Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


USA:Yaunga mkono ukaguzi wa Ebola

Maafisa wa usalama jijini Washington wanasema kuwa ukaguzi wa ebola uendelee katika viwanja vya ndege Magharibi mwa Afrika.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Vodacom yaunga mkono mwanamke

KAMPUNI ya mawasiliano ya simu za mkononi ya Vodacom, imeahidi kuendelea kuunga mkono jitihada za kumkomboa mwanamke nchini. Hatua hiyo imekuja siku chache baada ya mke wa Rais, Mama Salma...

 

11 years ago

Dewji Blog

Serikali yaunga mkono jitihada za wadau wa Michezo

IMG_6504 bacelona

Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Vijana kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bi Juliana Yassoda (Katikati) akiongea na Wanahabari (Hawapo pichani) kuhusu  makocha wa Timu ya Barcelona  kutoka nchini Hispania  ambao wako nchini kwa ajili ya  mafunzo ya makocha yatakayofanyika kwa muda wa siku mbili, wa kwanza kulia ni Balozi wa Spain nchini Mh. Luis Manuel Ceuesta Civis, mafunzo hayo yanatolewa kwa ushirikiano na Kiwanda cha Bia cha Tanzania Breweries.

Na Genofeva...

 

5 years ago

Michuzi

NBC YAUNGA MKONO SEKTA YA KILIMO MKOANI LINDI

BENKI ya Taifa ya Biashara (NBC) yazindua NBC B Club Katika mkoa wa Lindi kwa lengo la kuunga mkono sekta ya kilimo ambapo kuna zao la Korosho na Ufuta na msimu wake unakaribia kuanza. 
Mazao hayo mawili ni kati ya mazao makubwa ya kibiashara yanayofanyika katika nchi yetu na nje ya nchi ya Tanzania. 
Kongamano hilo lilikusanya wafanyabiashara na wajasiriamali kutoka nyanja mbali na kwa pamoja walipata kufahamu fursa zinazotolewa na benki hiyo kwa wanachama wa Biashara Club. 
Akizungumza na...

 

10 years ago

Vijimambo

JUMUIYA YA DMV YAUNGA MKONO MRADI WA MALARIA WA JENGA

Bwn. Nassoro Basalama Mkurugenzi wa JENGA Foundation akiwa na Mkewe walipohudhuria sherehe ya kuukaribisha mwaka 2015 DMV
Foundation ya JENGA yapokelewa na Jumuiya ya Washington, DC kwa mwamko mzuri wa lengo la kujishirikisha kusaidia nyumbani Tanzania katika masuala ya malaria. Mradi ambao ulielezewa na Mkurugenzi wa JENGA Bwn. Nassoro Bassalama kwa kina. Pia Mgen rasmi Balozi wa African Union Bi Amina S. Ali, alihamasishwa na JENGA juu ya mradi wa malaria na kuwasihi watanzania...

 

10 years ago

GPL

MASHIRIKISHO YA SANAA TANZANIA YAUNGA MKONO SIKU YA MSANII

Katibu wa Shirikisho la Sanaa na Maonyesho Tanzania, Godfrey Ndimbo akizungumza na wanahabari hawapo pichani. Kutoka kulia ni Katibu Mkuu wa Shirikisho la Sanaa na Maonyesho Tanzania, Denis Mango, Katibu Godfrey Ndimbo, Peter Mwendapole na Mkurugenzi, Godfrey Katula wakiwa meza kuu.…

 

10 years ago

Dewji Blog

Apollo yaunga mkono vita dhidi ya magonjwa ya moyo

oragan-donation

Magonjwa ya moyo ni miongoni ya magonjwa duniani yanayosababisha vifo vya watu milioni 17.3 kulingana na takwimu za Shirika la Afya Duniani (WHO).  Siku ya Moyo Duniani huadhimishwa tarehe 29 Septemba kila mwaka kwa lengo la kuongeza uelewa kuhusu magonjwa ya moyo ikiwa na kauli mbiu kadha wa kadha kila mwaka. Ikiwa ni idadi kubwa ya wagonjwa wa moyo Tanzania wanaosasifiri kwenda nje ya nchi kwa ajili ya matibabu, Hospitali ya Apollo ya India ilifanya jitihada za kina kuanzisha hospitali ya...

 

5 years ago

Michuzi

Absa Tanzania yaunga mkono juhudi za serikali mapambano dhidi ya Covid-19

Waziri wa Afya, Maendeleo ya. Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu, (katikati), akimshukuru Mkurugenzi Rasilimali Watu na Utumishi wa Benki ya AbsaTanzania, Patrick Foya (kushoto), baada yakupokea msaada wa vifaa tiba kwa ajili ya kuisaidia serikali katika kupambana na ugonjwa wa homa kali ya mapafu inayotokana na virusi vya Corona (Covid-19). kulia ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Maendeleoya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Prof. Mabula Daudi Mchembe. Vifaa hivyo vikiwemo barakoa,...

 

9 years ago

StarTV

CWT Iringa yaunga mkono juhudi za Rais Magufuli kupambana na ubadhirifu

CHAMA cha walimu Tanzania CWT tawi la Iringa kimesema jitihada zinazofanywa na uongozi wa awamu ya tano ya rais Dr.John Pombe Magufuli  zinapaswa kuungwa mkono na watanzania wote wenye fikra pevu na nia njema ya maendeleo ya Taifa.

Zuio la posho kwa watumishi wa serikali, matumizi holela ya fedha za umma pamoja na kutafuta njia mbadala ya namna ya kusherekea siku ya Uhuru na maadhimisho ya siku ya Ukimwi duniani, ni miongoni mwa mambo yanayotajwa kuwa na tija  kwa jamii badala ya manufaa ya...

 

5 years ago

Michuzi

KAMPUNI YA QWIHAYA YAUNGA MKONO SERIKALI VIFAA KINGA VYA CORONA STENDI YA MAFINGA

Na Matukiodaimablog.
Kipima joto kilichotolewa na Kampuni ya Qwihaya General Enterprises Co Ltd kimesababisha wananchi wanaofanya kazi stendi ya Mafinga wilayani Mufindi kusimamisha shughuli zao kwa muda ili wapime joto la miili yao.

Wananchi hao wakiwepo wapiga debe na wafanyabiashara ndogo ndogo walimteua mwenzao, akajifunza kukitumia na baadae walipanga foleni ili kila mmoja apime kujua joto la mwili wake.

Kifaa hicho, matenki mawili ya kuhifadhia maji na vitakasa mikono ni miongoni mwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani