Roboti yatua kwenye Kimondo angani
Roboti hiyo iliyotengezwa Ulaya , imefanikiwa kutua katika kimondo baada ya safari ya miaka kumi likiwa ni jambo la kihistoria
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
CloudsFM24 Jul
Just In: Ndege ya Algeria yenye watu 116 yapotea angani, haionekani kwenye radar
Ndege ya shirika la Air Algerie la Algeria iliyokuwa ikitoka nchini Burkina Faso kwenda Algiers imepotea kwenye radar mapema leo.
Mamlaka inayohusika na uchunguzi wa anga imesema imepoteza mawasiliano na ndege hiyo saa 0155 GMT, au dakika 50 baada ya kupaa. Hiyo ina maana kuwa ndege hiyo imepotea kwa saa kadhaa kabla ya habari hiyo kujulikana.
Ndege hiyo ilikuwa ikitoka Ouagadougou, mji mkuu wa Burkina Faso.
5 years ago
BBCSwahili11 May
Virusi vya corona: Je roboti zinatumika vipi kwenye vituo vya Covid-19 Rwanda?
10 years ago
Raia Tanzania09 Jul
Kimondo FC yambadilikia Jerry Muro
UONGOZI wa Kimondo FC ya Mbeya unatarajia kuwasilisha barua kwenye Kamati ya Nidhamu ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), kuomba kufungiwa kutokujiusisha na soka kwa Mkurugenzi wa Mawasiliano na Habari wa Yanga, Jerry Muro kwa madai ya kutoa maneno machafu kwa Mkurugenzi wa timu hiyo, Erick Ambakisye.
Msemaji wa Kimondo FC Chriss Kashilika alisema jana kuwa uongozi wao ulitoa siku saba kwa Muro kumuomba msahama Ambakisye kutokana na maneno hayo machafu aliyomtolea mkurugenzi wao...
10 years ago
BBCSwahili13 Nov
Wanasayansi wajawa na shauku ya kimondo
10 years ago
Mwananchi08 Jul
Yanga yaufyata kwa Kimondo
10 years ago
Raia Mwema12 Aug
9 years ago
Raia Mwema20 Sep
Kimondo cha Mbozi na imani za dini
KATIKA makala iliyopita kuhusu kimondo cha Mbozi, tuliangalia imani ya wenyeji kuhusu chuma hicho
Felix Mwakyembe
10 years ago
Vijimambo08 Jul
Kimondo: Mwashiuya sasa ruksa Yanga.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Jonas-8July2015.jpg)
Mshambuliaji Geofrey Mwashiuya ambaye alikuwa akidaiwa kujiunga na Yanga kinyemela, sasa ni mchezaji halali wa kikosi hicho kinachonolewa na Mholanzi Has van der Pluijm baada ya klabu hiyo ya Mtaa wa Twiga na Jangwani jijini Dar es Salaam kumalizana kimya kimya na Kimondo FC.
Klabu ya Yanga na Kimondo FC zilikutana jana jijini Mbeya kwa ajili ya kutafuta muafaka na inaelezwa kuwa kikao hicho kilichukua zaidi ya saa sita kulimaliza sakata hilo.
Akizungumza...
10 years ago
Mwananchi11 Oct
Kimondo, Villa hapatoshi ligi daraja la kwanza