Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Roboti yahudhuria masomo kama mwanafunzi

Mwanafunzi Cole ,chini Marekani alipata ajali ya gari na kuumia vibaya na sasa anahudhuria masomo kwa msaada wa njia ya roboti.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

MWANAFUNZI ALIYEKATWA MGUU AOMBA MSAADA WA MASOMO


NA BALTAZAR MASHAKA, MWANZA

MWANAFUNZI wa darasa la tano katika Shule ya Msingi Katoba ya wilayani Muleba, Aristidia John, amepata msaada wa baiskeli ya magurudumu matatu (Wheerchair).

Baiskeli hiyo iliyotolewa na taasisi ya The Desk & Chair Foundation ili kumrahisishia usafiri ilikabidhiwa jana kwa mtoto huyo na Mwenyekiti wa Klabu ya Waandishi wa Habari Mkoa wa Mwanza (MPC) .

Aristidia ambaye ni mwanafunzi wa darasa la tano katika Shule ya Msingi Katoba wilayani Muleba, alifanyiwa...

 

9 years ago

Vijimambo

TIMU YA VOA YAHUDHURIA KONGAMANO LA MTANDAO JIJINI DAR

Timu ya Voice of America (VOA) wakiwa katika picha ya pamoja kwenye hotel ya Serena jijini Dar es Salaam kwenye kongamano la mtandao siku ya Jumanne Aug 25, 2015.

 

11 years ago

Michuzi

Tanzania yahudhuria mkutano wa tathmini ya Mkakati wa Umoja wa Mataifa dhidi ya ugaidi

Na Mwandishi Maalum, New York Wakati wajumbe wanaoshiriki mkutano wa tathmini kuhusu Mkakati wa Umoja wa Mataifa  dhidi ya ugaidi wakilaani matukio ya kigaidi yanayotekea katika nchi mbalimbali, baadhi ya wajumbe hao wametaka matukio hayo yasihusishwe na madhehebu ya dini iwayo yoyete ile.  Mkutano huo wa siku mbili umemalizika siku ya Ijumaa hapa Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa na Ujumbe wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania uliongozwa na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani Mhe....

 

11 years ago

CloudsFM

POLISI AMRUBUNI MWANAFUNZI KUFANYA NAYE MPENZI,AMWACHA CHUMBANI KWAKE,NYUMBA YAKE YAUNGUA MOTO,MWANAFUNZI AFARIKI DUNIA

Wananchi wa Mlangali, Ludewa wakiwa wamekizingira kituo cha polisi Mlangali mara baada ya kuipeleka maiti ya mtoto aliyeteketea kwa moto katika kituo hicho.KIONGOZI wa mbio za mwenge Kitaifa awatuliza wananchi wa Mlangali wilaya ya Ludewa ambao baadhi yao waliandamana kituo cha polisi kushinikiza kutolewa kwa askari polisi aliyedaiwa kusababisha kifo cha mtoto ili auwawe.Kiongozi huyo aliwaomba wananchi wa Mlangali kutokubali kujihusisha na vitendo vya uvunjifu wa amani ikiwa ni pamoja na...

 

9 years ago

BBCSwahili

Ajira zitakazochukuliwa na roboti

Je, Teknolojia imekuwa ikichukua kazi za mikono kwa miaka kadhaa sasa?Lakini ni kazi gani ambazo roboti itazinyakua katika miaka ya baadaye.

 

11 years ago

BBCSwahili

Roboti zasimamisha magari DRC

Je roboti kubwa zenye sauti kubwa na mikono mikubwa zinaweza kuwa jibu la kupunguza msongamanao wa magari barabarani?

 

11 years ago

Mwananchi

Roboti kupunguza foleni D’ Salaam

Matumizi ya roboti katika kuongoza magari imeelezwa kwamba inaweza kusaidia kukabiliana na tatizo la foleni za magari Jijini Dar es Salaam.

 

10 years ago

BBCSwahili

Roboti yamuua mfanyikazi wa Volkswagen

Mfanyikazi mmoja katika kiwanda cha kutengeza magari aina ya Volkswagen nchini Ujerumani amefariki baada ya roboti kum'beba na kumuangusha katika chuma

 

10 years ago

BBCSwahili

Roboti zapata ajira mgahawani China

Mgahawa mmoja nchini China umeanza kutumia Roboti badala ya wafanyakazi kuwapakulia chakula na vinywaji wageni. Hebu tazama mambo yalivyo

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani