Picha: Davido apokewa na Rais Kagame na familia yake alipowasili uwanja wa ndege, Rwanda
Mshindi wa tuzo ya BET 2014 pamoja na tuzo mbili za MTV (MAMA) Davido kutoka Nigeria, Ijumaa iliyopita amepewa heshima kubwa nchini Rwanda kwa kupokewa uwanja wa ndege na Rais wa nchi hiyo Paul Kagame na familia yake. Rais Kagame aliongozana na mke wake pamoja na watoto wao kwenye uwanja wa ndege kumlaki staa huyo […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-0nnZF60lyIU/VdARoKOuoUI/AAAAAAAATHw/1N270smJ8rM/s72-c/E86A8547%2B%25281280x853%2529.jpg)
MGOMBEA URAIS KUPITIA CHADEMA NA UKAWA EDWARD LOWASA ALIPOWASILI UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA WA KILIMANJARO KIA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-0nnZF60lyIU/VdARoKOuoUI/AAAAAAAATHw/1N270smJ8rM/s640/E86A8547%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-inD6l5wfnwc/VdARpsTyf-I/AAAAAAAATH8/s4XEWO20Cu0/s640/E86A8551%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-R__scpUzi30/VdARndPNBiI/AAAAAAAATHs/yc0yDlHI0oM/s640/E86A8553%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-4zkzvmXMPOI/VdARxY8symI/AAAAAAAATIE/4PmHQf1h7KA/s640/E86A8559%2B%25281280x853%2529.jpg)
11 years ago
Michuzi02 Jul
RAIS KAGAME WA RWANDA AZUNGUMZIA UHUSIANO WA NCHI YAKE NA TANZANIA, ASEMA NI MATAIFA NDUGU NA YATAENDELEA KUWA HIVYO
10 years ago
Dewji Blog08 Oct
Picha za mapokezi ya Rais Uhuru Kenyatta alipowasili kwenye mahakama ya uhalifu wa kivita The Hague
Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta akisalimiana na baadhi ya raia wa Kenya wanaoishi nchini Uholanzi kabla ya kuingia kwenye mahakama hiyo. (Picha kwa hisani ya ukurasa wa facebook ya Rais Uhuru Kenyatta).
Na Mwandishi wetu
Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta amewasili mjini Hague nchini Uholanzi, kuhudhuria kikao kuhusu kesi inayomkabili ya kukochechea na kufadhili machafuko ya baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2007.
Kikao hicho kitafanyika Jumatano wiki hii, na kinakuja baada ya upande wa mashtaka...
9 years ago
MichuziRAIS MAGUFULI AONANA NA MJUMBE MAALUMU WA RAIS PAUL KAGAME WA RWANDA NA MABALOZI WA USWISI NA KUWAIT
9 years ago
MillardAyo22 Dec
Sababu zaidi ya 3 zinazofanya Rwanda wamkubali Rais Paul Kagame
Rwanda ni nchi ambayo ina watu zaidi ya milioni kumi ambapo moja kati ya sababu zilizofanya Rwanda wamkubali zaidi na hata kumpa kura nyingi za ndio kwenye mchakato wa kubadili utaratibu wa Rais kugombea Mihula zaidi ya miwili. Rais Kagame aliwahi kugawa Ng’ombe kwa Wananchi mbalimbali ili wajikwamue kwenye umasikini, bonyeza play hapa chini kuzipata sababu […]
The post Sababu zaidi ya 3 zinazofanya Rwanda wamkubali Rais Paul Kagame appeared first on TZA_MillardAyo.
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-eU7F0ZEACgM/U0YqTvDRcoI/AAAAAAACehU/iCIbfdBM4LA/s72-c/Attachment-1.jpeg)
KINANA AKUTANA NA RAIS PAUL KAGAME WA RWANDA MJINI KIGALI
![](http://1.bp.blogspot.com/-eU7F0ZEACgM/U0YqTvDRcoI/AAAAAAACehU/iCIbfdBM4LA/s1600/Attachment-1.jpeg)
Picha na Edward J. Mpogolo,
wa ofisi ya Katibu Mkuu wa CCM
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-M7HN3YIR9Qc/VgAztqUVfkI/AAAAAAAH6kk/r43f0eWWpSM/s72-c/unnamed%2B%252897%2529.jpg)
10 years ago
CloudsFM11 Dec
9 years ago
BBCSwahili14 Oct
Mpiga picha na familia yake wauawa Burundi