Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kimondo cha Mbozi na imani za dini

KATIKA makala iliyopita kuhusu kimondo cha Mbozi, tuliangalia imani ya wenyeji kuhusu chuma hicho

Felix Mwakyembe

Raia Mwema

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

KUELEKEA MAJIMBONI 2015 : CCM ijihadhari majimbo ya Mbarali, Mbozi Magharibi na Mbozi Mashariki

Jimbo la Mbarali kama yalivyo mengine lilianza siasa za vyama vingi mwaka 1995 kwa ushawishi wa kipekee kutoka kwa vyama mbalimbali, huku NCCR Mageuzi ikionyesha kila aina ya makeke.

 

10 years ago

GPL

DK. SLAA AVISHWA VAZI LA KICHIFU, APEWA JINA LA 'MWENE WA MBOZI' HUKO MBOZI MKOANI MBEYA

Kiongozi wa Machifu wa Kabila la Wanyiha, Greenwell Msangawale akimvisha vazi maalum la kichifu Dk.Slaa. Kiongozi wa Machifu wa Kabila la Wanyiha, Greenwell Msangawale akiongea na wananchi wa Mbozi baada ya zoezi hilo.…

 

10 years ago

Mwananchi

Kiganja cha mtoto albino wa Rukwa chapatikana Mbozi

Kiganja cha mtoto Baraka Cosmas (6) mwenye ulemavu wa ngozi (albino) kilichokatwa Machi 8 kwenye Kijiji cha Kipeta, Sumbawanga Vijijini kimepatikana mwishoni mwa wiki wilayani Mbozi.

 

10 years ago

Vijimambo

MAMA WA UPENDO, KISIWA CHA IMANI

Mwanadamu ulizaliwa katika hisia za kulia  ukiwa kichanga mwenye uchafu Asili ya upendo ipo kwa mama ulipofumbua macho ulikutana na tabasamu la mama.

Mama alitabasamu wakati unalia mama alijifanya uchizi ili kukufurahisha ghafla ungetokea kuwaona mtoto anapocheza na mama yake ungelidhani wote ni watoto kwa mapenzi ya mama.

Mwanadamu tambua unaweza umizwa na wengi lakini upendo wa mama ukakufanya utulie na hakuna mapenzi ya kweli kwa mtu kama mapenzi ya mama.

Mama juu yako baya likikukuta mama...

 

10 years ago

Michuzi

WATU WANNE MBARONI AKIWEMO M/KITI WA KIJIJI CHA IHANDA WILAYANI KONGWA DODOMA KWA TUHUMA ZA MAUAJI YAKIHUSISHA IMANI ZA KISHIRIKINA

Na. Sylvester Onesmo/Dorice Kigombe wa Jeshi la Polisi Dodoma.

Watu watatu wameuawa Wilayani Kongwa Mkoani Dodoma katika matukio mawili tofauti yanayohusisha imani za kishirikina.
Akizungumzia matukio Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME – SACP amesema tukio la kwanza limetokea tarehe 01/03/2015 majira ya saa 01:00hrs katika kitongoji cha Golani, kijiji cha Masinyeti, kata ya Iduo, tarafa ya Mlali Wilaya ya Kongwa Mkoani Dodoma ambapo mtu mmoja...

 

10 years ago

Mtanzania

Dk. Shein: Dini isiwe chanzo cha vurugu

Rais wa Zanzibar na Mwenyekitki wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein

Rais wa Zanzibar na Mwenyekitki wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein

Na Mwandishi Wetu, Pemba

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dk. Ali Mohamed Shein, amewataka wananchi wasiwe chanzo cha kuvurugika kwa amani nchini kwa kisingizio cha harakati za kidini na kisiasa.

Hayo aliyasema jana katika hotuba yake kwenye Baraza la Idd el Hajj,  lililofanyika katika ukumbi wa Chuo cha Kiislamu Kiuyu, Mkoa wa Kaskazini Pemba na kuhudhuriwa na viongozi ...

 

10 years ago

Mwananchi

Yanga yaufyata kwa Kimondo

Waswahili wanasema kubali yaishe. Hicho ndicho kilichotokea baada ya mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga ‘kuiangukia’ Kimondo FC ili kumaliza mgogoro wa usajili wa mshambuliaji Geofrey Mwashiuya.

 

10 years ago

Raia Mwema

Karibu kimondo uoshe nyota

UMEKUJA kuosha nyota?

Felix Mwakyembe

 

10 years ago

Raia Tanzania

Kimondo FC yambadilikia Jerry Muro

UONGOZI wa Kimondo FC ya Mbeya unatarajia kuwasilisha barua kwenye Kamati ya Nidhamu ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), kuomba   kufungiwa kutokujiusisha na soka kwa Mkurugenzi wa Mawasiliano na Habari wa Yanga, Jerry Muro kwa madai ya kutoa maneno machafu kwa Mkurugenzi wa timu hiyo, Erick Ambakisye.

Msemaji wa Kimondo FC Chriss Kashilika alisema jana kuwa uongozi wao ulitoa siku saba kwa  Muro kumuomba msahama Ambakisye kutokana na maneno hayo machafu aliyomtolea mkurugenzi wao...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani