PICHA: MSHINDI WA BBA,IDRISS SULTAN ALIPOKELEWA JANA UWANJA WA NDEGE
CloudsFM
Habari Zinazoendana
10 years ago
CloudsFM11 Dec
MSHINDI WA BBA IDRISS SULTAN AKIWA LIVE KWENYE XXL
Mshindi wa shindano la Big Brother Africa''BBA'',Idriss Sultan akisalimia na mtangazaji wa kipindi cha xxl cha Clouds Fm,B Dozen wakati akizungumzia ushindi wake.
Idriss akiwa na msanii John Makini...PICHA ZAIDI ZINAKUJA..
10 years ago
CloudsFM28 Jan
10 years ago
GPLMSHINDI WA BBA IDRIS SULTAN ATINGA GLOBAL TV ONLINE
 Mshindi wa Shindano la Big Brother Hotshots 2014, Idris Sultan akijiandaa kufanya mahojiano na wafanyakazi wa Global Publishers kupitia Global TV Online. Idris Sultan akifafanua jambo kwa wafanyakazi wa Global (hawapo pichani).…
10 years ago
Bongo519 Sep
Picha: Mfahamu zaidi Idris Sultan, mwakilishi wa Tanzania kwenye BBA Hotshots
Mpiga picha na graphic designer anayefanya kazi kwenye kampuni ya I-View Studios, ni mwakilishi wa kwanza kutoka Tanzania aliyetajwa tayari kutuwakilisha mwaka huu kwenye shindano la Big Brother Africa. Majina bado yanaendelea kutajwa hivyo tunangoja kufahamu mshiriki wa pili. Tumepata bahati ya kukutana na Idris. Ni kijana mwenye vituko sana na ukikaa naye kwa muda […]
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rYXJV*jyRSl5veq9gV9od5ZDjoeR31QFBSsuH9e4eXJwKrRxPW9f53zTmK4PQ98IBlSRvYI5i1ylTafD9KZerQy5GMrFUPFZ/10554208_706570772747607_1588459783_n.jpg?width=650)
IDRISS WA BBA: NAANZA KUISHIWA!
Brighton Masalu MSHINDI wa Big Brother Hotshots 2014, Idriss Sultan amesema licha ya kupata fedha nyingi aliposhinda, lakini hivi sasa anaanza kuishiwa hivyo analazimika kuwa na nidhamu juu ya matumizi yake ya fedha. ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1J3bI4e
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-M7HN3YIR9Qc/VgAztqUVfkI/AAAAAAAH6kk/r43f0eWWpSM/s72-c/unnamed%2B%252897%2529.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yLBGfqJNowiFYLIwgFDCMi51RuO8mvC1dWY0oLZzFu9uQUWg2RGUvxwfbS*VNDggkQdqTEpp73ByTQIUZqTY*U8sgKmBH9Xi/03e47ea0a69a11e3a586123cee9e9f3b_8.jpg)
IDRIS SULTAN, MWAKILISHI WA TANZANIA BBA HOTSHOTS 2014
Mpiga picha na Msanifu kurasa, Idris Sultan mwakilishi wa Tanzania kwenye Big Brother HotShots ya mwaka huu. Idris Sultan akiwa katika…
11 years ago
Bongo508 Jul
Picha: Davido apokewa na Rais Kagame na familia yake alipowasili uwanja wa ndege, Rwanda
Mshindi wa tuzo ya BET 2014 pamoja na tuzo mbili za MTV (MAMA) Davido kutoka Nigeria, Ijumaa iliyopita amepewa heshima kubwa nchini Rwanda kwa kupokewa uwanja wa ndege na Rais wa nchi hiyo Paul Kagame na familia yake. Rais Kagame aliongozana na mke wake pamoja na watoto wao kwenye uwanja wa ndege kumlaki staa huyo […]
10 years ago
VijimamboMKE WA MWANAHABARI WA KAMPUNI YA GUARDIAN NA NIPASHE, THOBIAS MWANAKATWE AFARIKI DUNIA KWA KUGONGWA NA GARI NJE YA UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA WA JULIUS NYERERE DAR ES SALAAM JANA
Dotto Mwaibale
MWANAHABARI wa Kampuni ya The Guardian na Nipashe, Thobias Mwanakatwe, amepoteza mke wake baada ya kugongwa na gari eneo la Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Dar es Salaam jana usimu majira ya saa 2;30.
Akizungumza na mtandao wa www.habari za jamii.com. Mwanakatwe amesema kifo cha ghafla cha mke wake ni pigo kubwa kwake na familia...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania