Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


84 kizimbani vurugu Udom, Serikali yajisafisha

Wanafunzi 84 wa programu maalum ya stashahada ya ualimu katika Chuo Kikuu cha Dodoma(udom) waliofanya mgomo na kuandamana kushinikiza kulipwa madai yao, juzi wamepandishwa kizimbani kwa kosa la kukusanyika bila kibali maalum.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

KIJANA ALIYEVUNJIKA MGUU KATIKA VURUGU ZA UDOM APATIWA MSAADA

Kijana Iddy (mwanafunzi wa UDOM), aliyevunjika mguu katika vurugu za mgomo uliyofanywa na wanafunzi wa UDOM juzi. Mguu wa kulia wa kijana Iddy ukiwa umevunjika. KIJANA Iddy ambaye ni mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) aliyevunjika mguu katika vurugu za mgomo uliofanywa na wanafunzi wa UDOM Kitivo cha Sayansi ya Jamii juzi amepatiwa msaada… ...

 

10 years ago

Tanzania Daima

16 kizimbani vurugu za wafugaji Siha

WAKAZI 16 wa Kijiji cha Miti Mirefu na Sanya Juu wilayani Siha, Kilimanjaro wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Hai wakikabiliwa na makosa ya kuvamia shamba la mwekezaji, kampuni ya...

 

9 years ago

Mwananchi

38 kizimbani kwa kufanya vurugu Mbagala wakati wa uchaguzi

Watu 38 wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi  K isutu wakikabiliwa na mashtaka manne likiwamo la kutoa vitisho vya shinikizo kwa msimamizi  atoe matokeo ya Ubunge ya Mbagala bila ya kufuata utaratibu na  kuchoma maboxi 11 ya kupigia kura  na karatasi za kupigia kura zenye thamani ya Sh 2.2 milioni.

 

11 years ago

Habarileo

‘Serikali ipongezwe uwepo wa UDOM’

MAKAMU Mkuu wa Chuo Kikuu Cha Dodoma (UDOM), Profesa Idrisa Kikula amesema uwepo wa chuo hicho ni kazi nzuri iliyofanywa na serikali ambayo kila mtu anatakiwa kujivunia.

 

10 years ago

Tanzania Daima

TFF yajisafisha upupu wa Ndumbaro

SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), limeyatolea ufafanuzi madai ya wakili wa kujitegemea aliyefungiwa kujihusisha na soka kwa miaka saba Dk. Damas Ndumbaro, aliyoyitoa katika mkutano wake na wanahabari, kuhusu uhalali...

 

10 years ago

Michuzi

Zaidi ya wanafunzi 60,000 wa UDOM kufurahia Airtel WI-FI - Airtel yazinduzi mnara wa pili UDOM

 Afisa masoko wa Airtel tanzania Prospa Mwanda akionyesha kwa wanafunzi wa chuo Kikuu dodoma (UDOM) jinsi huduma mpya ya Airtel Wi-Fi Intaneti  inavyofanya kazi mara baada ya uzinduzi wa huduma hiyo chuoni hapo jana. Airtel Tanzania chuoni hupo imezindua huduma ya UNI Wi-Fi Intaneti yenye ubora zaidi na itakayopatikana kwa wananfunzi kwa gharama nafuu
 Meneja masoko wa Airtel Uni Wi-Fi Bi Aneth Muga anaepiga picha ya selfie ili waitume kwa kutumia huduma ya Airtel Wi-Fi intaneti kwa baadhi ya...

 

11 years ago

Habarileo

Kizimbani kwa kujifanya mtumishi wa serikali

MFANYABIASHARA Selemani Musa (46) amefikishwa katika Mahakama ya Mwanzo Kariakoo kwa tuhuma za kujifanya mtumishi wa Serikali. Karani Katherine Maduhu alidai mbele ya Hakimu Mwajuma Diwani kuwa mtuhumiwa huyo alitenda kosa hilo Novemba 20, mwaka jana Mtaa wa Msimbazi Kariakoo.

 

10 years ago

Habarileo

Serikali yaonya siasa za kihuni, vurugu

Hawa GhasiaVYAMA vya siasa nchini vimetakiwa kuendesha siasa za kistaarabu na kutokuwa vyanzo vya vurugu katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ambapo kwenye baadhi ya maeneo nchini viongozi wameripotiwa kutekwa wakati wakirejesha fomu huku maeneo mengine watu wakitajwa kuzuia uandikishaji wa wapiga kura.

 

11 years ago

Michuzi

RAIA WA KENYA KIZIMBANI KWA KUHUJUMU SERIKALI NA TCRA

Na Mwene Said wa Globu ya  Jamii, Mahakamani Mtu mmoja raia wa Kenya Nelson Onyango (43), mkazi wa Kariakoo, jijini Dar es Salaam, amefikishwa katika Mahakamani akikabiliwa na mashitaka saba ya udanganyifu, kutumia kadi zisizosajiliwa, kuingiza nchini na kutumia mitambo ya simu bila kibali, kutoa huduma ya mawasiliano ya kimataifa bila kibali cha Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) na kuisabishia serikali na mamlaka hiyo hasara ya Sh. Milioni 6.8.   Onyango alisomewa mashitaka yake leo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani