Jerry Muro atozwa faini ya milioni 5 na TFF.
Kamati ya Nidhamu ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) iliyoketi Jumanne tarehe 5 Mei, 2015 imempiga faini ya sh. 5,000,00 (milioni tano), Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa Yanga SC Jerry Muro kwa kutoa kauli za chuki, kisirani na uchochezi dhidi ya uongozi wa Bodi ya Ligi (TPLB) nchini na TFF.
Akitoa utetezi wake mbele ya Kamati ya Nidhamu, Jerry Muro alikiri na kujutia kufanya kosa hilo na kudai ilitokana na ugeni wake katika uongozi wa michezo, kwa kuzingatia hilo kamati...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/--VK3AGbnUOk/VUyER2frUfI/AAAAAAAHWQk/DAcPTG1Htsg/s72-c/jerry-muro-massawe.png)
JERRY MURO APIGWA FAINI MILIONI 5
![](http://4.bp.blogspot.com/--VK3AGbnUOk/VUyER2frUfI/AAAAAAAHWQk/DAcPTG1Htsg/s400/jerry-muro-massawe.png)
Akitoa utetezi wake mbele ya Kamati ya Nidhamu, Jerry Muro alikiri na kujutia kufanya kosa hilo na kudai ilitokana na ugeni wake katika uongozi wa michezo, kwa kuzingatia hilo kamati ilimuepusha na adhabu...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-NeGjRZbX06M/VUyMmNZORzI/AAAAAAABN5I/T7_i7-KVcfc/s72-c/DSC03160.jpg)
JERRY MURO APIGWA FAINI YA MILIONI 5
![](http://1.bp.blogspot.com/-NeGjRZbX06M/VUyMmNZORzI/AAAAAAABN5I/T7_i7-KVcfc/s640/DSC03160.jpg)
9 years ago
Mwananchi01 Jan
Aliyekamatwa na Tanzanite ya Sh670 milioni atozwa faini
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Znr4cfJ9erk/VcOo9w3y8VI/AAAAAAAHutw/6BfOEMN91x4/s72-c/download.jpeg)
TFF YATUMA SALAM ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA BABA WA JERRY MURO
![](http://2.bp.blogspot.com/-Znr4cfJ9erk/VcOo9w3y8VI/AAAAAAAHutw/6BfOEMN91x4/s640/download.jpeg)
Katika salamu zake za rambirambi kwa familia ya marehemu Muro, TFF imewapa pole wafiwa, ndugu jamaa na marafiki na kusema wako pamoja katika kipindi hiki cha maombelezo na kuomba mwenyezi Mungu awajilie nguzu wafiwa
Marehemu Cornel Muro ni baba mzazi wa Afisa Habari wa...
10 years ago
Mwananchi08 May
Kada CCM atozwa faini ‘buku mbili’
10 years ago
GPLCHID BENZ: ATOZWA FAINI, AAHIDI KUACHA MADAWA YA KULEVYA
9 years ago
Habarileo20 Dec
Jerry Muro matatani
SHIRIKISHO la soka Tanzania (TFF) litamfikisha kwenye Kamati ya Maadili Mkuu wa Mawasiliano wa Yanga Jerry Muro kwa kauli za kibaguzi dhidi ya Mkuu wa Mawasiliano wa Simba, Haji Manara.
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/F1N34MjbgIY/default.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://img.youtube.com/vi/7F31M_rmgr0/default.jpg)