Maneno ya Zari Hassan kwa picha inayo muonyesha Diamond Platnumz akichungulia anacho kifanya kwenye simu
![](http://3.bp.blogspot.com/-r8c85VMVthI/VOq6zEqkrsI/AAAAAAAAG5U/6exRrwF8f4g/s72-c/Maneno%2Bya%2BZari%2BHassan%2Bkwa%2Bpicha%2Binayo%2Bmuonyesha%2BDiamond%2Bakichungulia%2Banacho%2Bkifanya%2Bkwenye%2Bsimu.jpg)
Mwimbaji Lady JayDee alisha imba kuwa "Wivu unahusika kwenye mapenzi ya kweli". Ukiona upo na mpenzi na yeye hana wivu kwako basi hana mapenzi ya kweli kwako.Picha inayo muonyesha Nasib Abdul aka Diamond Platnumz akichungulia kwenye simu ya mpenzi wake 'Zari Hassan' ime make headline kwenye mitandao ya kijamii.Lakini lakufurahisha ni maneno aliyo yaandika mama huyo kuhusiana na picha hiyo kuwa alizani ni yeye tu huwa anatabia ya kuchungulia nini Diamond anachokifanya kwenye simu kumbe hata...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo530 Dec
Picha: Zari The Bosslady na Diamond Platnumz ni Kimye wa Afrika!
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-ILvs5R2vL9M/VM8eP9PblWI/AAAAAAAAF74/tvwGxlq3-Fw/s72-c/diamond%2Bplatnumz%2Bna%2Bzarir.jpg)
Zari Hassan kufunga ndoa na Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, "Asema hakuna umri maalumu wa Kuoa au Kuolewa"!
![](http://4.bp.blogspot.com/-ILvs5R2vL9M/VM8eP9PblWI/AAAAAAAAF74/tvwGxlq3-Fw/s640/diamond%2Bplatnumz%2Bna%2Bzarir.jpg)
10 years ago
Vijimambo27 Mar
PICHA DIAMOND THE PLATNUMZ AKIMPIKIA ZARI NA KUMLISHA KATIKA NYUMBA YAKE MPYA
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2Flh6.ggpht.com%2F-VNAjpLWUvTk%2FVROHgh1k1nI%2FAAAAAAAARD8%2Fu1In5rOaYK0%2Fs640%2FPhotoGrid_1427343450623.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/rDB3iD7BXsM/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo01 Apr
DIAMOND THE PLATNUMZ NA ZARI WAHUDHURIA KWENYE MSIBA WA ABDUL BONGE JIJINI MOROGORO MKUYUNI
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2Flh5.ggpht.com%2F-tAX_nlQFQwI%2FVRphrmI4keI%2FAAAAAAAART0%2FTbz7m6aHZps%2Fs640%2FPhotoGrid_1427792477433.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
Diamond Platinum akiwa kweny mazishi ya Abdu Bonge Mkoani Morogoro leo.Diamond Platinum Ameongozana na Mpenzi wake Zari the Big boss kwenye Mazishi ya Aliyekuwa Mwanzilishi wa Kundi la Tip top Marehemu Abdul Bonge Aliyefariki Majuzi na Mwili wake kusafirishwa kwenda Morogoro Tayari kwa Mazishi yanayofanyika Mkuyuni Mkoani Morogoro.
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2Flh5.ggpht.com%2F-4BRzPB77vNw%2FVRphxYRVDMI%2FAAAAAAAART8%2F2cK-3J7IlGw%2Fs640%2FPhotoGrid_1427792497346.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
10 years ago
CloudsFM28 Apr
Diamond Platnumz kuzindua Tv yake kwenye Zari White Party,Mlimani City,Ijumaa hii
Staa wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz anatarajia kuzindua tv yake kwenye Zari White Party itakayofanyika Ijumaa hii pande za Mlimani City,Mwenge,jijini Dar.
9 years ago
Bongo528 Dec
Picha: Zari, Diamond washerehekea msimu wa Christmas kwenye yacht na familia
![1739465_457224814468540_1238534898_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/1739465_457224814468540_1238534898_n-300x194.jpg)
Ulisherehekea vipi sikukuu ya Christmas na boxing day?
Kwa Diamond na first lady wake, Zari the Bosslady ilikuwa ni mwendo wa kuyakata maji kwenye yacht tu.
Mastaa hao walikodi yacht na kuelekea kwenye kisiwa cha maraha cha Mbudya wakiwa na ndugu zao. Waliojumuika ni pamoja na dada zake Diamond, Esma na Queen Darleen, AY, meneja Sallam na wengine.
Tazama picha zao:
Katika hatua nyingine, Diamond alipata muda wa kuspend na mwanae Tiffah kabla ya kwenda Nigeria Jumatatu hii kwaajili...
10 years ago
GPLZARI ATUPIA PICHA YA MREMBO ALIYEJICHORA JINA LA DIAMOND KWENYE NIDO