Mmiliki wa duka la M-Pesa amwagiwa tindikali
MKAZI wa eneo la Ghana, jijini Mwanza, Mustafa Omary (38) amelazwa katika hospitali ya Rufaa ya Mkoa ya Sekou Toure baada ya kumwagiwa tindikali na watu wasiojulikana wakati akiwa dukani kwake.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima14 Feb
Sheikh amwagiwa tindikali
IMAMU wa Msikiti wa Sawiyatu Qadiria, Hassan Bashir (33) amejeruhiwa vibaya usoni na sehemu ya bega la kushoto baada ya kumwagiwa kimiminika kinachodhaniwa kuwa ni tindikali. Akizungumza na Tanzania Daima...
11 years ago
Mwananchi01 Mar
Sheikh amwagiwa tindikali Arusha
10 years ago
Mwananchi03 Oct
Sheikh amwagiwa tindikali Songea
11 years ago
Tanzania Daima01 Mar
Sheikh mwingine amwagiwa tindikali Arusha
MWALIMU wa dini Msikiti Mkuu wa Bondeni, Mustapha Kihago (49) na mwanae Khalid Mustafa (10), wamemwagiwa kimiminika kinachodhaniwa kuwa ni tindikali sehemu za usoni na shingoni. Sheikh huyo ambaye ni wa...
9 years ago
Mwananchi24 Oct
Kada wa CCM amwagiwa Tindikali Tarime
11 years ago
Mwananchi01 Mar
UKATILI: Mke mjamzito akatwa mguu, amwagiwa tindikali
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/M4LfoYBWZVU/default.jpg)
10 years ago
Habarileo18 Jan
Duka la M-pesa laporwa mil 45/-
MAJAMBAZI watano wakiwa na silaha za moto na mapanga wamevamia duka la fedha la Mji mdogo wa Sirari na kupora Sh milioni 45 za Kitanzania na fedha za Kenya elfu 50.