Kada CCM atozwa faini ‘buku mbili’
>Kada wa CCM Ahmed Ismail aliyerusha risasi hewani katika ofisi za Chadema wilayani Bariadi amehukumiwa kwenda jela miezi sita au kulipa faini Sh2,000 baada ya kukutwa na hatia.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi01 Jan
Aliyekamatwa na Tanzanite ya Sh670 milioni atozwa faini
10 years ago
StarTV08 May
Jerry Muro atozwa faini ya milioni 5 na TFF.
Kamati ya Nidhamu ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) iliyoketi Jumanne tarehe 5 Mei, 2015 imempiga faini ya sh. 5,000,00 (milioni tano), Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa Yanga SC Jerry Muro kwa kutoa kauli za chuki, kisirani na uchochezi dhidi ya uongozi wa Bodi ya Ligi (TPLB) nchini na TFF.
Akitoa utetezi wake mbele ya Kamati ya Nidhamu, Jerry Muro alikiri na kujutia kufanya kosa hilo na kudai ilitokana na ugeni wake katika uongozi wa michezo, kwa kuzingatia hilo kamati...
10 years ago
GPLCHID BENZ: ATOZWA FAINI, AAHIDI KUACHA MADAWA YA KULEVYA
11 years ago
Habarileo05 Aug
Hakimu aliyekula rushwa mil 2/- atozwa faini mil 1.5/-
ALIYEKUWA Hakimu Mkazi Mahakama Wilaya ya Urambo, Oscar Bulugu, amekutwa na hatia ya kuomba na kupokea rushwa ya Sh milioni 2.
10 years ago
Mwananchi26 Apr
Kada aionya CCM urais
10 years ago
Mwananchi10 Jun
Dk Mahiga kada wa 25 urais CCM
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/kada.jpg)
KADA CCM ASIMULIA ALIVYONUSA KIFO!
9 years ago
Mwananchi24 Oct
Kada wa CCM amwagiwa Tindikali Tarime
10 years ago
Mtanzania12 May
Kada CCM ampiga katibu wake
NA ELIYA MBONEA, SIMANJIRO
KADA wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Mwenyekiti wa Kata ya Endiamtu Mirerani wilayani Simanjiro mkoani Manyara, Issa Katuga anadaiwa kumpiga ngumi na mateke Katibu wa chama hicho, Salimu Kombo baada ya kumtuhumu kugoma kuidhinisha matumizi ya Sh bilioni moja kwa ajili ya kwenda kulipa madeni.
Tukio hilo linadaiwa kutokea mwishoni mwa wiki iliyopita ndani ya Ofisi za CCM za kata hiyo, baada ya Mwenyekiti Katunga kumtuhumu katibu wake kuwa amegoma kuidhinisha fedha...