Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MASHIRIKISHO YA SANAA TANZANIA YAUNGA MKONO SIKU YA MSANII

Katibu wa Shirikisho la Sanaa na Maonyesho Tanzania, Godfrey Ndimbo akizungumza na wanahabari hawapo pichani. Kutoka kulia ni Katibu Mkuu wa Shirikisho la Sanaa na Maonyesho Tanzania, Denis Mango, Katibu Godfrey Ndimbo, Peter Mwendapole na Mkurugenzi, Godfrey Katula wakiwa meza kuu.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

Absa Tanzania yaunga mkono juhudi za serikali mapambano dhidi ya Covid-19

Waziri wa Afya, Maendeleo ya. Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu, (katikati), akimshukuru Mkurugenzi Rasilimali Watu na Utumishi wa Benki ya AbsaTanzania, Patrick Foya (kushoto), baada yakupokea msaada wa vifaa tiba kwa ajili ya kuisaidia serikali katika kupambana na ugonjwa wa homa kali ya mapafu inayotokana na virusi vya Corona (Covid-19). kulia ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Maendeleoya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Prof. Mabula Daudi Mchembe. Vifaa hivyo vikiwemo barakoa,...

 

10 years ago

Michuzi

MASHIRIKISHO YA SANAA NCHINI YATUA BUNGE LA KATIBA KUFUKUZIA HOJA ZAO

Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Mh. Samuel Sitta (kulia), akisisitiza jambo kwa wawakilishi wa mashirikisho ya sanaa mjini Dodoma hivi karibuni. Mashirikisho hayo yamekuwa yakipambana kufa na kupona kuhakikisha katiba mpya inatambue wasanii kama kundi maalum na pia ilinde mali zisizoshikika yaani miliki bunifu (intellectual property). Maoni ya mashirikisho hayo yalishatolewa katika hatua za awali za utoaji maoni na pia kupitia mabaraza lakini kwa bahati mbaya, hayakujumuishwa katika...

 

10 years ago

Dewji Blog

Viongozi na Wasanii wa Vyama vya Mashirikisho ya Sanaa wasisitiza kuhusu ujio wa Ujumbe wao Bunge Maalum la Katiba mjini Dodoma

PIX 1.

Mwenyekiti wa Mtandao wa Wanamuziki Tanzania (TAMUNET) Bw. John Kitime (kushoto) akiwahutubia waandishi wa Habari pamoja na Wasanii waliohudhuria mkutano uliofanyika mjini Dodoma 27 Agosti, 2014. Kulia ni Rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania Bw. Simon Mwakifwamba.

Na Benedict Liwenga, Maelezo-Dodoma.

VIONGOZI na Wasanii toka baadhi ya Vyama na Mashirikisho ya Sanaa nchini wameendelea kuhabarisha umma juu ya ujio wa Ujumbe wao wenye malengo mawili ya msingi ya kutaka wasanii kutambuliwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Vodacom yaunga mkono mwanamke

KAMPUNI ya mawasiliano ya simu za mkononi ya Vodacom, imeahidi kuendelea kuunga mkono jitihada za kumkomboa mwanamke nchini. Hatua hiyo imekuja siku chache baada ya mke wa Rais, Mama Salma...

 

10 years ago

BBCSwahili

USA:Yaunga mkono ukaguzi wa Ebola

Maafisa wa usalama jijini Washington wanasema kuwa ukaguzi wa ebola uendelee katika viwanja vya ndege Magharibi mwa Afrika.

 

10 years ago

Bongo Movies

Fatuma Makongoro (Bi Mwenda), Msanii aliyetukuka kwenye sanaa ya uigizaji Tanzania

Bi Mwenda ni mzaliwa wa Mara Wilaya ya Bunda kijiji cha Ikwizu Nyamuswa, ni mtoto wa Mtemi Makongoro, ambaye alikuwa rafiki na ndugu wa yamini na Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Anasema katika maisha yake wakati yupo darasa la tano mpaka anamaliza alikuwa akiishi Ikulu jijini Dar es Salaam, na alihamishiwa Shule ya Msingi Kinondoni iliyo karibu na Mahakama ya Kinondoni. Wakati huo wenzake walikuwa wakisoma Shule ya Mwenge na kupelekwa na gari.

Bi Mwenda, anasema alijiingiza kwenye michezo...

 

11 years ago

Dewji Blog

Serikali yaunga mkono jitihada za wadau wa Michezo

IMG_6504 bacelona

Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Vijana kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bi Juliana Yassoda (Katikati) akiongea na Wanahabari (Hawapo pichani) kuhusu  makocha wa Timu ya Barcelona  kutoka nchini Hispania  ambao wako nchini kwa ajili ya  mafunzo ya makocha yatakayofanyika kwa muda wa siku mbili, wa kwanza kulia ni Balozi wa Spain nchini Mh. Luis Manuel Ceuesta Civis, mafunzo hayo yanatolewa kwa ushirikiano na Kiwanda cha Bia cha Tanzania Breweries.

Na Genofeva...

 

5 years ago

Michuzi

NBC YAUNGA MKONO SEKTA YA KILIMO MKOANI LINDI

BENKI ya Taifa ya Biashara (NBC) yazindua NBC B Club Katika mkoa wa Lindi kwa lengo la kuunga mkono sekta ya kilimo ambapo kuna zao la Korosho na Ufuta na msimu wake unakaribia kuanza. 
Mazao hayo mawili ni kati ya mazao makubwa ya kibiashara yanayofanyika katika nchi yetu na nje ya nchi ya Tanzania. 
Kongamano hilo lilikusanya wafanyabiashara na wajasiriamali kutoka nyanja mbali na kwa pamoja walipata kufahamu fursa zinazotolewa na benki hiyo kwa wanachama wa Biashara Club. 
Akizungumza na...

 

10 years ago

Dewji Blog

Apollo yaunga mkono vita dhidi ya magonjwa ya moyo

oragan-donation

Magonjwa ya moyo ni miongoni ya magonjwa duniani yanayosababisha vifo vya watu milioni 17.3 kulingana na takwimu za Shirika la Afya Duniani (WHO).  Siku ya Moyo Duniani huadhimishwa tarehe 29 Septemba kila mwaka kwa lengo la kuongeza uelewa kuhusu magonjwa ya moyo ikiwa na kauli mbiu kadha wa kadha kila mwaka. Ikiwa ni idadi kubwa ya wagonjwa wa moyo Tanzania wanaosasifiri kwenda nje ya nchi kwa ajili ya matibabu, Hospitali ya Apollo ya India ilifanya jitihada za kina kuanzisha hospitali ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani