Mh. Januari Makamba na mshindi wa BBA,Idriss Sultan washeherekea birthday zao na wafanyakazi wa Clouds Media Group
![](http://api.ning.com/files/f5QbJIEIZ4y4HrBNJGVwpw1F3Dqt2skvHVzVGxCKVYQXL1s6grsGkd-ZmZ*KxgrXd7*PseQCAyT2nv8TbeX8zIbzkqJhnxFd/MAKAMBA9.jpg?width=750)
![](http://api.ning.com/files/f5QbJIEIZ4wQqHI4DPLVem6EcNnjfw4CSGTsNn6hO9qquEitn09conaaFG-6DvGFfJQUi*zZ2uJittXIBwiUifyWLekH-Rz2/MAKAMBA9.jpg?width=750)
![](http://api.ning.com/files/f5QbJIEIZ4x9VIsgXNtagAx3Ji2c7cLLyPN2akGKm32XvNF*hx87kt-sB4nfeVSHT0rB1lWe*WmzUM8zVsHPpZ*HvtkYa-J*/MAKAMBA10.jpg?width=750)
![](http://api.ning.com/files/f5QbJIEIZ4yip7IV5waJWO3VdFNVN3PJ4huRUTkCRB33CVrMiHjQkOmUc87sK-DkRY*T6nlRvFPBQnihilneVKn2avy*1hwa/MAKAMBA.jpg?width=750)
CloudsFM
Habari Zinazoendana
10 years ago
CloudsFM11 Dec
MSHINDI WA BBA IDRISS SULTAN AKIWA LIVE KWENYE XXL
Mshindi wa shindano la Big Brother Africa''BBA'',Idriss Sultan akisalimia na mtangazaji wa kipindi cha xxl cha Clouds Fm,B Dozen wakati akizungumzia ushindi wake.
Idriss akiwa na msanii John Makini...PICHA ZAIDI ZINAKUJA..
10 years ago
CloudsFM11 Dec
10 years ago
GPLMSHINDI WA BBA IDRIS SULTAN ATINGA GLOBAL TV ONLINE
10 years ago
MichuziWAFANYAKAZI KUTOKA CLOUDS MEDIA GROUP WALIPATA FURSA YA KUTEMBEA MAKAO MAKUU YA MFUKO WA PENSHENI YA PSPF NA KUJIONEA WENYEWE UBORA WA HUDUMA NA BIDHAA ZA MFUKO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LzPfBre8N7YSp-BYISYN7AgxaxDfolKcJCZ9CEOjYEfJ4jVQQgfqsLD7oXoYQNM1U8b2dYDq*17R9VGPZtn8MHImYo-qNzmj/CloudsMedia0041.png?width=750)
10 years ago
CloudsFM20 Feb
Kusaga: Clouds Media Group haijauzwa kwa Rostam
Mkurugenzi wa Clouds Media Group,Joseph Kusaga amesema kuwa Clouds Media Group haijauzwa kwa mfanyabiasha mkubwa hapa nchini,Rostam Aziz kama ambavyo taarifa hizo zilivyokuwa zimeenea kwenye mitandao ya kijamii.
Akizungumza kwenye kipindi cha Power Breakfast cha Clouds FM leo moja kwa moja kutoka nchini Dubai alisema kuwa taarifa hiyo ameisikia na kwamba amekuwa akipigiwa sana simu na wadau mbalimbali kuhusiana na habari hizo na kusema kuwa ni jinsi gani watanzania wamekuwa wakitumia...
10 years ago
CloudsFM31 Dec
10 years ago
Dewji Blog21 Feb
Kusaga: Habari za kuuzwa Clouds Media Group ni uzushi wa kupuuzwa
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni wa Clouds Media Group, Joseph Kusaga.
Na Mwandishi Wetu, Dar
TAHARUKI iliyosambaa jana kwenye mitandao kijamii juu ya kuuzwa kwa Clouds Media Group, inayomiliki Clouds FM, Clouds Tv na Choice FM, zimepata majibu baada ya Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni hiyo, Joseph Kusaga, kuibuka na kukataa habari hizo na kuziita ni uzushi wa kupuuzwa.
Habari za kuuzwa kwa kampuni hiyo dhidi ya mfanyabiashara maarufu na kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Rostam Aziz, zilishika...
10 years ago
GPLCLOUDS MEDIA GROUP WATEMBELEA MAKAO MAKUU YA MFUKO WA PENSHENI YA PSPF