Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kimondo FC yambadilikia Jerry Muro

UONGOZI wa Kimondo FC ya Mbeya unatarajia kuwasilisha barua kwenye Kamati ya Nidhamu ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), kuomba   kufungiwa kutokujiusisha na soka kwa Mkurugenzi wa Mawasiliano na Habari wa Yanga, Jerry Muro kwa madai ya kutoa maneno machafu kwa Mkurugenzi wa timu hiyo, Erick Ambakisye.

Msemaji wa Kimondo FC Chriss Kashilika alisema jana kuwa uongozi wao ulitoa siku saba kwa  Muro kumuomba msahama Ambakisye kutokana na maneno hayo machafu aliyomtolea mkurugenzi wao...

Raia Tanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Jerry Muro matatani

SHIRIKISHO la soka Tanzania (TFF) litamfikisha kwenye Kamati ya Maadili Mkuu wa Mawasiliano wa Yanga Jerry Muro kwa kauli za kibaguzi dhidi ya Mkuu wa Mawasiliano wa Simba, Haji Manara.

 

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

Mtanzania

Uropokaji wamponza Jerry Muro

muroNA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM

KAMATI ya Nidhamu ya Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF) iliyokutana Mei 5, mwaka huu, imempiga faini ya Sh 5,000,000, Ofisa Habari wa klabu ya Yanga, Jerry Muro, kwa kutoa kauli za chuki, kisirani na uchochezi dhidi ya uongozi wa Bodi ya Ligi (TPLB) nchini na TFF.

Kwa mujibu wa taarifa ya Ofisa Habari wa TFF, Baraka Kizuguto, Muro alitoa utetezi wake mbele ya Kamati ya Nidhamu kukiri na kujutia kufanya kosa hilo na kudai ilitokana na ugeni wake katika...

 

5 years ago

CCM Blog

10 years ago

Vijimambo

JERRY MURO APIGWA FAINI YA MILIONI 5


Kamati ya Nidhamu ya Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini TFF iliyoketi jumanne tarehe 5 Mei, 2015 imempiga faini ya sh. 5,000,00 (milioni tano), Afisa Habari wa klabu ya Yanga SC Jerry Muro kwa kutoa kauli za chuki, kisirani na uchochezi dhidi ya uongozi wa Bodi ya Ligi (TPLB) nchini na TFF.Akitoa utetezi wake mbele ya Kamati ya Nidhamu, Jerry Muro alikiri na kujutia kufanya kosa hilo na kudai ilitokana na ugeni wake katika uongozi wa michezo, kwa kuzingatia hilo kamati ilimuepusha na adhabu...

 

10 years ago

Michuzi

JERRY MURO APIGWA FAINI MILIONI 5

Kamati ya Nidhamu ya Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini TFF iliyoketi jumanne tarehe 5 Mei, 2015 imempiga faini ya sh. 5,000,00 (milioni tano), Afisa Habari wa klabu ya Yanga SC Jerry Muro kwa kutoa kauli za chuki, kisirani na uchochezi dhidi ya uongozi wa Bodi ya Ligi (TPLB) nchini na TFF.
Akitoa utetezi wake mbele ya Kamati ya Nidhamu, Jerry Muro alikiri na kujutia kufanya kosa hilo na kudai ilitokana na ugeni wake katika uongozi wa michezo, kwa kuzingatia hilo kamati ilimuepusha na adhabu...

 

10 years ago

StarTV

Jerry Muro atozwa faini ya milioni 5 na TFF.

Kamati ya Nidhamu ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) iliyoketi Jumanne tarehe 5 Mei, 2015 imempiga faini ya sh. 5,000,00 (milioni tano), Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa Yanga SC Jerry Muro kwa kutoa kauli za chuki, kisirani na uchochezi dhidi ya uongozi wa Bodi ya Ligi (TPLB) nchini na TFF.

 


Akitoa utetezi wake mbele ya Kamati ya Nidhamu, Jerry Muro alikiri na kujutia kufanya kosa hilo na kudai ilitokana na ugeni wake katika uongozi wa michezo, kwa kuzingatia hilo kamati...

 

10 years ago

Bongo5

Jerry Muro ateuliwa kuwa msemaji mpya wa Yanga

Mtangazaji wa zamani wa vituo vya ITV na TBC1, Jerry Muro ameteuliwa kuwa msemaji mpya wa club ya Yanga. Jerry Muro Kwa mujibu wa gazeti la Mwanaspoti, Muro anachukua nafasi ya Baraka Kizuguto ambaye sasa atakuwa meneja wa timu hiyo. Gazeti hilo limedai kuwa uamuzi huo wa Yanga ulitolewa katika kikao kilichofanyika Jumapili hii. Chanzo […]

 

5 years ago

Michuzi

Jerry Muro azindua kiwanda cha kutengeneza Barakoa




************************************

Na Woinde Shizza , Arusha .
Mkuu wa Wilaya ya Arumeru Jerry Muro leo amezindua kiwanda kidogo kitakachokuwa kikizalisha Barakoa kwa ajili ya watumishi wa wilaya hiyo katika sekta ya afya. 
Akizindua kiwanda hicho kidogo cha uzalishaji wa barakoa katika wilaya hiyo kuwa hicho litasaidia kutengeneza barakoa kwaajili ya wafanyakazi wote was halmashauri hiyo.  Alisema kiwanda hicho kitakuwa ni mali ya Serikali na kipo ndani ya hospitali ya Halmashauri ya Meru...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani