Uchaguzi wa Burundi 2020: Kwa nini Rwanda na Burundi zimekuwa maadui wakubwa?
Wakati, Burundi ikijiandaa kwa uchaguzi mkuu wiki ijayo, uhusiano kati ya nchi hiyo na jirani yake wa karibu Rwanda ukiwa umevunjika
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili06 May
Uchaguzi wa Burundi 2020: Vurugu na mauaji yakumba kampeini za uchaguzi Burundi
Polisi nchini Burundi wamesema kuwa wamewakamata watu wapatao 64 kutoka chama kikuu cha siasa cha CNL, kumekuwa na ghasia pamoja na mauaji dhidi ya wanachama wa chama kikuu katika kampeni za kuelekea uchaguzi mkuu wa rais tarehe 20 Mei.
5 years ago
BBCSwahili14 May
Uchaguzi wa Burundi 2020: Kwanini Burundi imewatimua maafisa wa WHO?
Ujumbe kutoka kwa wizara ya mambo ya nje nchini Burundi, umetumwa mtandaoni ukiwataka wawakilishi wa Shirika la Afya Duniani kuondoka nchini humo ndani ya saa 48.
5 years ago
BBCSwahili18 May
Uchaguzi wa Burundi 2020: Je, upinzani utafurukuta ama kumsindikiza mgombea wa chama tawala?
Benki ya Dunia inakadiria kuwa watu saba kati ya kumi nchini Burundi ni masikini kupindukia.
10 years ago
BBCSwahili16 Jun
Burundi tayari kwa Uchaguzi mkuu, Waziri
Serikali ya Burundi imeihakikishia jamii ya kimataifa kuwa hali ya usalama imeimarika baada ya maandamano ya upinzani kuzimwa.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-0MTvmzi6emI/Va6cQnAzB-I/AAAAAAAHq8Q/4jaJtKDXolA/s72-c/unnamed%2B%252832%2529.jpg)
Uchaguzi Mkuu wa Rais nchini Burundi wafanyika kwa amani
![](http://1.bp.blogspot.com/-0MTvmzi6emI/Va6cQnAzB-I/AAAAAAAHq8Q/4jaJtKDXolA/s640/unnamed%2B%252832%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-TiryPbpJJHM/Va6cQyc2LwI/AAAAAAAHq8U/Tg8X-qLRDhY/s640/unnamed%2B%252833%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-d8BFVztuISI/Va6cSZspAVI/AAAAAAAHq8k/FoBSoeeZSWc/s640/unnamed%2B%252834%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-1oro46rJeZU/Va6cR3ziQCI/AAAAAAAHq8g/KmLkE455gIY/s640/unnamed%2B%252835%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-oDGbkTeHNzE/Va6c_DD5KuI/AAAAAAAHq8w/UDGCNzpWsIA/s640/unnamed%2B%252836%2529.jpg)
9 years ago
BBCSwahili01 Oct
Burundi na Rwanda zalaumiana
Taifa la Burundi limelishtumu taifa jirani la Rwanda kwa kuwafunza waasi wanaotaka Kuvuruga hali ya usalama nchini humo.
10 years ago
MichuziUJUMBE WA TANZANIA WAKUTANA NA MWAKILISHI MKAZI WA BENKI YA DUNIA KWA TANZANIA,RWANDA,UGANDA NA BURUNDI
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-pNBdVlin5Lw/VbHEumWFvGI/AAAAAAAHrYs/5dS9hlmWL6c/s72-c/unnamed.jpg)
BAADA YA UCHAGUZI WA AMANI, BURUNDI BAN KI MOON ATAKA KUTEJEA KWA MAZUNGUMZO
Na Mwandishi Maalum, New York.
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki Moon, amezitaka pande zinazopingana nchini Burundi kubaki watulivu na kurejea mara moja katika meza ya majadiliano jumuishi ya kisiasa ili kumaliza tofauti zao na kujadili changamoto zinazolikabili taifa lao.
Kwa mujibu wa Taarifa iliyotolewa na Msemaji wa Katibu Mkuu, Julai 23, Ban Ki Moon ametambua hali ya Amani na utulivu iliyotawala wakati wa uchaguzi wa Rais wa nchi hiyo ( Burundi )uliofanyika Julai 21...
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki Moon, amezitaka pande zinazopingana nchini Burundi kubaki watulivu na kurejea mara moja katika meza ya majadiliano jumuishi ya kisiasa ili kumaliza tofauti zao na kujadili changamoto zinazolikabili taifa lao.
Kwa mujibu wa Taarifa iliyotolewa na Msemaji wa Katibu Mkuu, Julai 23, Ban Ki Moon ametambua hali ya Amani na utulivu iliyotawala wakati wa uchaguzi wa Rais wa nchi hiyo ( Burundi )uliofanyika Julai 21...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania
Magazeti ya Leo
Zinazosomwa Sasa
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10