Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Picha: Zari, Diamond washerehekea msimu wa Christmas kwenye yacht na familia

1739465_457224814468540_1238534898_n

Ulisherehekea vipi sikukuu ya Christmas na boxing day?

1739465_457224814468540_1238534898_n

Kwa Diamond na first lady wake, Zari the Bosslady ilikuwa ni mwendo wa kuyakata maji kwenye yacht tu.

11264592_1065574703487275_1757651773_n

Mastaa hao walikodi yacht na kuelekea kwenye kisiwa cha maraha cha Mbudya wakiwa na ndugu zao. Waliojumuika ni pamoja na dada zake Diamond, Esma na Queen Darleen, AY, meneja Sallam na wengine.

1172960_1662537087362603_78202417_n

Tazama picha zao:

12393763_920762141325762_1879445229_n

12317944_444291532434115_1088547502_n

12339048_1687418584876834_1571760568_n

12357568_437426533128956_1832108583_n

12362090_787860254675994_1368957484_n

Katika hatua nyingine, Diamond alipata muda wa kuspend na mwanae Tiffah kabla ya kwenda Nigeria Jumatatu hii kwaajili...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

ZARI ATUPIA PICHA YA MREMBO ALIYEJICHORA JINA LA DIAMOND KWENYE NIDO

MPENZI wa nguli wa Muziki wa Bongo Fleva nchini, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz', Zarinah Hassan 'Zari the Boss Lady' ameamua kutupia picha ya mrembo aliyejichora jina la Diamond kwenye ziwa 'nido' lake la kushoto. Zari ameamua kutupia picha hiyo kwenye akaunti yake ya Instagram akionyesha kuwa mpenzi wake anakubalika vilivyo miongoni mwa warembo. Wengi wa mashabiki wa Zari the Boss Lady wameonekana kuvutiwa na picha hiyo na...

 

10 years ago

Vijimambo

Maneno ya Zari Hassan kwa picha inayo muonyesha Diamond Platnumz akichungulia anacho kifanya kwenye simu

Mwimbaji Lady JayDee alisha imba kuwa "Wivu unahusika kwenye mapenzi ya kweli". Ukiona upo na mpenzi na yeye hana wivu kwako basi hana mapenzi ya kweli kwako.Picha inayo muonyesha Nasib Abdul aka Diamond Platnumz akichungulia kwenye simu ya mpenzi wake 'Zari Hassan' ime make headline kwenye mitandao ya kijamii.Lakini lakufurahisha ni maneno aliyo yaandika mama huyo kuhusiana na picha hiyo kuwa alizani ni yeye tu huwa anatabia ya kuchungulia nini Diamond anachokifanya kwenye simu kumbe hata...

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Mama Diamond na mama Zari walipokutana kwenye ‘state house’ ya Platnmuz

Nyuso za wazazi wa mastaa wawili wa Afrika, Diamond na Zari zilionekana zenye furaha mbele ya mjukuu wao Lattifah Nasib a.k.a Tiffah katika picha waliyopiga nyumbani kwa Diamond ambapo mwenyewe anapaita ‘state house’. Zari amepost picha ya mama yake mzazi akiwa amembeba Tiffah na pembeni akiwa na mama yake Diamond, kwa pamoja wanaonekana wakizungumza jambo […]

 

9 years ago

GPL

FAMILIA YA DIAMOND YAMMWAGA RASMI ZARI!

Brighton Masalu THE game is over! Sasa ni wazi kuwa familia ya staa mkubwa wa muziki wa kizazi kipya Bongo, Nasibu Abdul ‘Diamond Plutnamz’ imemtema rasmi mzazi mwenzake Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ kwa kile wanachodai …. “Tumechoshwa na uzungu wake”, Risasi Mchanganyiko linaweza kuandika.  ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1RVi9bR ...

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Tiffah alivyoiongezea furaha familia ya Zari Afrika Kusini

Pamoja na kuwa ni watoto wa baba tofauti, watoto wa kiume wa Zari wamempokea kwa furaha kubwa Tiffah, mtoto wa Zari the Bosslady. Zari kwenye picha hii ameandika: If anybody ever said perfect doesn’t exist, they were wrong. It surely does!!!! Look at my ‘perfect’ lil life Baada ya Tiffah kufikisha siku 40, sasa ni […]

 

10 years ago

Africanjam.Com

PICHA: TAZAMA PICHA 37 ZA YALIYOJIRI KWENYE "ZARI ALL WHITE PARTY"

Tweet





Wasanii wa Yamoto Band wakiwa wametulia tayari kwa shoo

Mpiga Picha Mkuu wa Global Publishers, Richard Bukos (kati) akipozi na watangazaji Sauda Mwilima wa Star TV(kulia) na Khadija Shaibu 'Dida' wa Times FM.

Wanausalama wakiwaondoa baadhi ya watu waliokosa tiketi



DSC_2862IMG_4432DSC_2512IMG_4344DSC_2824IMG_4407DSC_2765IMG_4299
.IMG_4300IMG_4304
Khamis DakotaIMG_4306
.IMG_4307
IMG_4313
.IMG_4325IMG_4347DSC_3307WCB IIWCB IIIDSC_2777DSC_2788DSC_2803DSC_2837DSC_2821DSC_2859DSC_2862DSC_2592DSC_2869DSC_3131DSC_2713



Source : www.globalpublishers.info               www.millardayo.com

 

9 years ago

MillardAyo

Picha nne za Rais Magufuli kwenye ibada ya Christmas Dar…

HappyBoxing Day Mtu WANGU !! Jana December 25 2015 ilikuwa siku ambayo wakristo sehemu mbalimbali Duniani waliungana kusherehekea sikukuu ya Christmas… lakini haikuwa sherehe tu ya kukaa nyumbani na kusherehekea, ilikuwa siku ya kukutana kwenye nyumba za ibada kwa ajili ya kusali na kumshukuru MUNGU. Rais John Magufuli aliongozana pia na Mama Janeth Magufuli kwenda […]

The post Picha nne za Rais Magufuli kwenye ibada ya Christmas Dar… appeared first on TZA_MillardAyo.

 

10 years ago

GPL

UKWELI PICHA NDOA YA DIAMOND NA ZARI

Staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ akiwa na mwandani wake, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ katika pozi. Musa Mateja Kutafuta kiki? Wikiendi iliyopita, gumzo kubwa katika mitandao ya kijamii lilikuwa ni kuhusu stori ya staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ kufunga ndoa na mwandani wake, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ lakini Ijumaa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani