Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Picha: Diamond alivyoungana tena na familia yake South

11939678_1015510408471958_1941126011_n

Diamond Platnumz ameungana tena na familia yake nchini Afrika Kusini.

11939678_1015510408471958_1941126011_n

Muimbaji huyo wa Nana aliyeenda nchini humo kwaajili ya maandalizi ya show ya BET Experience Africa, ametumia fursa hiyo kuonana tena na mchumba wake Zari The Bosslady na mwanae, Tiffah.

12256718_1547605398862789_119335777_n

Kupitia Instagram, Diamond ameonesha picha akiwa na familia hiyo wakizunguka kwenye mitaa ya mji (ambao hakutaja ni upi).

12298768_790775771032380_1837771578_n

“I always wanted to be a Good Daddy & Hubby!!!… #FamilyTime katoto kanapenda picha haka eti kanachungulia,”...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Mpiga picha na familia yake wauawa Burundi

Mpiga picha wa runinga ya taifa nchini Burundi, pamoja na familia yake wameuawa katika mji mkuu Bujumbura.

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Zari, Diamond washerehekea msimu wa Christmas kwenye yacht na familia

1739465_457224814468540_1238534898_n

Ulisherehekea vipi sikukuu ya Christmas na boxing day?

1739465_457224814468540_1238534898_n

Kwa Diamond na first lady wake, Zari the Bosslady ilikuwa ni mwendo wa kuyakata maji kwenye yacht tu.

11264592_1065574703487275_1757651773_n

Mastaa hao walikodi yacht na kuelekea kwenye kisiwa cha maraha cha Mbudya wakiwa na ndugu zao. Waliojumuika ni pamoja na dada zake Diamond, Esma na Queen Darleen, AY, meneja Sallam na wengine.

1172960_1662537087362603_78202417_n

Tazama picha zao:

12393763_920762141325762_1879445229_n

12317944_444291532434115_1088547502_n

12339048_1687418584876834_1571760568_n

12357568_437426533128956_1832108583_n

12362090_787860254675994_1368957484_n

Katika hatua nyingine, Diamond alipata muda wa kuspend na mwanae Tiffah kabla ya kwenda Nigeria Jumatatu hii kwaajili...

 

11 years ago

Bongo5

Picha: Davido apokewa na Rais Kagame na familia yake alipowasili uwanja wa ndege, Rwanda

Mshindi wa tuzo ya BET 2014 pamoja na tuzo mbili za MTV (MAMA) Davido kutoka Nigeria, Ijumaa iliyopita amepewa heshima kubwa nchini Rwanda kwa kupokewa uwanja wa ndege na Rais wa nchi hiyo Paul Kagame na familia yake. Rais Kagame aliongozana na mke wake pamoja na watoto wao kwenye uwanja wa ndege kumlaki staa huyo […]

 

9 years ago

Bongo Movies

Picha: Kajala Akijiachia na Dada Yake Diamond!

HUKU kukiwa na madai kwamba mwigizaji Kajala Masanja ana uhusiano wa ‘kikubwa’ na Mbongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, mwigizaji huyo amezidi kuyachochea moto madai hayo kwa kutokana na kujiachia mara kwa mara na dada wa Diamond, Queen Darleen, Risasi Mchanganyiko linakujuza.

Kwa mujibu wa chanzo makini, Kajala na Queen Darleen wamekuwa ‘beneti’ kila kona ambapo pia kuna fununu kuwa hata familia ya Diamond imebariki uhusiano wake na Mbongo Fleva huyo na wanampa ushirikiano wa...

 

10 years ago

Vijimambo

Bifu la Emelda Mwamanga wa Bang magazine na Reginald Mengi Kwa Kuvujisha Picha za Mengi na Familia yake


Mwanamama mjasiriamali, na managing director wa jarida maarufu nchini , Bang magazine , aitwaye Emelda Mwamanga amefunguka kuhusu bifu lake na mfanyabiashara maarufu nchini, Reginald Mengi, kupitia kwenye moja ya mahojiano ya kwenye kipindi maarufu cha Tv Hapa nchini .Mbali na kuelezea experience yake kwenye biashara yake, pia alizungumzia changamoto mbali mbali anazokabiliana nazo kwenye biashara zake, moja ya changamoto alizozielezea ni ile ya kushtakiwa na mfanyabiashara maarufu nchini,...

 

10 years ago

Vijimambo

PICHA DIAMOND THE PLATNUMZ AKIMPIKIA ZARI NA KUMLISHA KATIKA NYUMBA YAKE MPYA

maneno ya Zarinah: Blessed is the woman who has a man that can cook...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani