Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kada wa CCM amwagiwa Tindikali Tarime

Aliyekuwa Mwenyekiti wa Vijana Chadema kata ya Sirari na kuhamia chama cha CCM, Weng’ari Mang’era (26) amemwagiwa Tindikali na watu wasiojulikana wakati wakimpokea mgombea ubunge wa Tarime Vijijini(CCM), Christopher Kangoye  katika uwanja wa Tarafa Sirari Wilayani Tarime.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Sheikh amwagiwa tindikali

IMAMU wa Msikiti wa Sawiyatu Qadiria, Hassan Bashir (33) amejeruhiwa vibaya usoni na sehemu ya bega la kushoto baada ya kumwagiwa kimiminika kinachodhaniwa kuwa ni tindikali. Akizungumza na Tanzania Daima...

 

11 years ago

Mwananchi

Sheikh amwagiwa tindikali Arusha

Sheikh wa Msikiti Mkuu wa Bondeni jijini Arusha, Mustaph Mohamed Kihago (49) na mtoto wake, Halidi Mustapha (10), wamelazwa Hospitali ya Mkoa Mount Meru kwa matibabu, baada ya kumwagiwa kimiminika kinachodhaniwa kuwa ni tindikali na kuwajeruhi shingoni na usoni.

 

10 years ago

Mwananchi

Sheikh amwagiwa tindikali Songea

Watu wasiofahamika wamemwagia tindikali, mkazi wa Kijiji cha Kitanda Wilaya ya Namtumbo mkoani Ruvuma, Sheikh Nasib Ally (80) na kumpofua jicho lake la kushoto.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sheikh mwingine amwagiwa tindikali Arusha

MWALIMU wa dini Msikiti Mkuu wa Bondeni, Mustapha Kihago (49) na mwanae Khalid Mustafa (10), wamemwagiwa kimiminika kinachodhaniwa kuwa ni tindikali  sehemu za usoni na shingoni. Sheikh huyo ambaye ni wa...

 

10 years ago

Habarileo

Mmiliki wa duka la M-Pesa amwagiwa tindikali

MKAZI wa eneo la Ghana, jijini Mwanza, Mustafa Omary (38) amelazwa katika hospitali ya Rufaa ya Mkoa ya Sekou Toure baada ya kumwagiwa tindikali na watu wasiojulikana wakati akiwa dukani kwake.

 

11 years ago

Mwananchi

UKATILI: Mke mjamzito akatwa mguu, amwagiwa tindikali

>“Ni zaidi ya miezi sita tangu nifanyiwe ukatili na mume wangu na mama mkwe. Nahangaika kuuguza mguu niliokatwa kwa panga  kunyunyiziwa maji ya betri. sijui kama utapona. Kichanga nacho kinasumbua, jamani nimekosa nini mimi kwa Mungu.”

 

10 years ago

Mwananchi

Dk Mahiga kada wa 25 urais CCM

>Mwanadiplomasia mkongwe nchini, Dk Augustine Mahiga ametangaza nia ya kugombea urais na kuahidi kuimarisha misingi ya Taifa na kutengeneza mwelekeo imara wa nchi kuelekea uchumi wa kipato cha kati.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani