Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kampuni 5 za simu zatozwa faini ya milioni 125/

MAMLAKA ya Mawasiliano nchini (TCRA) imezitoza faini kampuni tano za simu za mkononi nchini, kwa kushindwa kutekeleza wajibu wao wa kuhakikisha uwepo wa usalama wa kiufundi na kisheria kwenye masuala ya taarifa zinazopitia kwenye mitandao yao. Kampuni hizo kila moja imetozwa faini ya Sh milioni 25.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Kampuni za simu zatozwa faini

NAIBU Waziri wa Ofisi ya Waziri Mkuu, anayeshughulikia Kazi, Ajira na Vijana, Anthony Mavunde amebaini kuwepo kwa wafanyakazi wa kigeni, walioletwa na kampuni za simu za mkononi kufanya kazi zinazoweza kufanywa na Watanzania ikiwemo kufunga meza na viti vya kukalia.

 

5 years ago

Michuzi

MKURUGENZI WA KAMPUNI INAYOJENGA RELI YA KISASA YAPI MARKEZ, AHUKUMIWA KULIPA FAINI YA DOLA MILIONI 100 AMA KIFUNGO CHA MIAKA MITATU JERA


MKURUGENZI wa Uwezeshaji wa Kampuni ya Yapi Markez inayojenga Reli ya kisasa Standard Gauge, Yetkin Genc Mehmet ((54) akitoka katika mahakama ya Hakimu Mkazi kisutu baada ya kuhukumiwa kulipa faini ya dola milioni 100 ama kifungo cha miaka mitatu jera
MKURUGENZI wa Uwezeshaji wa Kampuni ya Yapi Markez inayojenga Reli ya kisasa Standard Gauge, Yetkin Genc Mehmet ((54) raia wa Uturuki amehukumiwa kulipa faini ya USD milioni 100 ama kutumikia kifungo cha miaka mitatu gerezani baada ya kukiri...

 

9 years ago

Dewji Blog

Kampuni ya simu ya Tigo Tanzania yatoa TSH. Milioni 200 kudhamini Kilimanjaro Marathon 2016!

 Meneja Mawasiliano wa  Kampuni ya Tigo, John Wanyancha akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani), katika hafla ya kuzindua msimu mpya wa mbio za Kilimanjaro Marathon 2016. Tigo wametoa zaidi ya shilingi milioni 200 kwa ajili ya mbio hizo.  Mkurugenzi Msaidizi wa Michezo Wizara ya Habari Vijana, Utamaduni na Michezo, Alex Nkenyenge (wa tatu kulia), pamoja na wadhamini wa Kilimanjaro Marathon 2016, wakifyatua fataki za karatasi ikiwa ni ishara ya kuzindua maandalizi ya mbio hizo Dar...

 

10 years ago

Vijimambo

KAMPUNI YA SIMU YA VODACOM KUBURUZWA KORTINI NI BAADA YA KUSHINDWA KUMLIPA SH.MILIONI 100 MSHINDI WA MCHEZO WA JAY MILLIONS

 Danny Paul Njau, akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam leo. Mshindi wa mchezo wa kubahatisha wa Jay Millions, Danny Paul Njau (kushoto), akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, kuhusu Kampuni ya Simu ya Vodacom kushindwa kumpa zawadi yake ya sh.milioni 100 baada ya kushinda mchezo huo. Mshindi wa mchezo wa kubahatisha wa Jay Millions, Danny Paul Njau (kulia), akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, kuhusu Kampuni ya Simu ya Vodacom kushindwa kumpa...

 

10 years ago

Bongo5

Kanye West atumia shilingi milioni 125 kumnunuliaa mwanae zawadi za Christmas

Kanye West anadaiwa kutumia $74,000 (zaidi ya shilingi milioni 125) kumnunulia mwanae North zawadi Christmas. Chanzo kimoja kimeliambia jarida la Heat kuwa Kanye alitumia $62,000 kununua tiara (crown) iliyozungushiwa almas pamoja na mdoli wa gari inayofanana na SUV yake alioununua kwa $12,000. Chanzo kingine kimedai kuwa Kanye amepanga kumfanyia mke wake Kim surprise ya nguvu.

 

9 years ago

Vijimambo

KAMPUNI YA SIMU YA TECNO YAZINDUA SIMU MPYA YA PHANTOM 5 WENGI WAICHANGAMKIA

  Meneja Mauzo wa Simu za Tecno, Fred Kadilana akionesha simu aina ya Phanton 5 wakati wa uzinduzi wa tolea jipya la simu hizo uliofanyika Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Wadau mbalimbli wakiwa kwenye uzinduzi huo. Uzinduzi wa simu hiyo toleo jipya ukiendelea.

 Wanahabari wakichukua taarifa hiyo.  Meneja Mauzo wa Simu za Tecno, Fred Kadilana  (kulia), akiwagawia zawadi ya simu hiyo baadhi ya waandishi waliouliza maswali mbalimbali. Wanahabari wakipokea zawadi ya simu hiyo ya kisasa toleo...

 

10 years ago

Dewji Blog

Kampuni ya Simu ya Tigo, Huawei wazindua simu ya watu wa hali ya chini jijini Dar

1

Meneja wa Vifaa vya Huawei,  Peter Zhang Nchini (kulia), akionesha aina ya simu ya Huawei Y 360 na Y 625 ambazo zina uwezo wa hali ya juu katika matumizi ya nyanja mbalimbali wakati akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam katika uzinduzi wa simu hizo. Kushoto ni Meneja wa Vifaa na Intaneti kutoka Tigo, Mkumbo Myonga.

2 (1)

Meneja wa Vifaa na Intaneti kutoka Tigo, Mkumbo Myonga, akizungumza katika mkutano huo.

IMG_8227

Wanahabri kutoka vyombo mbalimbali wakichukua taarifa ya uzinduzi...

 

10 years ago

Vijimambo

KAMPUNI YA SIMU YA TIGO, HUAWEI WAZINDUA SIMU YA WATU WA HALI YA CHINI JIJINI DAR ES SALAAM LEO

 Meneja wa Vifaa vya Huawei,  Peter Zhang Nchini (kulia), akionesha aina ya simu ya Huawei Y 360 na Y 625 ambazo zina uwezo wa hali ya juu katika matumizi ya nyanja mbalimbali wakati akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam leo asubuhi katika uzinduzi wa simu hizo. Kushoto ni Meneja wa Vifaa na Intaneti kutoka Tigo, Mkumbo Myonga. Meneja wa Vifaa na Intaneti kutoka Tigo, Mkumbo Myonga, akizungumza katika mkutano huo.Wanahabri kutoka vyombo mbalimbali wakichukua taarifa ya uzinduzi...

 

9 years ago

Vijimambo

KAMPUNI YA SIMU YA TIGO NA DTBi WAZINDUA HUDUMA YA KUREJESHA KUMBUKUMBU NA KUZUIA WIZI WA SIMU ZA MKONONI DAR ES SALAAM LEO

Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira, Dk.Binilith Mahenge (kulia), akikata utepe kuashiria uzinduzi wa kituo cha oparesheni  cha Kampuni ya MagilaTech, iliyotengeneza teknolojia ya tigo backup inayowezesha kurejesha kumbukumbu na kuzuia wizi wa simu za mkononi Dar es Salaam leo. Wanahabari na wadau wengine wakiwa kwenye uzinduzi huo.Ofisa Mtendaji Mkuu wa DTBi, Mhandisi George Mulamula (kulia), akizungumza katika uzinduzi huo.

Meneja Mkuu wa Tigo, Diego Gutierrez (kulia), akitoa hutuba...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani