Picha: Mama Diamond na mama Zari walipokutana kwenye ‘state house’ ya Platnmuz
Nyuso za wazazi wa mastaa wawili wa Afrika, Diamond na Zari zilionekana zenye furaha mbele ya mjukuu wao Lattifah Nasib a.k.a Tiffah katika picha waliyopiga nyumbani kwa Diamond ambapo mwenyewe anapaita ‘state house’. Zari amepost picha ya mama yake mzazi akiwa amembeba Tiffah na pembeni akiwa na mama yake Diamond, kwa pamoja wanaonekana wakizungumza jambo […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/h04tScqf3LbCH33paT4F2ykljuHykgMtbLZ6SOdLaiMdfX0fXnfrkvFWZ1o5lvkkmpBcJq3HZcuUXjdGVhZoptfcjeP4HDET/MamaDiamond.jpg)
MAMA DIAMOND AMKIMBIA ZARI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8Kb*1kVFSTvOpcy9nx*k53zRGxnem5qulA7P0YFfk6rLO8i7YLbrzUIrDOkhMkbyRdww6vmGC-gRbiCk5pNDtypcerruejM-/Zari.jpg)
ZARI ALALA KWA MAMA DIAMOND
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/t3tIV4vY4JpfqTh2CgKFAKxnhYfMDdCdWkjNNbPD*9L5KLWcv0NkG1ObohNXgqYdtIjkTiTr4BckCSyCx3BL3KxiAYDDu1Qe/tuzo2.jpg?width=650)
MAMA DIAMOND AMFUNIKA ZARI KWA MBIZI
9 years ago
Global Publishers07 Jan
Mama Diamond kurudi Tandale, kumpisha Zari
Zarinah Hassan ‘Zari’ au mama Tiffah.
KUNA madai kwamba, mama wa Mbongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’, Sanura Kasim ‘Sandra’ yupo katika maandalizi ya kuhamia kwenye makazi ya Tandale alikokuwa akiishi zamani ili kumpisha mwanye na mama mtoto wake, Zarinah Hassan ‘Zari’ au mama Tiffah kwenye makazi ya Madale jijini Dar.
Kwa mujibu wa chanzo chetu, mama huyo au bibi Tiffah amefikia uamuzi huo ili kuepusha lolote linaloweza kutokea kwa kukaa beneti na mkaza mwanaye kwa vile ulimi hauna mfupa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ov90wJC7zCwdpm8ZUcf4wFKLBZvgxDI8ErEqwpbDjRccYRdRyuE5RljNPnMbqaSGJVcwJGiJOzRd8j4eGC9FdQHBCur-sBa9/diamond.jpg)
DIAMOND, MAMA’KE, ZARI WALA BATA SAUZ
10 years ago
VijimamboBIG BOSS LADY ZARI AWEKA PICHA AKIWA NA MAMA YAKE PAMOJA NA MDOGO WAKE
10 years ago
GPLZARI ATUPIA PICHA YA MREMBO ALIYEJICHORA JINA LA DIAMOND KWENYE NIDO
9 years ago
Bongo528 Dec
Picha: Zari, Diamond washerehekea msimu wa Christmas kwenye yacht na familia
![1739465_457224814468540_1238534898_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/1739465_457224814468540_1238534898_n-300x194.jpg)
Ulisherehekea vipi sikukuu ya Christmas na boxing day?
Kwa Diamond na first lady wake, Zari the Bosslady ilikuwa ni mwendo wa kuyakata maji kwenye yacht tu.
Mastaa hao walikodi yacht na kuelekea kwenye kisiwa cha maraha cha Mbudya wakiwa na ndugu zao. Waliojumuika ni pamoja na dada zake Diamond, Esma na Queen Darleen, AY, meneja Sallam na wengine.
Tazama picha zao:
Katika hatua nyingine, Diamond alipata muda wa kuspend na mwanae Tiffah kabla ya kwenda Nigeria Jumatatu hii kwaajili...
10 years ago
CloudsFM01 May