Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ajira zitakazochukuliwa na roboti

Je, Teknolojia imekuwa ikichukua kazi za mikono kwa miaka kadhaa sasa?Lakini ni kazi gani ambazo roboti itazinyakua katika miaka ya baadaye.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Roboti zapata ajira mgahawani China

Mgahawa mmoja nchini China umeanza kutumia Roboti badala ya wafanyakazi kuwapakulia chakula na vinywaji wageni. Hebu tazama mambo yalivyo

 

11 years ago

Mwananchi

Roboti kupunguza foleni D’ Salaam

Matumizi ya roboti katika kuongoza magari imeelezwa kwamba inaweza kusaidia kukabiliana na tatizo la foleni za magari Jijini Dar es Salaam.

 

11 years ago

BBCSwahili

Roboti zasimamisha magari DRC

Je roboti kubwa zenye sauti kubwa na mikono mikubwa zinaweza kuwa jibu la kupunguza msongamanao wa magari barabarani?

 

10 years ago

BBCSwahili

Roboti yamuua mfanyikazi wa Volkswagen

Mfanyikazi mmoja katika kiwanda cha kutengeza magari aina ya Volkswagen nchini Ujerumani amefariki baada ya roboti kum'beba na kumuangusha katika chuma

 

10 years ago

BBCSwahili

Roboti kuchukua kazi za raia Uingereza

Zaidi ya thuluthi moja ya ajira nchini Uingereza ziko katika hatari ya kuchukuliwa na roboti katika kipindi cha miaka 20 ijayo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Roboti yahudhuria masomo kama mwanafunzi

Mwanafunzi Cole ,chini Marekani alipata ajali ya gari na kuumia vibaya na sasa anahudhuria masomo kwa msaada wa njia ya roboti.

 

10 years ago

BBCSwahili

Roboti kuchukua kazi za raia Australia

Takriban asilimia 40 ya kazi nchini Australia ambazo zipo kwa sasa huenda zikapotea katika kipindi cha kati ya miaka 10 hadi 15 ijayo

 

10 years ago

BBCSwahili

Roboti yatua kwenye Kimondo angani

Roboti hiyo iliyotengezwa Ulaya , imefanikiwa kutua katika kimondo baada ya safari ya miaka kumi likiwa ni jambo la kihistoria

 

10 years ago

Habarileo

Wengi wapasuliwa kwa njia ya roboti

IMEELEZWA kuwa Watanzania wengi wanaosumbuliwa na magonjwa ya saratani ya kichwa, shingo ya kizazi na mfumo wa mkojo wamekuwa wakipatiwa matibabu katika Hospitali ya Apollo nchini India kwa kutumia upasuaji kwa njia ya roboti.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani