Aliyekamatwa na Tanzanite ya Sh670 milioni atozwa faini
Mahakama ya Hakimu Mkazi mkoani wa Kilimanjaro, imemhukumu kifungo cha miaka sita jela au kulipa faini ya Sh10.5 milioni raia wa India, Anurag Jain (45) baada ya kupatikana na hatia ya kutaka kusafirisha nje madini ya Tanzanite yenye thamani ya Sh670 milioni kinyume cha sheria.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV08 May
Jerry Muro atozwa faini ya milioni 5 na TFF.
Kamati ya Nidhamu ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) iliyoketi Jumanne tarehe 5 Mei, 2015 imempiga faini ya sh. 5,000,00 (milioni tano), Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa Yanga SC Jerry Muro kwa kutoa kauli za chuki, kisirani na uchochezi dhidi ya uongozi wa Bodi ya Ligi (TPLB) nchini na TFF.
Akitoa utetezi wake mbele ya Kamati ya Nidhamu, Jerry Muro alikiri na kujutia kufanya kosa hilo na kudai ilitokana na ugeni wake katika uongozi wa michezo, kwa kuzingatia hilo kamati...
10 years ago
Mwananchi08 May
Kada CCM atozwa faini ‘buku mbili’
10 years ago
GPLCHID BENZ: ATOZWA FAINI, AAHIDI KUACHA MADAWA YA KULEVYA
9 years ago
Mwananchi29 Dec
Kesi ya madini ya Sh670 milioni yaahirishwa
11 years ago
Habarileo05 Aug
Hakimu aliyekula rushwa mil 2/- atozwa faini mil 1.5/-
ALIYEKUWA Hakimu Mkazi Mahakama Wilaya ya Urambo, Oscar Bulugu, amekutwa na hatia ya kuomba na kupokea rushwa ya Sh milioni 2.
11 years ago
Tanzania Daima11 Oct
Times FM wapigwa faini ya milioni moja
KITUO cha Redio Times FM,kimetakiwa kulipa faini ya shilingi milioni moja baada ya kukiuka sheria ya utangazaji kwa kurusha vipindi vya ngono muda ambao haurusiwi. Hukumu hiyo ilitolewa jana jijini...
10 years ago
Vijimambo
JERRY MURO APIGWA FAINI YA MILIONI 5

10 years ago
Michuzi
JERRY MURO APIGWA FAINI MILIONI 5

Akitoa utetezi wake mbele ya Kamati ya Nidhamu, Jerry Muro alikiri na kujutia kufanya kosa hilo na kudai ilitokana na ugeni wake katika uongozi wa michezo, kwa kuzingatia hilo kamati ilimuepusha na adhabu...
9 years ago
Habarileo31 Dec
Kampuni 5 za simu zatozwa faini ya milioni 125/
MAMLAKA ya Mawasiliano nchini (TCRA) imezitoza faini kampuni tano za simu za mkononi nchini, kwa kushindwa kutekeleza wajibu wao wa kuhakikisha uwepo wa usalama wa kiufundi na kisheria kwenye masuala ya taarifa zinazopitia kwenye mitandao yao. Kampuni hizo kila moja imetozwa faini ya Sh milioni 25.