Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Burundi hakukaliki

BUNJUMBURA, BURUNDI
HALI ya amani nchini Burundi imechafuka huku ikiripotiwa kuwa raia mmoja ameuawa kwa kupigwa risasi na jeshi la polisi.
Hatua hiyo ya polisi imechukuliwa kama njia ya kupambana na waandamanaji ambao wanapinga hatua ya chama tawala kumteua Rais Pierre Nkurunziza kuwania urais kwa muhula wa tatu, kinyume cha Katiba.
Mtu huyo aliuawa katika maandamano hayo jana yaliyokuwa yakitokea katika wilaya mbalimbali za jiji la Bujumbura wakiingia mitaani kupinga uamuzi wa Rais...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Kiteto, Siha hakukaliki

WAFUGAJI zaidi ya 800 wa jamii ya kimasai wamevamia eneo la wawekezaji wa kampuni ya utalii ya Tanganyika Film and Safary lililopo kijiji cha miti Mirefu na kuharibu mali mbali...

 

9 years ago

Global Publishers

Yamoto Band Hakukaliki Dar Live Leo

YAMOTO.pngHAKAI mtu! Unaweza sema kwa maana nyingine wakati bendi inayokimbiza mjini, Yamoto leo (Desemba 19), itakapoporomosha ngoma mpya na zote zinazobamba ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala Zakhem jijini Dar.

Akizungumza na kona ya Muziki wa Dansi, Mohamed Seif ‘Mudy K’ alisema kuwa kwa mara ya kwanza baada ya kubamba na Ngoma ya Cheza kwa Madoido, Yamoto watatambulisha ngoma yao mpya ijulikanayo kama Imo.

“Mbali na Imo, Yamoto pia watatambulisha nyimbo nyingine mbili...

 

10 years ago

Michuzi

watanzania 18 warejea nyumbani kutoka Yemen ambako hakukaliki kutokana na vita

Balozi wa Tanzania nchini Oman Mh. Ali Ahmed Saleh (aliyebeba mtoto) akiwa na baadhi ya kundi la Watanzania 18 waliookolewa kutoka Yemen ambako hakukaliki kutokana na vita. Hapa wananchi hao  wapo  katika uwanja wa ndege wa Muscat wakiwa njiani kurejeshwa nyumbani.Sehemu ya wananchi hao wakijiandaa kuondoka Muscat, Oman, kurejea nyumbani

 

10 years ago

AllAfrica.Com

Burundi: Emergency Meeting of the Ministers of EAC Affairs On Burundi Held in ...


East African Business Week
Burundi: Emergency Meeting of the Ministers of EAC Affairs On Burundi Held in ...
AllAfrica.com
Arusha — The Ministers of East African Community Affairs on 18th May 2015 in Arusha, held an emergency meeting to address matters emerging in the Republic of Burundi. The meeting was called following the directive issued by the EAC Heads of the State ...
East African leaders to mediate Burundi crisisShanghai Daily (subscription)
E. African ministers to visit...

 

5 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi wa Burundi 2020: Kwa nini Rwanda na Burundi zimekuwa maadui wakubwa?

Wakati, Burundi ikijiandaa kwa uchaguzi mkuu wiki ijayo, uhusiano kati ya nchi hiyo na jirani yake wa karibu Rwanda ukiwa umevunjika

 

5 years ago

ReliefWeb

Burundi Refugee Situation - Tanzania: Voluntary Repatriation Statistics as of 31 October 2019 - Burundi

Burundi Refugee Situation - Tanzania: Voluntary Repatriation Statistics as of 31 October 2019 - Burundi  ReliefWeb

 

5 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi wa Burundi 2020: Kwanini Burundi imewatimua maafisa wa WHO?

Ujumbe kutoka kwa wizara ya mambo ya nje nchini Burundi, umetumwa mtandaoni ukiwataka wawakilishi wa Shirika la Afya Duniani kuondoka nchini humo ndani ya saa 48.

 

9 years ago

StarTV

Hali Ya Kisiasa Burundi  Serikali ya Burundi yakubali usuluhishi

 

Rais John Magufuli amefanya mazungumzo na Spika wa Seneti na Mjumbe Maalum wa Rais wa Jamhuri ya Burundi Reverien Ndikuriyo Ikulu jijini Dar es Salaam kuhusu hali ya kisiasa na usalama nchini Burundi na jitihada zinazochukuliwa na Tanzania ikiwa ni Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki.

Akiwasilisha ujumbe wa Rais Pierre Nkurunziza wa Burundi kuhusu hali ya Burundi, Spika Ndikuriyo amesema Serikali ya Burundi ipo tayari kufanya mazungumzo na wadau wote wa siasa kuhusu hali ya nchi hiyo...

 

10 years ago

Michuzi

Court delivers three rulings on Burundi Journalists Association; creation of Burundi’s National Commission for Lands; and travel ban imposed on Rufyikiri

East African Court of Justice Arusha, 15 August 2014: The First Instance Division today delivered three rulings in the Application matters, one allowed and other two dismissed.
The First Ruling of the Court
The First Instance Division allowed Civil Society groups and Non- Governmental Organizations operating with and without the borders of the Republic of Burundi to participate in the case filed by Burundi Journalists Association as amicus curiae (Friends of the Court) pursuant to Rule 36 of...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani