Times FM wapigwa faini ya milioni moja
KITUO cha Redio Times FM,kimetakiwa kulipa faini ya shilingi milioni moja baada ya kukiuka sheria ya utangazaji kwa kurusha vipindi vya ngono muda ambao haurusiwi. Hukumu hiyo ilitolewa jana jijini...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo24 Dec
Wapigwa faini mil.137/- kwa kuvusha magendo
MAMLAKA ya Mapato Nchini (TRA) mkoani Mara, imewapiga faini ya Sh milioni 137 wafanyabiashara walioingiza nchini mali kinyemela kutoka nchini jirani ya Kenya.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/--VK3AGbnUOk/VUyER2frUfI/AAAAAAAHWQk/DAcPTG1Htsg/s72-c/jerry-muro-massawe.png)
JERRY MURO APIGWA FAINI MILIONI 5
![](http://4.bp.blogspot.com/--VK3AGbnUOk/VUyER2frUfI/AAAAAAAHWQk/DAcPTG1Htsg/s400/jerry-muro-massawe.png)
Akitoa utetezi wake mbele ya Kamati ya Nidhamu, Jerry Muro alikiri na kujutia kufanya kosa hilo na kudai ilitokana na ugeni wake katika uongozi wa michezo, kwa kuzingatia hilo kamati ilimuepusha na adhabu...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-NeGjRZbX06M/VUyMmNZORzI/AAAAAAABN5I/T7_i7-KVcfc/s72-c/DSC03160.jpg)
JERRY MURO APIGWA FAINI YA MILIONI 5
![](http://1.bp.blogspot.com/-NeGjRZbX06M/VUyMmNZORzI/AAAAAAABN5I/T7_i7-KVcfc/s640/DSC03160.jpg)
9 years ago
Bongo503 Nov
Mourinho afungiwa mechi moja na kutozwa faini ya pound 40,000
![2E07D6C000000578-0-image-a-12_1446460168025](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/2E07D6C000000578-0-image-a-12_1446460168025-300x194.jpg)
Shirikisho la soka Uingereza FA limempa adhabu meneja wa Chelsea, Jose Mourinho baada ya kupatikana na hatia ya kosa la utovu wa nidhamu.
Kocha huyo amefungiwa mechi moja na FA na kutozwa faini ya pound 40,000 kwa kosa alilofanya katika mechi aliyopoteza dhidi ya West Ham United.
Kosa hilo linakuja kutokana na Mourinho kukiri kosa la kutumia lugha isiyokubalika walipo fungwa na West Ham tarehe 24 mwezi uliopita. Sasa ataikosa mechi ya Ligi jumamosi labda labda akikata rufaa.
Wiki hii...
10 years ago
StarTV08 May
Jerry Muro atozwa faini ya milioni 5 na TFF.
Kamati ya Nidhamu ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) iliyoketi Jumanne tarehe 5 Mei, 2015 imempiga faini ya sh. 5,000,00 (milioni tano), Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa Yanga SC Jerry Muro kwa kutoa kauli za chuki, kisirani na uchochezi dhidi ya uongozi wa Bodi ya Ligi (TPLB) nchini na TFF.
Akitoa utetezi wake mbele ya Kamati ya Nidhamu, Jerry Muro alikiri na kujutia kufanya kosa hilo na kudai ilitokana na ugeni wake katika uongozi wa michezo, kwa kuzingatia hilo kamati...
9 years ago
Habarileo31 Dec
Kampuni 5 za simu zatozwa faini ya milioni 125/
MAMLAKA ya Mawasiliano nchini (TCRA) imezitoza faini kampuni tano za simu za mkononi nchini, kwa kushindwa kutekeleza wajibu wao wa kuhakikisha uwepo wa usalama wa kiufundi na kisheria kwenye masuala ya taarifa zinazopitia kwenye mitandao yao. Kampuni hizo kila moja imetozwa faini ya Sh milioni 25.
9 years ago
Mwananchi01 Jan
Aliyekamatwa na Tanzanite ya Sh670 milioni atozwa faini
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zvxMwCoWaaoh01WT5wSix0xw*8ccp7bvM6SIiC-7XHXRgHQ04Z5iN6uVoeZufJd1BYxhWn*Gzt8ZZikk6QfphL2Qqww1cWzD/BREAKING.gif)
MRAMBA, YONA WAHUKUMIWA MIAKA 3 JELA NA FAINI YA MILIONI 5