Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


PICHA: MSHINDI WA BBA,IDRISS SULTAN ALIPOKELEWA JANA UWANJA WA NDEGE

CloudsFM

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

CloudsFM

MSHINDI WA BBA IDRISS SULTAN AKIWA LIVE KWENYE XXL

Mshindi wa shindano la Big Brother Africa''BBA'',Idriss Sultan akisalimia na mtangazaji wa kipindi cha xxl cha Clouds Fm,B Dozen wakati akizungumzia ushindi wake.Idriss akiwa na msanii John Makini...PICHA ZAIDI ZINAKUJA..

 

10 years ago

GPL

MSHINDI WA BBA IDRIS SULTAN ATINGA GLOBAL TV ONLINE

 Mshindi wa Shindano la Big Brother Hotshots 2014, Idris Sultan akijiandaa kufanya mahojiano na wafanyakazi wa Global Publishers kupitia Global TV Online. Idris Sultan akifafanua jambo kwa wafanyakazi wa Global (hawapo pichani).…

 

10 years ago

Bongo5

Picha: Mfahamu zaidi Idris Sultan, mwakilishi wa Tanzania kwenye BBA Hotshots

Mpiga picha na graphic designer anayefanya kazi kwenye kampuni ya I-View Studios, ni mwakilishi wa kwanza kutoka Tanzania aliyetajwa tayari kutuwakilisha mwaka huu kwenye shindano la Big Brother Africa. Majina bado yanaendelea kutajwa hivyo tunangoja kufahamu mshiriki wa pili. Tumepata bahati ya kukutana na Idris. Ni kijana mwenye vituko sana na ukikaa naye kwa muda […]

 

10 years ago

GPL

IDRISS WA BBA: NAANZA KUISHIWA!

Brighton Masalu MSHINDI wa Big Brother Hotshots 2014, Idriss Sultan amesema licha ya kupata fedha nyingi aliposhinda, lakini hivi sasa anaanza kuishiwa hivyo analazimika kuwa na nidhamu juu ya matumizi yake ya fedha. ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1J3bI4e

 

10 years ago

GPL

IDRIS SULTAN, MWAKILISHI WA TANZANIA BBA HOTSHOTS 2014

Mpiga picha na Msanifu kurasa, Idris Sultan mwakilishi wa Tanzania kwenye Big Brother HotShots ya mwaka huu. Idris Sultan akiwa katika…

 

11 years ago

Bongo5

Picha: Davido apokewa na Rais Kagame na familia yake alipowasili uwanja wa ndege, Rwanda

Mshindi wa tuzo ya BET 2014 pamoja na tuzo mbili za MTV (MAMA) Davido kutoka Nigeria, Ijumaa iliyopita amepewa heshima kubwa nchini Rwanda kwa kupokewa uwanja wa ndege na Rais wa nchi hiyo Paul Kagame na familia yake. Rais Kagame aliongozana na mke wake pamoja na watoto wao kwenye uwanja wa ndege kumlaki staa huyo […]

 

10 years ago

Vijimambo

MKE WA MWANAHABARI WA KAMPUNI YA GUARDIAN NA NIPASHE, THOBIAS MWANAKATWE AFARIKI DUNIA KWA KUGONGWA NA GARI NJE YA UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA WA JULIUS NYERERE DAR ES SALAAM JANA

 Mke wa Thobias Mwanakatwe, Levina Michael Genda, enzi za uhai wake.Mwanahabari Thobias Mwanakatwe, akiwa na mke wake enzi za uhai wake.

Dotto Mwaibale

MWANAHABARI wa Kampuni ya The Guardian na Nipashe, Thobias Mwanakatwe, amepoteza mke wake baada ya kugongwa na gari eneo la Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Dar es Salaam jana usimu majira ya saa 2;30.

Akizungumza na mtandao wa www.habari za jamii.com. Mwanakatwe amesema kifo cha ghafla cha mke wake ni pigo kubwa kwake na familia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani