 years ago

Habarileo

Vyama kuondoa makundi Bunge Maalum

VIONGOZI wa vyama vya siasa nchini wameanza kujadili namna ya kuondoa makundi katika Bunge maalumu la Katiba kwa njia ya mazungumzo, yakielezwa ndivyo yanayosababisha migogoro iliyopo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani