MSHINDI WA BBA IDRISS SULTAN AKIWA LIVE KWENYE XXL
Mshindi wa shindano la Big Brother Africa''BBA'',Idriss Sultan akisalimia na mtangazaji wa kipindi cha xxl cha Clouds Fm,B Dozen wakati akizungumzia ushindi wake.
Idriss akiwa na msanii John Makini...PICHA ZAIDI ZINAKUJA..
CloudsFM
Habari Zinazoendana
10 years ago
CloudsFM11 Dec
10 years ago
CloudsFM28 Jan
10 years ago
GPLMSHINDI WA BBA IDRIS SULTAN ATINGA GLOBAL TV ONLINE
 Mshindi wa Shindano la Big Brother Hotshots 2014, Idris Sultan akijiandaa kufanya mahojiano na wafanyakazi wa Global Publishers kupitia Global TV Online. Idris Sultan akifafanua jambo kwa wafanyakazi wa Global (hawapo pichani).…
10 years ago
Bongo519 Sep
Picha: Mfahamu zaidi Idris Sultan, mwakilishi wa Tanzania kwenye BBA Hotshots
Mpiga picha na graphic designer anayefanya kazi kwenye kampuni ya I-View Studios, ni mwakilishi wa kwanza kutoka Tanzania aliyetajwa tayari kutuwakilisha mwaka huu kwenye shindano la Big Brother Africa. Majina bado yanaendelea kutajwa hivyo tunangoja kufahamu mshiriki wa pili. Tumepata bahati ya kukutana na Idris. Ni kijana mwenye vituko sana na ukikaa naye kwa muda […]
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rYXJV*jyRSl5veq9gV9od5ZDjoeR31QFBSsuH9e4eXJwKrRxPW9f53zTmK4PQ98IBlSRvYI5i1ylTafD9KZerQy5GMrFUPFZ/10554208_706570772747607_1588459783_n.jpg?width=650)
IDRISS WA BBA: NAANZA KUISHIWA!
Brighton Masalu MSHINDI wa Big Brother Hotshots 2014, Idriss Sultan amesema licha ya kupata fedha nyingi aliposhinda, lakini hivi sasa anaanza kuishiwa hivyo analazimika kuwa na nidhamu juu ya matumizi yake ya fedha. ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1J3bI4e
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yLBGfqJNowiFYLIwgFDCMi51RuO8mvC1dWY0oLZzFu9uQUWg2RGUvxwfbS*VNDggkQdqTEpp73ByTQIUZqTY*U8sgKmBH9Xi/03e47ea0a69a11e3a586123cee9e9f3b_8.jpg)
IDRIS SULTAN, MWAKILISHI WA TANZANIA BBA HOTSHOTS 2014
Mpiga picha na Msanifu kurasa, Idris Sultan mwakilishi wa Tanzania kwenye Big Brother HotShots ya mwaka huu. Idris Sultan akiwa katika…
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/s7s9Z08DG1wRymbh7XEk9ygActHB*RYUWonUbAUjk4G1GuwlY4aWNiTN1hwbUnKMQ-43Xtb0WROJ*bpdTwLm84AJ8i9kyxQW/WEMA.jpg?width=650)
WEMA, IDRISS, WAONESHANA MAHABA LIVE IKULU
Richard bukos MASTAA wa Bongo, Idriss Sultan na Wema Sepetu, Alhamisi iliyopita walikuwa kwenye Ikulu ya Rais wa Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli wakionesha mahaba yao hadharani. Mastaa wa Bongo, Idriss Sultan na Wema Sepetu wakikumbatiana. Mastaa hao ambao mara kadhaa wamekuwa wakikanusha vikali kuwa na uhusiano wa kujifunika shuka moja lakini mapozi yao ndiyo yalisababisha wawe gumzo...
11 years ago
Michuzi05 May
10 years ago
GPLMSHINDI WA BBA HOTSHOTS APOKELEWA KWA KISHINDO JIJINI DAR
Mshindi wa zaidi ya milioni 500 za shindano la Big Brother Hotshots, Idris Sultan baada ya kuwasili katika Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere muda si mrefu.…
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania