Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Viongozi wa Afrika wenye shauku ya michezo

Mashabiki wa soka barani Afrika ni kati ya mashabiki wenye shauku kubwa na michezo na hata viongozi wao wengi nao wapo hivyo. Viongozi wengi wa Afrika wametumia mapenzi yao ya michezo kuwaunganisha wananchi wao.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Wanawake viongozi wa michezo Afrika kukutana Dar es Salaam

WIZARA ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo kwa kushirikiana na Asasi ya Right to Play Tawi la Tanzania, wameandaa kongamano la wanawake viongozi wa michezo Afrika (Africa Women Sports Leaders),...

 

11 years ago

GPL

RAIS KIKWETE AJIUNGA NA VIONGOZI WENGINE WA AFRIKA KATIKA MKUTANO WA VIONGOZI WA AFRIKA NA MAREKANI JIJINI WASHINGTON DC

Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mama Salma Kikwete wakiwasili katika Ikulu ya Marekani (White House) jijini Washington DC kwa dhifa ya Kitaifa waliyoandaliwa viongozi wa Afrika na mwenyeji wao Rais Barak O bama.  Rais Jakaya Kikwete na viongozi wenzake wa Afrika katika mkutano wa Viongozi wa Afrika na Marekani  ambao umefunguliwa na Rais Barak Obama katika ukumbi wa State Department jijini Washington DC.… ...

 

11 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE AJIUNGA NA VIONGOZI WENGINE WA AFRIKA KATIKA MKUTANO WA VIONGOZI WA AFRIKA NA MAREKANI JIJINI WASHINGTON DC LEO

  Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mama Salma Kikwete wakiwasili katika Ikulu ya Marekani (White House) jijini Washington DC kwa dhifa ya Kitaifa waliyoandaliwa viongozi wa Afrika na mwenyeji wao Rais Barak Obama Julai 5, 2014. Rais Jakaya Kikwete na viongozi wenzake wa Afrika katika mkutano wa Viongozi wa Afrika na Marekani  ambao umefunguliwa na Rais Barak Obama katika ukumbi wa State Department jijini Washington DC  leo Julai 6, 2014.  Sehemu ya wajumbe wa Mkutano wa Viongozi wa Afrika...

 

10 years ago

Mwananchi

MTAZAMO : Viongozi wa michezo hawaipendi michezo

Uzuri uko kwenye macho ya yule anayeuona. Sasa unaweza kujiuliza, je, anayeuona ni nani?, Je, ni mwenyewe mhusika au ni watu wengine. Wenye kuuona uzuri ni wengi na kila mtu ana haki ya kuamua kama anachokiona machoni mwake ni kizuri au la.

 

11 years ago

Michuzi

WAZIRI WA HABARI UTAMADUNI UTALII NA MICHEZO AKUTANA NA WENYE MAHOTELI ZANZIBAR.

Waziri wa Habari Utamaduni Utalii na Michezo Said Ali Mbarouk akizungumza na Wamiliki wa Mahoteli pamoja Wenye kusambaza Bidhaa katika Mahoteli ili kutatua matatizo yao huko katika ukumbi wa Wizara ya Habari Zanzibar.PICHA NA YUSSUF SIMAI-MAELEZO ZANZIBAR.

 

9 years ago

Mwananchi

Viongozi wa michezo waupania mwaka 2016

“Tumechoshwa na jina la watalii, tumeumizwa na ukosefu wa medali kwa miaka kadhaa, wadhamini walituweka kando, lakini sasa tunahitaji kufanya kitu, tunajua mafaniko yetu ndiyo yatafungua fursa za udhamini, tunahitaji kufanya kitu 2016.” Hii ni kauli mbiu ya viongozi wa vyama vya michezo nchini mwaka huu.

 

10 years ago

Mwananchi

Viongozi wa michezo nchini ‘janga la Taifa’

Wakati wa utawala wa Baba wa Taifa, Marehemu Julius Kambarage Nyerere, Tanzania iliingia kwenye rekodi ya mataifa tishio barani Afrika katika michezo.

 

10 years ago

GPL

VIONGOZI WENYE VITUKO DUNIANI

Wakati kila mtu akiamini kuwa marais au viongozi wa nchi ni watu makini na wastaarabu hasa katika kufanya mambo yanayoendana na maadili na tamaduni za nchi zao, viongozi hawa ni kinyume chake ambapo katika vipindi tofauti vya utawala wao wameacha historia ya vituko mbalimbali vinavyowaacha wanahistoria wengi midomo wazi kwa kutoendana kabisa na nyadhifa walizonazo. Songa nayo… Lyndon B. Johnson
Alikuwa rais wa 36 wa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

‘Chagueni viongozi wenye kazi’

KATIBU Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana, amewataka wananchi kuchagua viongozi wenye kazi zao binafsi, badala ya kuchagua  viongozi wasiojishughulisha. Kinana alitoa rai hiyo juzi wakati akiwahutubia wananchi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani