Wajumbe Bunge la Katiba kuchangia kwa makundi
>Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Pandu Ameir Kificho ametoa mwongozo wa namna wajumbe wa Bunge hilo wanavyopaswa kuchangia mijadala bungeni.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi28 Jul
SHEIKH OMARY AMPONGEZA JK KWA MCHAKATO WA KATIBA AONYA WAJUMBE WA BUNGE LA KATIBA
Sheikh wa msikiti wa Hidaya katika manispaa ya ...
11 years ago
Tanzania Daima16 Feb
Ujumbe kwa wajumbe wa Bunge la Katiba
WAJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba keshokutwa watakutana mjini Dodoma kwa ajili ya kuanza kwa Bunge hilo ambalo linatarajiwa kudumu kwa takriban siku 70 au 90 kwa mujibu wa sheria...
11 years ago
Michuzi15 Feb
11 years ago
Michuzi13 Feb
11 years ago
Mwananchi21 Mar
Ushauri wa #Kikwete kwa wajumbe wa #Bunge la #Katiba [VIDEO]
Rais Jakaya Kikwete amewataka wajumbe kufanya kazi ilowapeleka Dodoma, kwa kuhakiki na kuichambua kwa kina Rasimu ya Pili iliyowasilishwa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba mnamo Jumanne.
10 years ago
Michuzi04 Sep
TAARIFA YA WAWAKILISHI WA TAASISI ZA DINI WA BUNGE MAALUM LA KATIBA TOKA WAJUMBE 201 KUHUSU MWENENDO WA SHUGHULI ZA BUNGE MAALUM LA KATIBA
Sisi Wawakilishi wa Jumuiya na Taasisi za Dini, tuliopendekezwa na Taasisi zetu na baadaye kuteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, baada ya kushauriana na Rais wa Zanzibar kuwa Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba, na kula kiapo cha utekelezaji wa jukumu hili kubwa.Tukiamini kuandaa Katiba Mpya kwa maridhiano ya Kitaifa kwa wananchi wote, tulipokea jukumu hili kama wajibu wetu Kitaifa. Aidha tunaamini kwamba katika kupata maridhiano ya Kitaifa ni muhimu kuheshimu kila wazo na...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-kd73LQSybdo/UwNVKi9BisI/AAAAAAAFNyQ/emfkmYBa4os/s72-c/534807487.jpg)
UWT YAMPONGEZA RAIS KIKWETE KWA UTEUZI WA WAJUMBE WA BUNGE LA KATIBA
![](http://3.bp.blogspot.com/-kd73LQSybdo/UwNVKi9BisI/AAAAAAAFNyQ/emfkmYBa4os/s1600/534807487.jpg)
Umoja wa Wanawake wa Tanzania (UWT) umempongeza Mhe. Rais Dk. Jakaya Mrisho Kikwete kwa uteuzi wa wajumbe wa Bunge la Katiba linalotarajia kuanza leo Mjini Dodoma.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo jijini Dar es Salaam kwa vyombo vya habari na kusainiwa na Naibu Katibu Mkuu wa Umoja huo Eva Mwingizi ilisema uteuzi wa Rais umezingatia umri, weledi, uzoefu na uwakilishi wa makundi mbalimbali ya kijamii.
Mwingizi alisema uteuzi huo umeangalia asilimia 50 ya...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0jwS8IDgkuUjcJqdYGnrRZEuHN5tpgYhhhWyFZA-BL8FySLUF14Ko-D5yq6phURelO9zejFH5aLVmgDNBGWpsZIYLxSZLcby/bunge.jpg?width=650)
MAKUNDI BUNGE LA KATIBA NI MPASUKO
NIMSHUKURU Mungu kwa kuniwezesha kuwa nanyi leo na kuniwezesha kuandika haya nitakayoandika hapa, hakika Mungu ahimidiwe. Hivi sasa kuna mkusanyiko wa wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba bungeni Dodoma, awali kukutana kwao kulitia faraja na matumaini na wananchi wakawa na matarajio na matamanio makubwa kuona katiba mpya inakuja baada ya mijadala makini ya wajumbe. Wengi tunatarajia kuona Tanzania ya kesho ikiwa na haki, usawa,...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania