MWANAFUNZI ALIYEKATWA MGUU AOMBA MSAADA WA MASOMO
![](https://1.bp.blogspot.com/-DKap6Y07kzY/Xs5qCYGehwI/AAAAAAALruw/02mPbjQs2UkagrMONEX4G75IjBrnF0MSgCLcBGAsYHQ/s72-c/unnamed.jpg)
NA BALTAZAR MASHAKA, MWANZA
MWANAFUNZI wa darasa la tano katika Shule ya Msingi Katoba ya wilayani Muleba, Aristidia John, amepata msaada wa baiskeli ya magurudumu matatu (Wheerchair).
Baiskeli hiyo iliyotolewa na taasisi ya The Desk & Chair Foundation ili kumrahisishia usafiri ilikabidhiwa jana kwa mtoto huyo na Mwenyekiti wa Klabu ya Waandishi wa Habari Mkoa wa Mwanza (MPC) .
Aristidia ambaye ni mwanafunzi wa darasa la tano katika Shule ya Msingi Katoba wilayani Muleba, alifanyiwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog28 May
Mwanafunzi mlemavu mikono yote miwili aomba msaada wa JK
Mwanafunzi wa darasa la sita shule ya msingi Ikungi mchanganyiko wilaya ya Ikungi mkoa wa Singida, Julius Charles (12) ambaye anatumia mguu wa kulia kuandika kutokana na kutokuwa na mikono.Pia anatumia mguu huo kutandika kitanda chake.
Na Nathaniel Limu, Ikungi
MWANAFUNZI wa darasa la sita shule ya msingi Ikungi mchanganyiko wilaya ya Ikungi mkoani Singida,Julius Charles (12) ambaye hana mikono ameiomba serikali imsaidie kupata mtu atakaye mhudumia ili aweze kusoma kwa uhuru zaidi aweze...
11 years ago
Michuzi29 May
MWANAFUNZI MLEMAVU MIKONO YOTE MIWILI AOMBA MSAADA
![DSC08466](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/05/DSC08466.jpg)
Na Nathaniel Limu, Ikungi
MWANAFUNZI wa darasa la sita shule ya msingi Ikungi mchanganyiko wilaya ya Ikungi mkoani Singida,Julius Charles (12) ambaye hana mikono ameiomba serikali imsaidie kupata mtu atakaye mhudumia ili aweze kusoma kwa uhuru zaidi aweze...
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/05/DSC08466.jpg)
MWANAFUNZI MLEMAVU MIKONO YOTE MIWILI AOMBA MSAADA WA JK
10 years ago
Dewji Blog27 Jun
Masikini mama huyu kwa maumivu anayoyapata, aomba kukatwa mguu
![](http://2.bp.blogspot.com/-TcLZCLKXdf8/VYwgzZqwcAI/AAAAAAABPgg/6QmYScnYloE/s1600/aomba%2Bkukatwa%2Bmguu1.jpg)
JAMII imeombwa kutoa msaada wa hali na mali kwa Bi. GRACE KAIZA mkazi wa Igoma jijini Mwanza ambaye ameomba kukatwa mguu wake kutokana na Saratani ( Kansa) katika mguu huo.
Akizungumza na *JEMBE Habari* Bi. Grace Kaiza amesema amekuwa akisumbuliwa na maradhi hayo kwa muda mrefu jambo lililomuathiri kwa kiasi kikubwa kiafya na hata kiuchumi.
Akielezea namna tatizo hilo lilivyompata amesema lilianza kama uvimbe katika mguu wake kisha kufanyiwa upasuaji mara kadhaa lakini haikusaidia na ndipo...
10 years ago
VijimamboBAADHI YA WANA HARAKATI WA DODOMA WAKIMJULIA HALI MWANAFUNZI WA UDOM ALIYEVUNJIKA MGUU
![](http://2.bp.blogspot.com/-N1t7Kpm9-AI/VLdyFCsYM7I/AAAAAAAAaW0/tcagPIIaG_s/s640/IMG-20150115-WA0002%281%29.jpg)
10 years ago
Michuzi23 May
10 years ago
BBCSwahili24 Feb
Roboti yahudhuria masomo kama mwanafunzi
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UdapVcRNixvQyOrPXIx1FO*aYl17atrRdRVR75h15cFOfC-J4qx4aQiqw7hTsi0DkM3OXfGF076ARPx1cWWq*UA3t0Tme5xA/IMG20150116WA0001.jpg)
KIJANA ALIYEVUNJIKA MGUU KATIKA VURUGU ZA UDOM APATIWA MSAADA
11 years ago
Tanzania Daima15 Jun
Aomba msaada wa matibabu
GERALD Mwambungu (35) mkazi wa Ubungo Chuo Kikuu jijini Dar es Salaam, anaomba msaada wa kwenda India kwa ajili ya matibabu ya mguu wake wa kulia. Akizungumza jana katika ofisi...