Viongozi wa michezo nchini ‘janga la Taifa’
Wakati wa utawala wa Baba wa Taifa, Marehemu Julius Kambarage Nyerere, Tanzania iliingia kwenye rekodi ya mataifa tishio barani Afrika katika michezo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ZG6ooWFLmPg/XuG5FRWdPbI/AAAAAAAEHlQ/BggLxGJ34PseOVBUqjAZ5ieGSfMCrpTtACLcBGAsYHQ/s72-c/Uzinduzi%2B-%2B1.jpg)
SERIKALI YAZINDUA MWONGOZO WA TAIFA WAUENDESHAJI WA SHUGHULI ZA UTALII NCHINI TANZANIA WAKATI HUU WA JANGA LA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZG6ooWFLmPg/XuG5FRWdPbI/AAAAAAAEHlQ/BggLxGJ34PseOVBUqjAZ5ieGSfMCrpTtACLcBGAsYHQ/s640/Uzinduzi%2B-%2B1.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/0af0099e-3e4f-4770-b66e-79678b3f934b.jpg)
11 years ago
Mwananchi08 Jun
Deni la Taifa sasa ni janga la Taifa
Bunge liliambiwa juzi kwamba Deni la Taifa limeongezeka kwa Sh8.2 trilioni kwa kipindi cha miezi saba tu.
10 years ago
Mwananchi22 Jun
MTAZAMO : Viongozi wa michezo hawaipendi michezo
Uzuri uko kwenye macho ya yule anayeuona. Sasa unaweza kujiuliza, je, anayeuona ni nani?, Je, ni mwenyewe mhusika au ni watu wengine. Wenye kuuona uzuri ni wengi na kila mtu ana haki ya kuamua kama anachokiona machoni mwake ni kizuri au la.
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Q12jfn7F59g/U5HZGZO896I/AAAAAAAFoGU/yrzNByJ5Do4/s72-c/unnamed+(19).jpg)
SERIKALI YASHAURI WADAU WA MICHEZO KUJITOKEZA KUSAIDIA MICHEZO NCHINI
![](http://3.bp.blogspot.com/-Q12jfn7F59g/U5HZGZO896I/AAAAAAAFoGU/yrzNByJ5Do4/s1600/unnamed+(19).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-cIzN8ZSIYLU/U5HZF3f3ypI/AAAAAAAFoGQ/wJ0gOciTpPs/s1600/unnamed+(21).jpg)
10 years ago
Uhuru Newspaper18 Sep
Silima: Ajali ni janga la taifa
NA MWANDISHI WETU
SERIKALI imesema kwa sasa inawekeza zaidi katika mapambano dhidi ya ajali za barabrani kutokana na idadi kubwa ya Watanzania kupoteza maisha.
Imesema kwa sasa ajali zimekuwa janga la taifa kuliko hata ugonjwa wa Ukimwi, hivyo jitihada za haraka zinahitajika katika kudhibiti.
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani, Pereira Ame Silima, aliyasema hayo jana alipokuwa akipokea hundi ya sh. milioni 40 kutoka kwa Kampuni ya Puma, kwa ajili ya Maadhimisho ya Wiki ya Nenda Usalama...
9 years ago
Mwananchi03 Nov
Tutangaze kipindupindu janga la taifa
Mwishoni mwa mwezi uliopita Shirika la Afya Duniani (WHO), liliionya Tanzania kuhusu kuenea kwa ugonjwa wa kipindupindu nchini na kwamba ikiwa hatua za uhakika hazitachukuliwa, basi kuna uwezekano ugonjwa huo ukaenea hadi nchi jirani.
10 years ago
Tanzania Daima20 Sep
Mimba za utotoni janga la taifa
INGAWA asasi mbalimbali za serikali na zisizo za serikali zinapiga vita ndoa na mimba za utotoni, bado tatizo hilo ni kubwa katika mikoa ya Mtwara na Lindi. Ripoti ya pili...
10 years ago
Mwananchi29 Jun
NATOA HOJA : Taifa Stars majanga, halafu tumeitia janga
Mwishoni mwa wiki iliyopita, nilisikia habari kuwa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), limepitisha utaratibu wa klabu za Ligi Kuu kusajili wachezaji saba wa kigeni kwa ajili ya kuchezea klabu hizo.
10 years ago
Mwananchi10 Feb
Kiswahili na janga la matumizi yake nchini
Hivi karibuni, nilikuwa nafuatilia kipindi cha ‘Lulu za Kiswahili’, kinachoendeshwa na kituo cha televisheni cha Taifa (TBC1).
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania