Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kiteto, Siha hakukaliki

WAFUGAJI zaidi ya 800 wa jamii ya kimasai wamevamia eneo la wawekezaji wa kampuni ya utalii ya Tanganyika Film and Safary lililopo kijiji cha miti Mirefu na kuharibu mali mbali...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Mauaji ya Kiteto, Siha yakome

KWA muda mrefu kumekuwa na taarifa kwenye vyombo vya habari kuhusu ugomvi kati ya wakulima na wafugaji wanaogombania maeneo hapa nchini Ugomvi wa pande hizo mbili zimekuwa zikisababisha vifo, majeraha,...

 

10 years ago

TheCitizen

We’ll bury many if Kiteto situation isn’t addressed penings in Kiteto?

It seems that the cries by the Deputy Speaker of the National Assembly, who is also Kongwa Member of Parliament, Mr Job Ndugai and several other law makers about the wanton killings in Kiteto have not been heard by the government. If the government has heard the cries, surely it would have moved to normalise the situation.

 

10 years ago

Mtanzania

Burundi hakukaliki

BUNJUMBURA, BURUNDI
HALI ya amani nchini Burundi imechafuka huku ikiripotiwa kuwa raia mmoja ameuawa kwa kupigwa risasi na jeshi la polisi.
Hatua hiyo ya polisi imechukuliwa kama njia ya kupambana na waandamanaji ambao wanapinga hatua ya chama tawala kumteua Rais Pierre Nkurunziza kuwania urais kwa muhula wa tatu, kinyume cha Katiba.
Mtu huyo aliuawa katika maandamano hayo jana yaliyokuwa yakitokea katika wilaya mbalimbali za jiji la Bujumbura wakiingia mitaani kupinga uamuzi wa Rais...

 

11 years ago

IPPmedia

Inside the Kiteto land crisis 2: Greed for land, dirty politics fuel killing fields of Kiteto


Inside the Kiteto land crisis 2: Greed for land, dirty politics fuel killing fields of Kiteto
IPPmedia
Last week The Guardian on Sunday brought you a story on the recent land conflict pitting farmers and pastoralists at the Kalikala hamlet in Kiteto District. In this second installment Gerald Kitabu reveals how the unfolding feud led to the killings of more than 10 ...

 

9 years ago

Global Publishers

Yamoto Band Hakukaliki Dar Live Leo

YAMOTO.pngHAKAI mtu! Unaweza sema kwa maana nyingine wakati bendi inayokimbiza mjini, Yamoto leo (Desemba 19), itakapoporomosha ngoma mpya na zote zinazobamba ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala Zakhem jijini Dar.

Akizungumza na kona ya Muziki wa Dansi, Mohamed Seif ‘Mudy K’ alisema kuwa kwa mara ya kwanza baada ya kubamba na Ngoma ya Cheza kwa Madoido, Yamoto watatambulisha ngoma yao mpya ijulikanayo kama Imo.

“Mbali na Imo, Yamoto pia watatambulisha nyimbo nyingine mbili...

 

10 years ago

Michuzi

watanzania 18 warejea nyumbani kutoka Yemen ambako hakukaliki kutokana na vita

Balozi wa Tanzania nchini Oman Mh. Ali Ahmed Saleh (aliyebeba mtoto) akiwa na baadhi ya kundi la Watanzania 18 waliookolewa kutoka Yemen ambako hakukaliki kutokana na vita. Hapa wananchi hao  wapo  katika uwanja wa ndege wa Muscat wakiwa njiani kurejeshwa nyumbani.Sehemu ya wananchi hao wakijiandaa kuondoka Muscat, Oman, kurejea nyumbani

 

11 years ago

Daily News

Siha residents to have water


Siha residents to have water
Daily News
THE Chairman of CCM in Siha District, Mr Oscar Temi, has urged residents in the district to support the party closely as it is the only one with a clear vision for development. He has also assured them that clean tap water will soon be available. Mr Temi said ...

 

10 years ago

Raia Mwema

Mpasuko CCM Siha

MPASUKO mkubwa unakinyemelea Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Wilaya ya Siha mkoani Kilimanjaro k

Paul Sarwatt

 

10 years ago

Michuzi

NMB YAWAFIKIA WAKAZI WA SIHA

Benki ya NMB jana ilizindua rasmi tawi Jipya katika wilaya ya Siha Mkoani Kilimanjaro. Tawi hili linakadiriwa kuhudumia Zaidi ya wateja Mia moja kwa siku. Tawi jipya la NMB Siha litakuwa linatoa huduma zote za kibenki kunzia kufungua akaunti mbali mbali za akiba, huduma za mikopo yenye masharti nafuu kwa ajili ya mahitaji yote kwenye soko, huduma za fedha za kigeni, kukusanya mapato na kulipa kwa niaba ya serikali na taasisi mbalimbali, kuweka na kutoa fedha. 
 Tawi la NMB Siha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani