Kimondo FC yambadilikia Jerry Muro
UONGOZI wa Kimondo FC ya Mbeya unatarajia kuwasilisha barua kwenye Kamati ya Nidhamu ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), kuomba kufungiwa kutokujiusisha na soka kwa Mkurugenzi wa Mawasiliano na Habari wa Yanga, Jerry Muro kwa madai ya kutoa maneno machafu kwa Mkurugenzi wa timu hiyo, Erick Ambakisye.
Msemaji wa Kimondo FC Chriss Kashilika alisema jana kuwa uongozi wao ulitoa siku saba kwa Muro kumuomba msahama Ambakisye kutokana na maneno hayo machafu aliyomtolea mkurugenzi wao...
Raia Tanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo20 Dec
Jerry Muro matatani
SHIRIKISHO la soka Tanzania (TFF) litamfikisha kwenye Kamati ya Maadili Mkuu wa Mawasiliano wa Yanga Jerry Muro kwa kauli za kibaguzi dhidi ya Mkuu wa Mawasiliano wa Simba, Haji Manara.
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/F1N34MjbgIY/default.jpg)
10 years ago
Mtanzania09 May
Uropokaji wamponza Jerry Muro
NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
KAMATI ya Nidhamu ya Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF) iliyokutana Mei 5, mwaka huu, imempiga faini ya Sh 5,000,000, Ofisa Habari wa klabu ya Yanga, Jerry Muro, kwa kutoa kauli za chuki, kisirani na uchochezi dhidi ya uongozi wa Bodi ya Ligi (TPLB) nchini na TFF.
Kwa mujibu wa taarifa ya Ofisa Habari wa TFF, Baraka Kizuguto, Muro alitoa utetezi wake mbele ya Kamati ya Nidhamu kukiri na kujutia kufanya kosa hilo na kudai ilitokana na ugeni wake katika...
5 years ago
CCM Blog![](https://img.youtube.com/vi/7F31M_rmgr0/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-NeGjRZbX06M/VUyMmNZORzI/AAAAAAABN5I/T7_i7-KVcfc/s72-c/DSC03160.jpg)
JERRY MURO APIGWA FAINI YA MILIONI 5
![](http://1.bp.blogspot.com/-NeGjRZbX06M/VUyMmNZORzI/AAAAAAABN5I/T7_i7-KVcfc/s640/DSC03160.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/--VK3AGbnUOk/VUyER2frUfI/AAAAAAAHWQk/DAcPTG1Htsg/s72-c/jerry-muro-massawe.png)
JERRY MURO APIGWA FAINI MILIONI 5
![](http://4.bp.blogspot.com/--VK3AGbnUOk/VUyER2frUfI/AAAAAAAHWQk/DAcPTG1Htsg/s400/jerry-muro-massawe.png)
Akitoa utetezi wake mbele ya Kamati ya Nidhamu, Jerry Muro alikiri na kujutia kufanya kosa hilo na kudai ilitokana na ugeni wake katika uongozi wa michezo, kwa kuzingatia hilo kamati ilimuepusha na adhabu...
10 years ago
StarTV08 May
Jerry Muro atozwa faini ya milioni 5 na TFF.
Kamati ya Nidhamu ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) iliyoketi Jumanne tarehe 5 Mei, 2015 imempiga faini ya sh. 5,000,00 (milioni tano), Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa Yanga SC Jerry Muro kwa kutoa kauli za chuki, kisirani na uchochezi dhidi ya uongozi wa Bodi ya Ligi (TPLB) nchini na TFF.
Akitoa utetezi wake mbele ya Kamati ya Nidhamu, Jerry Muro alikiri na kujutia kufanya kosa hilo na kudai ilitokana na ugeni wake katika uongozi wa michezo, kwa kuzingatia hilo kamati...
10 years ago
Bongo508 Sep
Jerry Muro ateuliwa kuwa msemaji mpya wa Yanga
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-qfXGYOy6H_I/Xrvk6tcD2AI/AAAAAAALqD4/FSAPsbE1I5Mc5_o2Zlb8FoE2bRVtlPPVgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200513-WA0170.jpg)
Jerry Muro azindua kiwanda cha kutengeneza Barakoa
![](https://1.bp.blogspot.com/-qfXGYOy6H_I/Xrvk6tcD2AI/AAAAAAALqD4/FSAPsbE1I5Mc5_o2Zlb8FoE2bRVtlPPVgCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200513-WA0170.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/IMG-20200513-WA0171.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/IMG-20200513-WA0168.jpg)
************************************
Na Woinde Shizza , Arusha .
Mkuu wa Wilaya ya Arumeru Jerry Muro leo amezindua kiwanda kidogo kitakachokuwa kikizalisha Barakoa kwa ajili ya watumishi wa wilaya hiyo katika sekta ya afya.
Akizindua kiwanda hicho kidogo cha uzalishaji wa barakoa katika wilaya hiyo kuwa hicho litasaidia kutengeneza barakoa kwaajili ya wafanyakazi wote was halmashauri hiyo. Alisema kiwanda hicho kitakuwa ni mali ya Serikali na kipo ndani ya hospitali ya Halmashauri ya Meru...