Serikali yaunga mkono jitihada za wadau wa Michezo
Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Vijana kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bi Juliana Yassoda (Katikati) akiongea na Wanahabari (Hawapo pichani) kuhusu makocha wa Timu ya Barcelona kutoka nchini Hispania ambao wako nchini kwa ajili ya mafunzo ya makocha yatakayofanyika kwa muda wa siku mbili, wa kwanza kulia ni Balozi wa Spain nchini Mh. Luis Manuel Ceuesta Civis, mafunzo hayo yanatolewa kwa ushirikiano na Kiwanda cha Bia cha Tanzania Breweries.
Na Genofeva...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziAbsa Tanzania yaunga mkono juhudi za serikali mapambano dhidi ya Covid-19
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-x7NE7xv6rxU/XsDw6DivcJI/AAAAAAALqhY/4p9J9HnDEIAaREbstQZGz_lM7VrTAPtlACLcBGAsYHQ/s72-c/2fa7e905-e760-4795-b706-277a7a173e4d.jpg)
KAMPUNI YA QWIHAYA YAUNGA MKONO SERIKALI VIFAA KINGA VYA CORONA STENDI YA MAFINGA
Kipima joto kilichotolewa na Kampuni ya Qwihaya General Enterprises Co Ltd kimesababisha wananchi wanaofanya kazi stendi ya Mafinga wilayani Mufindi kusimamisha shughuli zao kwa muda ili wapime joto la miili yao.
Wananchi hao wakiwepo wapiga debe na wafanyabiashara ndogo ndogo walimteua mwenzao, akajifunza kukitumia na baadae walipanga foleni ili kila mmoja apime kujua joto la mwili wake.
Kifaa hicho, matenki mawili ya kuhifadhia maji na vitakasa mikono ni miongoni mwa...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Q12jfn7F59g/U5HZGZO896I/AAAAAAAFoGU/yrzNByJ5Do4/s72-c/unnamed+(19).jpg)
SERIKALI YASHAURI WADAU WA MICHEZO KUJITOKEZA KUSAIDIA MICHEZO NCHINI
![](http://3.bp.blogspot.com/-Q12jfn7F59g/U5HZGZO896I/AAAAAAAFoGU/yrzNByJ5Do4/s1600/unnamed+(19).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-cIzN8ZSIYLU/U5HZF3f3ypI/AAAAAAAFoGQ/wJ0gOciTpPs/s1600/unnamed+(21).jpg)
5 years ago
MichuziWADAU WA MAZINGIRA WAPONGEZA JITIHADA ZA SERIKALI KATIKA KUENDELEZA MATUMIZI YA NIHATI JADIDIFU NCHINI
Wadau wa mazingira kutoka Shirika la FORUMCC wakiendelea na majadiliano leo Juni 25,2020 Mjini Morogoro ambao wamekutana kujadilia bajeti ya Wizara ya Nishati pamoja na jitihada zinazofanywa katika kuhamasisha matumizi ya nishati mbadala ikiwa ni mkakati wa kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi.
Sehemu ya wanachama wa FORUMCC wakiwa makini kufuatilia majadiliano wakati wa mkutano wa kujadili matumizi ya nishati jadidifu pamoja na jitihada za Serikali katika kuendeleza sekta hiyo...
11 years ago
Tanzania Daima09 Mar
Vodacom yaunga mkono mwanamke
KAMPUNI ya mawasiliano ya simu za mkononi ya Vodacom, imeahidi kuendelea kuunga mkono jitihada za kumkomboa mwanamke nchini. Hatua hiyo imekuja siku chache baada ya mke wa Rais, Mama Salma...
10 years ago
BBCSwahili04 Oct
USA:Yaunga mkono ukaguzi wa Ebola
10 years ago
GPLMASHIRIKISHO YA SANAA TANZANIA YAUNGA MKONO SIKU YA MSANII
10 years ago
Dewji Blog29 Sep
Apollo yaunga mkono vita dhidi ya magonjwa ya moyo
Magonjwa ya moyo ni miongoni ya magonjwa duniani yanayosababisha vifo vya watu milioni 17.3 kulingana na takwimu za Shirika la Afya Duniani (WHO). Siku ya Moyo Duniani huadhimishwa tarehe 29 Septemba kila mwaka kwa lengo la kuongeza uelewa kuhusu magonjwa ya moyo ikiwa na kauli mbiu kadha wa kadha kila mwaka. Ikiwa ni idadi kubwa ya wagonjwa wa moyo Tanzania wanaosasifiri kwenda nje ya nchi kwa ajili ya matibabu, Hospitali ya Apollo ya India ilifanya jitihada za kina kuanzisha hospitali ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-re6cr-usAJc/XmeFeTSysoI/AAAAAAABMuc/SGCnZAq8o5g6LP4nYYWHcij7Lg6fvTr-ACNcBGAsYHQ/s72-c/01.jpg)
NBC YAUNGA MKONO SEKTA YA KILIMO MKOANI LINDI
Mazao hayo mawili ni kati ya mazao makubwa ya kibiashara yanayofanyika katika nchi yetu na nje ya nchi ya Tanzania.
Kongamano hilo lilikusanya wafanyabiashara na wajasiriamali kutoka nyanja mbali na kwa pamoja walipata kufahamu fursa zinazotolewa na benki hiyo kwa wanachama wa Biashara Club.
Akizungumza na...