SERIKALI YASHAURI WADAU WA MICHEZO KUJITOKEZA KUSAIDIA MICHEZO NCHINI
![](http://3.bp.blogspot.com/-Q12jfn7F59g/U5HZGZO896I/AAAAAAAFoGU/yrzNByJ5Do4/s72-c/unnamed+(19).jpg)
Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Mhe. Dkt. Fenella Mukangara akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa kupokea msaada wa hundi ya milioni kumi kutoka Zantel kwa ajili ya Chama cha Ngumi za Ridhaa Tanzania (BFT) leo jijini Dar es Salaaam, kushoto ni Afisa Mtendaji Mkuu Zantel Bw. Pratap Ghose.
Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Mhe. Dkt. Fenella Mukangara (kulia), Afisa Mtendaji Mkuu Zantel Bw. Pratap Ghose (kushoto) pamoja na ...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziMKUU WA WILAYA YA KINONDONI PAUL MAKONDA, APOKEA VIFAA VYA MICHEZO KUTOKA KWA WADAU WA MICHEZO NCHINI KWA AJILI YA MASHINDANO YA KINONDONI CUP
10 years ago
Dewji Blog10 Dec
Watanzania wahaswa kuendelea kusaidia sekta ya Michezo nchini
Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Mhe. Dkt. Fenella Mukangara akizungumza na wadau wa michezo ya Ngumina na Karate wakati wa hafla ya kukabidhiwa msaada wa Ulingo wa Ngumi wa Kimataifa pamoja na hundi yenye thamani ya shilingi milioni kumi kwa ajili ya kusaidia mchezo wa Karate kutoka kwa Kampuni ya Mawasiliano ya Simu ya Zantel Tanzania leo jijini Dar es Salaam. Kushoto kwake ni Afisa Mtendaji Mkuu wa Zantel Pratap Ghose.
Ulingo wa kisasa kwa ajili ya Mchezo wa Ngumi...
11 years ago
Dewji Blog01 Aug
Serikali yaunga mkono jitihada za wadau wa Michezo
Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Vijana kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bi Juliana Yassoda (Katikati) akiongea na Wanahabari (Hawapo pichani) kuhusu makocha wa Timu ya Barcelona kutoka nchini Hispania ambao wako nchini kwa ajili ya mafunzo ya makocha yatakayofanyika kwa muda wa siku mbili, wa kwanza kulia ni Balozi wa Spain nchini Mh. Luis Manuel Ceuesta Civis, mafunzo hayo yanatolewa kwa ushirikiano na Kiwanda cha Bia cha Tanzania Breweries.
Na Genofeva...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-vO6oZPVho38/XlUJFWW1ouI/AAAAAAALfQg/unM8Ul44Zcg22S3NRe44bN1mp7qOQIBxgCLcBGAsYHQ/s72-c/4-38.jpg)
Waziri Mwakyembe Apokea Ujumbe wa Wadau wa Michezo toka Nchini Misri
![](https://1.bp.blogspot.com/-vO6oZPVho38/XlUJFWW1ouI/AAAAAAALfQg/unM8Ul44Zcg22S3NRe44bN1mp7qOQIBxgCLcBGAsYHQ/s640/4-38.jpg)
Kiongozi wa ujumbe toka nchini Misri akifafanua jambo kwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe (kulia) wakati ujumbe huoulipomtembelea Waziri Mwakyembe katika ofisi ndogo jijini Dar es Salaam mapema hii leo na kujadiliana masuala mbalimbali ya maendeleo ya sekta ya michezo ikiwemo la ujenzi wa eneo changamani la michezo.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/5-30.jpg)
Balozi wa Misri nchini, Mhe. Gaber Mohamed Abulwafa akifafanua jambo kwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-jdILRLt62Kk/VaDN_K-_EQI/AAAAAAABOXU/7sULDbXdXtQ/s72-c/January%2BMakamba%2Banswering%2Bquestions%2Bfrom%2Bparticipants.jpg)
KUHUSU KUSAIDIA MICHEZO, WOTE HAWA WAMEDANGANYA TU
![](http://3.bp.blogspot.com/-jdILRLt62Kk/VaDN_K-_EQI/AAAAAAABOXU/7sULDbXdXtQ/s640/January%2BMakamba%2Banswering%2Bquestions%2Bfrom%2Bparticipants.jpg)
MAKAMBA
Na Saleh AllyCHAMA cha Mapinduzi (CCM), kiko katika harakati za mwisho kumpata mgombea wake wa urais na leo ndiyo tatu bora inajulikana.Tayari tano bora imeishajulikana ambayo ni Benard Membe, Asha-Rose Migiro, Januari Makamba, John Magufuri na Amina Ally.
Mgombea mmoja atatangazwa kesho na kitendawili cha nani atakuwa mgombea wa urais wa chama hicho kikongwe nchini kitakuwa kimetenguliwa, huenda itakuwa wakati wa kupongezana na kufutana machozi.Hayo tuwaachie wao wanasiasa, lakini si...
9 years ago
Dewji Blog22 Nov
Matokeo michezo ya Jumamosi Novemba 21 na ratiba ya michezo ya leo Jumapili!
Wachezaji wa Liver Pool wakishangilia baada ya ushindi wao wa mchezo wa jana waliochinda bao 4-1, dhidi ya Manchester City.
WINGEREZA – PRIMEAR LEAGUE
Watford 1 – 2 Manchester United
Chelsea 1 – 0 Norwich City
Everton 4 – 0 Aston Villa
Southampton 0 – 1 Stoke City
West Bromwich Albion 2 – 1 Arsenal
Newcastle 0 – 3 Leicester City
Swansea 2 – 2 Afc Bournemouth
Manchester City 1 – 4 Liverpool
HISPANIA – LIGA BBVA
Real Sociedad 2 – 0 Sevilla
Real Madrid 0 – 4 Barcelona
Espanyol 2 – 0...
10 years ago
MichuziBODI YA MICHEZO YA BAHATI NASIBU YAKABIDHI LESENI KWA KAMPUNI YA MURHANDZIWA KUENDESHA MICHEZO HIYO
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-2NfAZBuhANk/VCVJbPjmHtI/AAAAAAAGl6o/HdCiV2YZ4ug/s72-c/TF3.jpg)
Timu ya Michezo ya Wizara ya Habari ,Vijana,Utamaduni na Michezo ya haswa kuwa mfano katika mashindano ya SHIMIWI
![](http://2.bp.blogspot.com/-2NfAZBuhANk/VCVJbPjmHtI/AAAAAAAGl6o/HdCiV2YZ4ug/s1600/TF3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-fimSY98DOpk/VCVJfbNVZRI/AAAAAAAGl68/ylNfyX7xV8w/s1600/TF4a.jpg)
10 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-aVL1mPhjh-I/VCVJa5m60pI/AAAAAAAGl6s/bzC0ELLd-8k/s1600/TF1.jpg)
TIMU YA MICHEZO YA WIZARA YA HABARI, VIJANA, UTAMADUNI NA MICHEZO YA HASWA KUWA MFANO KATIKA MASHINDANO YA SHIMIWI