Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Yanga yaufyata kwa Kimondo

Waswahili wanasema kubali yaishe. Hicho ndicho kilichotokea baada ya mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga ‘kuiangukia’ Kimondo FC ili kumaliza mgogoro wa usajili wa mshambuliaji Geofrey Mwashiuya.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Klabu ya Kimondo Super Sports yaijia juu yanga kwa usajili wa mchezaji wake Geofrey Bahati Mwashiuya

Klabu ya Kimondo Super Sports inayoshiriki ligi daraja la kwanza Tanzania yenye maskani yake wilayani Mbozi mkoani Mbeya inapenda kutoa tamko juu ya mkanganganyiko wa taarifa za kuptosha za usajili wa mchezaji wake Geofrey Bahati Mwashiuya.


Klabu inasikitishwa saana na habari/taarifa zenye mkanganyiko zinazotolewa na msemaji wa timu ya Yanga,Katibu wa timu ya Yanga na mchezaji wetu Geofrey Mwashiuya katika vyombo mbalimbali vya habari;

Jerry Muro alisikika katika vyombo vya habari akijinadi...

 

10 years ago

Vijimambo

Kimondo: Mwashiuya sasa ruksa Yanga.

Katibu Mkuu wa Yanga, Jonas Tiboroha.
Mshambuliaji Geofrey Mwashiuya ambaye alikuwa akidaiwa kujiunga na Yanga kinyemela, sasa ni mchezaji halali wa kikosi hicho kinachonolewa na Mholanzi Has van der Pluijm baada ya klabu hiyo ya Mtaa wa Twiga na Jangwani jijini Dar es Salaam kumalizana kimya kimya na Kimondo FC.

Klabu ya Yanga na Kimondo FC zilikutana jana jijini Mbeya kwa ajili ya kutafuta muafaka na inaelezwa kuwa kikao hicho kilichukua zaidi ya saa sita kulimaliza sakata hilo.

Akizungumza...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali yaufyata kwa mabalozi

LICHA ya onyo na tambo kwa mabalozi, Serikali ya Rais Jakaya Kikwete imekwepa kuwachukulia hatua, Balozi Dianna Malrose wa Uingereza na Lu Youqing wa China wanaodaiwa kukiuka taratibu za kidiplomasia....

 

10 years ago

Raia Mwema

Karibu kimondo uoshe nyota

UMEKUJA kuosha nyota?

Felix Mwakyembe

 

10 years ago

Raia Tanzania

Kimondo FC yambadilikia Jerry Muro

UONGOZI wa Kimondo FC ya Mbeya unatarajia kuwasilisha barua kwenye Kamati ya Nidhamu ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), kuomba   kufungiwa kutokujiusisha na soka kwa Mkurugenzi wa Mawasiliano na Habari wa Yanga, Jerry Muro kwa madai ya kutoa maneno machafu kwa Mkurugenzi wa timu hiyo, Erick Ambakisye.

Msemaji wa Kimondo FC Chriss Kashilika alisema jana kuwa uongozi wao ulitoa siku saba kwa  Muro kumuomba msahama Ambakisye kutokana na maneno hayo machafu aliyomtolea mkurugenzi wao...

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanasayansi wajawa na shauku ya kimondo

Wanasanyansi wamejawa na shauku ya kutaka thibitisho kwamba Chombo kilichopelekwa na kutua kwenye kimondo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Roboti yatua kwenye Kimondo angani

Roboti hiyo iliyotengezwa Ulaya , imefanikiwa kutua katika kimondo baada ya safari ya miaka kumi likiwa ni jambo la kihistoria

 

9 years ago

Raia Mwema

Kimondo cha Mbozi na imani za dini

KATIKA makala iliyopita kuhusu kimondo cha Mbozi, tuliangalia imani ya wenyeji kuhusu chuma hicho

Felix Mwakyembe

 

10 years ago

Mwananchi

Kimondo, Villa hapatoshi ligi daraja la kwanza

Pazia la Ligi Daraja la Kwanza (FDL), linafunguliwa rasmi leo kwenye viwanja tisa tofauti katika miji ya Moshi, Arusha, Musoma, Mwanza, Geita, Mbozi, Songea, Mufindi na Dar es Salaam.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani