Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanasayansi wajawa na shauku ya kimondo

Wanasanyansi wamejawa na shauku ya kutaka thibitisho kwamba Chombo kilichopelekwa na kutua kwenye kimondo.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Wakazi wajawa na wasiwasi kuhusu El Nino Kenya

Mvua imeanza kunyesha maeneo mengi Kenya na watabiri wa hali ya hewa wanasema mvua hiyo huenda ikasababisha madhara.

 

10 years ago

Mwananchi

Viongozi wa Afrika wenye shauku ya michezo

Mashabiki wa soka barani Afrika ni kati ya mashabiki wenye shauku kubwa na michezo na hata viongozi wao wengi nao wapo hivyo. Viongozi wengi wa Afrika wametumia mapenzi yao ya michezo kuwaunganisha wananchi wao.

 

11 years ago

BBCSwahili

Shauku kubwa ya matokeo ya uchaguzi Malawi

Siku ya pili baada ya uchaguzi mkuu Malawi na matatizo yameshuhudia katika kuhesabu kura, ikiwemo kuharibika kwa mitambo ya hesabu

 

10 years ago

Mwananchi

Lowassa: Nina ari, shauku na uwezo wa kuongoza Tanzania

Waziri Mkuu wa zamani, Edward Ngoyai Lowassa amesema ana ari, shauku na uwezo wa kuongoza Taifa wakati alipotangaza nia yake ya kugombea urais kwa tiketi ya CCM katika mkutano wa hadhara uliohudhuriwa na maelfu ya watu kwenye Uwanja wa Sheikh Amri Abeid.

 

9 years ago

Mwananchi

UCHAGUZI MKUU: Shauku, Matarajio ya Uundwaji wa Serikali ya Rais JPM

Ni dhahiri kwa sasa macho, masikio na mawazo ya Watanzania yameelekezwa kwenye uundwaji wa Serikali ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk John Magufuli. Shauku na matarajio juu ya sura zitakazokuwamo kwenye Baraza la Mawaziri pamoja na watendaji wengine, vinatokana na kujipambanua vilivyo kwa Dk Magufuli pamoja na timu nzima ya CCM wakati wa kampeni za uchaguzi.

 

10 years ago

Raia Mwema

Karibu kimondo uoshe nyota

UMEKUJA kuosha nyota?

Felix Mwakyembe

 

10 years ago

Mwananchi

Yanga yaufyata kwa Kimondo

Waswahili wanasema kubali yaishe. Hicho ndicho kilichotokea baada ya mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga ‘kuiangukia’ Kimondo FC ili kumaliza mgogoro wa usajili wa mshambuliaji Geofrey Mwashiuya.

 

10 years ago

Raia Tanzania

Kimondo FC yambadilikia Jerry Muro

UONGOZI wa Kimondo FC ya Mbeya unatarajia kuwasilisha barua kwenye Kamati ya Nidhamu ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), kuomba   kufungiwa kutokujiusisha na soka kwa Mkurugenzi wa Mawasiliano na Habari wa Yanga, Jerry Muro kwa madai ya kutoa maneno machafu kwa Mkurugenzi wa timu hiyo, Erick Ambakisye.

Msemaji wa Kimondo FC Chriss Kashilika alisema jana kuwa uongozi wao ulitoa siku saba kwa  Muro kumuomba msahama Ambakisye kutokana na maneno hayo machafu aliyomtolea mkurugenzi wao...

 

10 years ago

BBCSwahili

Roboti yatua kwenye Kimondo angani

Roboti hiyo iliyotengezwa Ulaya , imefanikiwa kutua katika kimondo baada ya safari ya miaka kumi likiwa ni jambo la kihistoria

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani