Karibu kimondo uoshe nyota
UMEKUJA kuosha nyota?
Raia Mwema
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi30 Nov
Vitenge vya nyota nyota vyatikisa
10 years ago
Raia Tanzania09 Jul
Kimondo FC yambadilikia Jerry Muro
UONGOZI wa Kimondo FC ya Mbeya unatarajia kuwasilisha barua kwenye Kamati ya Nidhamu ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), kuomba kufungiwa kutokujiusisha na soka kwa Mkurugenzi wa Mawasiliano na Habari wa Yanga, Jerry Muro kwa madai ya kutoa maneno machafu kwa Mkurugenzi wa timu hiyo, Erick Ambakisye.
Msemaji wa Kimondo FC Chriss Kashilika alisema jana kuwa uongozi wao ulitoa siku saba kwa Muro kumuomba msahama Ambakisye kutokana na maneno hayo machafu aliyomtolea mkurugenzi wao...
10 years ago
Mwananchi08 Jul
Yanga yaufyata kwa Kimondo
10 years ago
BBCSwahili13 Nov
Wanasayansi wajawa na shauku ya kimondo
10 years ago
Vijimambo08 Jul
Kimondo: Mwashiuya sasa ruksa Yanga.
Mshambuliaji Geofrey Mwashiuya ambaye alikuwa akidaiwa kujiunga na Yanga kinyemela, sasa ni mchezaji halali wa kikosi hicho kinachonolewa na Mholanzi Has van der Pluijm baada ya klabu hiyo ya Mtaa wa Twiga na Jangwani jijini Dar es Salaam kumalizana kimya kimya na Kimondo FC.
Klabu ya Yanga na Kimondo FC zilikutana jana jijini Mbeya kwa ajili ya kutafuta muafaka na inaelezwa kuwa kikao hicho kilichukua zaidi ya saa sita kulimaliza sakata hilo.
Akizungumza...
9 years ago
Raia Mwema20 Sep
Kimondo cha Mbozi na imani za dini
KATIKA makala iliyopita kuhusu kimondo cha Mbozi, tuliangalia imani ya wenyeji kuhusu chuma hicho
Felix Mwakyembe
10 years ago
BBCSwahili12 Nov
Roboti yatua kwenye Kimondo angani
10 years ago
Mwananchi11 Oct
Kimondo, Villa hapatoshi ligi daraja la kwanza
10 years ago
MichuziFriends Rangers kukipiga na Kimondo katika uwanja wa Karume Kesho
VINARA wa Ligi Daraja la kwanza katika kundi A, timu ya Friends Rangers, kesho wanashuka katika Uwanja wa Karume, Dar es Salaam, kuvaana na timu ya Kimondo, katika mchezo wa Ligi Daraja la Kwanza.
Ofisa Habari wa klabu hiyo, Asha Kigundula, amewataka wapenzi wa klabu hiyo kujitokeza kwa wingi katika mchezo huo, kuwapa hamasa wachezaji wao. Kigundula alisema kuwa wana amini mchezo huo utakuwa mgumu, lakini kujitokeza kwa wapenzi wengi kutawafanya wachezaji wao...