Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Viongozi wa michezo nchini ‘janga la Taifa’

Wakati wa utawala wa Baba wa Taifa, Marehemu Julius Kambarage Nyerere, Tanzania iliingia kwenye rekodi ya mataifa tishio barani Afrika katika michezo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

SERIKALI YAZINDUA MWONGOZO WA TAIFA WAUENDESHAJI WA SHUGHULI ZA UTALII NCHINI TANZANIA WAKATI HUU WA JANGA LA CORONA

Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Hamisi Kigwangalla akizungumza na Wadau wa Sekta ya Utalii na Waandishi wa Habari leo jijini Arusha wakati wa Uzinduzi rasmi wa Mwongozo wa Taifa wa Uendeshaji wa shughuli za Utalii nchini Tanzania wakati huu wa janga la CORONA.Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Hamisi Kigwangalla (Kulia) na Katibu Mkuu wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Deni la Taifa sasa ni janga la Taifa

Bunge liliambiwa juzi kwamba Deni la Taifa limeongezeka kwa Sh8.2 trilioni kwa kipindi cha miezi saba tu.

 

10 years ago

Mwananchi

MTAZAMO : Viongozi wa michezo hawaipendi michezo

Uzuri uko kwenye macho ya yule anayeuona. Sasa unaweza kujiuliza, je, anayeuona ni nani?, Je, ni mwenyewe mhusika au ni watu wengine. Wenye kuuona uzuri ni wengi na kila mtu ana haki ya kuamua kama anachokiona machoni mwake ni kizuri au la.

 

11 years ago

Michuzi

SERIKALI YASHAURI WADAU WA MICHEZO KUJITOKEZA KUSAIDIA MICHEZO NCHINI

Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Mhe. Dkt. Fenella Mukangara akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa kupokea msaada wa hundi ya milioni kumi kutoka Zantel kwa ajili ya Chama cha Ngumi za Ridhaa Tanzania (BFT) leo jijini Dar es Salaaam, kushoto ni Afisa Mtendaji Mkuu Zantel Bw. Pratap Ghose. Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Mhe. Dkt. Fenella Mukangara (kulia), Afisa Mtendaji Mkuu Zantel Bw. Pratap Ghose (kushoto) pamoja na ...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Silima: Ajali ni janga la taifa


NA MWANDISHI WETU
SERIKALI imesema kwa sasa inawekeza zaidi katika mapambano dhidi ya ajali za barabrani kutokana na idadi kubwa ya Watanzania kupoteza maisha.
Imesema kwa sasa ajali zimekuwa janga la taifa kuliko hata ugonjwa wa Ukimwi, hivyo jitihada za haraka zinahitajika katika kudhibiti.
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani, Pereira Ame Silima, aliyasema hayo  jana  alipokuwa akipokea hundi ya  sh. milioni 40 kutoka kwa Kampuni ya Puma, kwa ajili ya Maadhimisho ya Wiki ya Nenda  Usalama...

 

9 years ago

Mwananchi

Tutangaze kipindupindu janga la taifa

Mwishoni mwa mwezi uliopita Shirika la Afya Duniani (WHO), liliionya Tanzania kuhusu kuenea kwa ugonjwa wa kipindupindu nchini na kwamba ikiwa hatua za uhakika hazitachukuliwa, basi kuna uwezekano ugonjwa huo ukaenea hadi nchi jirani.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mimba za utotoni janga la taifa

INGAWA asasi mbalimbali za serikali na zisizo za serikali zinapiga vita ndoa na mimba za utotoni, bado tatizo hilo ni kubwa katika  mikoa ya Mtwara na Lindi. Ripoti ya pili...

 

10 years ago

Mwananchi

NATOA HOJA : Taifa Stars majanga, halafu tumeitia janga

Mwishoni mwa wiki iliyopita, nilisikia habari kuwa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), limepitisha utaratibu wa klabu za Ligi Kuu kusajili wachezaji saba wa kigeni kwa ajili ya kuchezea klabu hizo.

 

10 years ago

Mwananchi

Kiswahili na janga la matumizi yake nchini

Hivi karibuni, nilikuwa nafuatilia kipindi cha ‘Lulu za Kiswahili’, kinachoendeshwa na kituo cha televisheni cha Taifa (TBC1).

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani