Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MPASUKO FAMILIA YA DIAMOND!

Mwandishi wetu Breaking news! Saa chache kabla ya ile sherehe ya kukata na shoka ya 40 ya mtoto wa staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Latifah Nasibu ‘Princess Tiffah’ inayotarajiwa kufanyika mapema kesho, ndani ya familia hiyo kunadaiwa kuibuka bonge la mpasuko. Mpenzi wa Diamond Platnumz, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ akiwa na mtoto wake. Habari kutoka kwa chanzo makini ndani ya familia hiyo...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MPASUKO FAMILIA YA MANDELA

Stori: Mwandishi Wetu na mitandao HOFU kuu iliyopo sasa nchini Afrika Kusini kufuatia kifo cha aliyekuwa rais wa kwanza mweusi, Nelson Mandela ‘Mzee Madiba’ ni kupasuka kwa familia yake baada ya mazishi yatakayofanyika kesho kijijini Qunu, Eastern Cape Mkoa wa Mthatha. Baadhi ya wananchi nchini humo wameonesha wasiwasi wao kuhusu hatima ya mjane wa marehemu Mandela, Graca Machel kwamba, huenda akatengwa kutokana na...

 

11 years ago

GPL

WEMA, PENNY WAIPASUA FAMILIA YA DIAMOND

Stori: GLADNESS MALLYA NA CHANDE ABDALLAH BOOOM! Katika hali ya kushangaza, mastaa wawili Bongo, mwigizaji Wema Isaac Sepetu na mtangazaji wa DTV, Penniel Mungilwa ‘Penny’ wanadaiwa kuipasua familia ya kinara wa Bongo Fleva, Nasib Abdul ‘Diamond Platnumz’, Ijumaa Wikienda lina ripoti kamili. Wema akiwa na Diamond Platinum. Kwa mujibu wa chanzo makini ambacho ni mtu wa karibu na familia hiyo kuna...

 

9 years ago

GPL

FAMILIA YA DIAMOND YAMMWAGA RASMI ZARI!

Brighton Masalu THE game is over! Sasa ni wazi kuwa familia ya staa mkubwa wa muziki wa kizazi kipya Bongo, Nasibu Abdul ‘Diamond Plutnamz’ imemtema rasmi mzazi mwenzake Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ kwa kile wanachodai …. “Tumechoshwa na uzungu wake”, Risasi Mchanganyiko linaweza kuandika.  ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1RVi9bR ...

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Diamond alivyoungana tena na familia yake South

11939678_1015510408471958_1941126011_n

Diamond Platnumz ameungana tena na familia yake nchini Afrika Kusini.

11939678_1015510408471958_1941126011_n

Muimbaji huyo wa Nana aliyeenda nchini humo kwaajili ya maandalizi ya show ya BET Experience Africa, ametumia fursa hiyo kuonana tena na mchumba wake Zari The Bosslady na mwanae, Tiffah.

12256718_1547605398862789_119335777_n

Kupitia Instagram, Diamond ameonesha picha akiwa na familia hiyo wakizunguka kwenye mitaa ya mji (ambao hakutaja ni upi).

12298768_790775771032380_1837771578_n

“I always wanted to be a Good Daddy & Hubby!!!… #FamilyTime katoto kanapenda picha haka eti kanachungulia,”...

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Zari, Diamond washerehekea msimu wa Christmas kwenye yacht na familia

1739465_457224814468540_1238534898_n

Ulisherehekea vipi sikukuu ya Christmas na boxing day?

1739465_457224814468540_1238534898_n

Kwa Diamond na first lady wake, Zari the Bosslady ilikuwa ni mwendo wa kuyakata maji kwenye yacht tu.

11264592_1065574703487275_1757651773_n

Mastaa hao walikodi yacht na kuelekea kwenye kisiwa cha maraha cha Mbudya wakiwa na ndugu zao. Waliojumuika ni pamoja na dada zake Diamond, Esma na Queen Darleen, AY, meneja Sallam na wengine.

1172960_1662537087362603_78202417_n

Tazama picha zao:

12393763_920762141325762_1879445229_n

12317944_444291532434115_1088547502_n

12339048_1687418584876834_1571760568_n

12357568_437426533128956_1832108583_n

12362090_787860254675994_1368957484_n

Katika hatua nyingine, Diamond alipata muda wa kuspend na mwanae Tiffah kabla ya kwenda Nigeria Jumatatu hii kwaajili...

 

11 years ago

Michuzi

Kipindi cha familia kutoka Jamii Productuion...BAJETI KATIKA FAMILIA (Pt II)

Photo credits: moneymanagement.org Karibu katika kipindi cha FAMILIA kutoka Jamii Production. Katika kipindi hiki, tumeingia katika sehemu ya pili ya mjadala kuhusu BAJETI KATIKA FAMILIA ambapo mbali na historia ya bajeti, pia tumesisitizwa kuhusu umuhimu wake, namna ya kulitekeleza na mengine mengi. Wachangiaji studio walikuwa ni Amos Cherehani ambaye ni mtaalamu wa masuala ya fedha, Denzel Musumba na Mubelwa Bandio KARIBU UUNGANE NASI

 

9 years ago

Michuzi

WAFANYAKAZI WA MGODI WA BUZWAGI WASHEREKEA SIKU YA FAMILIA NA FAMILIA ZAO.

Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii aliyekuwa Kahama.BUZWAGI imeanzisha mkakati wa kukuza na kuboresha hali ya utendaji kazi kwa wafanyakazi wake kwa kuanzisha utaratibu wa kuwakutanisha wafanyakazi wa mgodi huo na familia zao mara moja kwa mwaka katika siku maalumu ya familia ambayo hutoa fursa kwa familia za wafanyakazi wa mgodi huo kuweza kujionea namna ambavyo shughuli za uchimbaji wa madini hufanyika na hivyo kuwa mabalozi wazuri wa kampuni kwa ujumla.
Mwaka huu wafanyakazi wa kampuni...

 

11 years ago

Habarileo

Mpasuko Ukawa

Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba ambaye pia ni mwanachama wa CHADEMA, Leticia Nyerere (kushoto) akitoka kujaza fomu ya mahudhurio ya vikao vya Bunge hilo huku akisindikizwa na mjumbe mwenzake, Steven Ngonyani, Bungeni mjini Dodoma jana. (Na Mpigapicha Wetu).KUMEKUCHA katika Bunge Maalumu la Katiba, ambapo sasa baadhi ya wajumbe wa Bunge hilo wa kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), wamekiuka viapo na vitisho vya viongozi wao, kwa kuamua kutinga bungeni.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani