KIJANA ALIYEVUNJIKA MGUU KATIKA VURUGU ZA UDOM APATIWA MSAADA
![](http://api.ning.com:80/files/UdapVcRNixvQyOrPXIx1FO*aYl17atrRdRVR75h15cFOfC-J4qx4aQiqw7hTsi0DkM3OXfGF076ARPx1cWWq*UA3t0Tme5xA/IMG20150116WA0001.jpg)
Kijana Iddy (mwanafunzi wa UDOM), aliyevunjika mguu katika vurugu za mgomo uliyofanywa na wanafunzi wa UDOM juzi. Mguu wa kulia wa kijana Iddy ukiwa umevunjika. KIJANA Iddy ambaye ni mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) aliyevunjika mguu katika vurugu za mgomo uliofanywa na wanafunzi wa UDOM Kitivo cha Sayansi ya Jamii juzi amepatiwa msaada… ...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboBAADHI YA WANA HARAKATI WA DODOMA WAKIMJULIA HALI MWANAFUNZI WA UDOM ALIYEVUNJIKA MGUU
![](http://2.bp.blogspot.com/-N1t7Kpm9-AI/VLdyFCsYM7I/AAAAAAAAaW0/tcagPIIaG_s/s640/IMG-20150115-WA0002%281%29.jpg)
10 years ago
BBCSwahili26 Aug
Kijana mwenye miaka 4 akatwa mguu Kenya
10 years ago
Dewji Blog25 Mar
MO DEWJI FOUNDATION yampatia Baiskeli kijana aliyepooza mguu
Mtendaji Mkuu wa MO DEWJI FOUNDATION, Gerald Mgesi David akimkabidhi rasmi kijana Paulo Ezekiel (23) msaada wa baiskeli ya magurudumu matatu (tricycle) itakayomsaidia katika kutembelea kwenye shughuli zake za kila siku.
Na Andrew Chale wa Modewji blog
Taasisi ya MO DEWJI FOUNDATION inayojishughulisha na miradi ya kusaidia jamii Tanzania katika masuala mbalimbali ikiwemo Afya, elimu na maji mwishoni mwa wiki imeweza kumpatia kijana Paulo Ezekiel (23) msaada wa baiskeli ya magurudumu...
10 years ago
Mwananchi15 Jan
84 kizimbani vurugu Udom, Serikali yajisafisha
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Aax03I0kAOY/VZT_e8x6zQI/AAAAAAAC8F8/jCqsa47q8Gw/s72-c/New%2BPicture.png)
OMBI LA MSAADA WA HALI NA MALI ; KIJANA ABEL MACHANGA ANAHITAJI MSAADA WA MATIBABU
![](http://2.bp.blogspot.com/-Aax03I0kAOY/VZT_e8x6zQI/AAAAAAAC8F8/jCqsa47q8Gw/s640/New%2BPicture.png)
Familia inaomba msaada wa wasamaria wema ili kugharamia matibabu ya Abel kutokana kuwa gharama za matibabu ni kubwa kuliko uwezo wa familia.
Kwa yeyote atakayetakayeguswa na taarifa hii, anakaribishwa kumtembelea Abel Hospitalini ili kukutana naye na kusikia kilio chake Kwa mlio mbali,...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-DKap6Y07kzY/Xs5qCYGehwI/AAAAAAALruw/02mPbjQs2UkagrMONEX4G75IjBrnF0MSgCLcBGAsYHQ/s72-c/unnamed.jpg)
MWANAFUNZI ALIYEKATWA MGUU AOMBA MSAADA WA MASOMO
NA BALTAZAR MASHAKA, MWANZA
MWANAFUNZI wa darasa la tano katika Shule ya Msingi Katoba ya wilayani Muleba, Aristidia John, amepata msaada wa baiskeli ya magurudumu matatu (Wheerchair).
Baiskeli hiyo iliyotolewa na taasisi ya The Desk & Chair Foundation ili kumrahisishia usafiri ilikabidhiwa jana kwa mtoto huyo na Mwenyekiti wa Klabu ya Waandishi wa Habari Mkoa wa Mwanza (MPC) .
Aristidia ambaye ni mwanafunzi wa darasa la tano katika Shule ya Msingi Katoba wilayani Muleba, alifanyiwa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-79pES9e1QJg/VHJcTM-5xcI/AAAAAAAAPhw/yoBozBohoJs/s72-c/10818625_10154825415810247_1542609338_n.jpg)
Kijana Suleiman Othuman wa Zanzibar anaomba msaada wenu
![](http://1.bp.blogspot.com/-79pES9e1QJg/VHJcTM-5xcI/AAAAAAAAPhw/yoBozBohoJs/s1600/10818625_10154825415810247_1542609338_n.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-1tL64dO6Rv8/VHJcyZdJJcI/AAAAAAAAPh4/PnWtPlsdBBA/s1600/10815677_10154825415795247_2063630105_n.jpg)
Assalam Aleikum ndugu zangu mnaotusoma kwenye blog hii kila siku, msaada unahitajika kwa kijana Suleiman Othman Ally mwenye umri wa miaka 19, mkaazi wa Zanzibar, amepatwa na tatizo la uvimbe mkubwa kwenye mgongo wake baada ya kupatwa na ajali kugongwa na Vespa kwa muda wa siku nyingi tu.Walimpeleka Hospitali ya Mnazi mmoja ambapo ilishindikana kupata matibabu...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/5wUz0Axo-yo/default.jpg)
11 years ago
Mwananchi26 Mar
Ukawa sasa mguu ndani, mguu nje