Kampuni ya simu ya Tigo Tanzania yatoa TSH. Milioni 200 kudhamini Kilimanjaro Marathon 2016!
Meneja Mawasiliano wa Kampuni ya Tigo, John Wanyancha akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani), katika hafla ya kuzindua msimu mpya wa mbio za Kilimanjaro Marathon 2016. Tigo wametoa zaidi ya shilingi milioni 200 kwa ajili ya mbio hizo.
Mkurugenzi Msaidizi wa Michezo Wizara ya Habari Vijana, Utamaduni na Michezo, Alex Nkenyenge (wa tatu kulia), pamoja na wadhamini wa Kilimanjaro Marathon 2016, wakifyatua fataki za karatasi ikiwa ni ishara ya kuzindua maandalizi ya mbio hizo Dar...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-kslRG8v2fVY/VkzgGtF3XnI/AAAAAAABpQA/I7vcMYVaC0g/s72-c/IMG_2071.jpg)
GAPCO KUDHAMINI KILIMANJARO MARATHON KILOMITA 10 KWA WALEMAVU 2016
10 years ago
Dewji Blog27 Feb
Tigo yatoa udhamini kwa washindi wa Tigo Ngorongoro Run kushiriki Tigo Kili Half Marathon 2015
Mkurugenzi Mkuu wa Tigo Kanda ya Kaskazini, David Charles akiongea na waandishi wa habari(hawapo pichani) wakati wa kutangaza udhamini wa kampuni ya Tigo kwa wanariadha ambao walishinda mbio za mwaka jana za Tigo Ngorongoro Run Marathon kushirki kwenye mbio za mwaka huu za Tigo Kili Half Marathon, Kushoto kwake ni Meneja wa Mawasiliano wa Tigo John Wanyancha na Kulia kwake ni mwanariadha Mary Naali na Mjumbe toka Riadha Tanzania Meta Petro. Mkutano huo ulifanyika Mkoani Arusha jana.
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-BHeBLgL2rtM/VW53PEyy8SI/AAAAAAAAQQ8/uDlkW1fY-BM/s72-c/E86A8983%2B%2528800x533%2529.jpg)
MKUU WA MKOA WA KILIMANJARO LEONIDAS GAMA AZINDUA DUKA JIPYA LA KAMPUNI YA SIMU ZA MKONONI YA TIGO.
![](http://2.bp.blogspot.com/-BHeBLgL2rtM/VW53PEyy8SI/AAAAAAAAQQ8/uDlkW1fY-BM/s640/E86A8983%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-T_uiye2Vadc/VW53TFUDIJI/AAAAAAAAQRQ/fHyj6Ore9t8/s640/E86A8990%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ZeQrjox4bvU/VW53Ts731VI/AAAAAAAAQRU/tYtvrmzCrKU/s640/E86A8997%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-lHxqdbNpbi0/VW53PgiU_vI/AAAAAAAAQRA/jwCUsePp4z8/s640/E86A8989%2B%2528800x533%2529.jpg)
10 years ago
Dewji Blog28 Jul
Kampuni ya Tigo Tanzania kusambaza simu za smartphones wakati wa maonesho ya Nanenane
Meneja wa mawasiliano wa Tigo Tanzania, John Wanyancha akiongea na wanahabari(hawapo pichani) wakati wa kutangaza udhamini wa Tigo kwenye maonesho ya Nane nane kitaifa mwaka huu, kushoto ni mwenyekiti wa TASO, Engelbert Moyo.
Wakulima na wageni mbalimbali watakaoshiriki kwenye maonesho ya nanenane ya mwaka huu wanatarajia kupata punguzo la bei ya simu za smartphones kutoka Tigo katika jitihada za kampuni ya mawasiliano ya simu kuwapatia watanzania wengi iwezekanavyo kupata kufurahia mambo...
9 years ago
Dewji Blog26 Aug
Kampuni ya simu ya Tigo yazindua kampeni ya ‘Chagua Tigo Pesa, Inalipa’
Mkuu wa Kitengo cha Huduma za Kifedha wa Tigo, Ruan Swanepoel (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana katika uzinduzi wa kampeni ya ya Chagua Tigo Pesa, Inalipa. Kulia ni Meneja Bidhaa wa Tigo, William Mpinga.
Meneja Bidhaa wa Tigo, William Mpinga (kulia), akizungumza katika uzinduzi huo. Kushoto ni Mkuu wa wa Kitengo cha Huduma za Kifedha wa Tigo, Ruan Swanepoel.
Wanahabari wakichukua taarifa hiyo.
Na Dotto Mwaibale
KAMPUNI ya simu ya mkononi ya...
10 years ago
Dewji Blog06 Aug
Kampuni ya Simu ya Tigo, Huawei wazindua simu ya watu wa hali ya chini jijini Dar
Meneja wa Vifaa vya Huawei, Peter Zhang Nchini (kulia), akionesha aina ya simu ya Huawei Y 360 na Y 625 ambazo zina uwezo wa hali ya juu katika matumizi ya nyanja mbalimbali wakati akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam katika uzinduzi wa simu hizo. Kushoto ni Meneja wa Vifaa na Intaneti kutoka Tigo, Mkumbo Myonga.
Meneja wa Vifaa na Intaneti kutoka Tigo, Mkumbo Myonga, akizungumza katika mkutano huo.
Wanahabri kutoka vyombo mbalimbali wakichukua taarifa ya uzinduzi...
10 years ago
VijimamboKAMPUNI YA SIMU YA TIGO, HUAWEI WAZINDUA SIMU YA WATU WA HALI YA CHINI JIJINI DAR ES SALAAM LEO
9 years ago
VijimamboKAMPUNI YA SIMU YA TIGO NA DTBi WAZINDUA HUDUMA YA KUREJESHA KUMBUKUMBU NA KUZUIA WIZI WA SIMU ZA MKONONI DAR ES SALAAM LEO
9 years ago
Dewji Blog28 Dec
Tigo yagawa simu 200 kwenye “Mradi wa Kuwaunganisha Wanawake†Rufiji
![](http://4.bp.blogspot.com/-MfFnko_UDdI/Vn4ylFzFSLI/AAAAAAAAXqM/XLEbaXByhuk/s640/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-BhicaYXUSXY/Vn4yn1Hnk_I/AAAAAAAAXqU/czApJ-q0jTU/s640/2.jpg)