MASHIRIKISHO YA SANAA NCHINI YATUA BUNGE LA KATIBA KUFUKUZIA HOJA ZAO
![](http://2.bp.blogspot.com/-cvXypiP2TGo/VAG9EtQkf7I/AAAAAAAGWbw/EB1yzbi8Gu0/s72-c/unnamed%2B(1).jpg)
Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Mh. Samuel Sitta (kulia), akisisitiza jambo kwa wawakilishi wa mashirikisho ya sanaa mjini Dodoma hivi karibuni. Mashirikisho hayo yamekuwa yakipambana kufa na kupona kuhakikisha katiba mpya inatambue wasanii kama kundi maalum na pia ilinde mali zisizoshikika yaani miliki bunifu (intellectual property). Maoni ya mashirikisho hayo yalishatolewa katika hatua za awali za utoaji maoni na pia kupitia mabaraza lakini kwa bahati mbaya, hayakujumuishwa katika...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog27 Aug
Viongozi na Wasanii wa Vyama vya Mashirikisho ya Sanaa wasisitiza kuhusu ujio wa Ujumbe wao Bunge Maalum la Katiba mjini Dodoma
Mwenyekiti wa Mtandao wa Wanamuziki Tanzania (TAMUNET) Bw. John Kitime (kushoto) akiwahutubia waandishi wa Habari pamoja na Wasanii waliohudhuria mkutano uliofanyika mjini Dodoma 27 Agosti, 2014. Kulia ni Rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania Bw. Simon Mwakifwamba.
Na Benedict Liwenga, Maelezo-Dodoma.
VIONGOZI na Wasanii toka baadhi ya Vyama na Mashirikisho ya Sanaa nchini wameendelea kuhabarisha umma juu ya ujio wa Ujumbe wao wenye malengo mawili ya msingi ya kutaka wasanii kutambuliwa...
10 years ago
GPLMASHIRIKISHO YA SANAA TANZANIA YAUNGA MKONO SIKU YA MSANII
11 years ago
Tanzania Daima12 Feb
Bunge la Katiba lijadili nguvu ya hoja si hoja za nguvu
BUNGE la kujadili katiba mpya limepangwa kuanza rasmi Februari 18 mwaka huu, pale Makao Makuu ya Tanzania, mjini Dodoma. Mijadala itaendeshwa kwa siku 70. Ikibidi zitaongezwa tena siku nyingine 20...
10 years ago
Tanzania Daima10 Sep
Hoja 4 zinazotikisa Bunge la Katiba
MAHAKAMA ya Kadhi, Uraia pacha, kiongozi wa umma kumiliki akaunti ya benki nje ya nchi na nafasi tatu za Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni hoja...
11 years ago
Tanzania Daima01 Mar
Hoja za wanawake zitimizwe Bunge la Katiba
NI wiki mbili tangu Bunge Maalumu la Katiba lianze vikao vyake kwa ajili ya kujadili rasimu ya pili ya katiba. Lakini inasikitika kuona katika wiki ya kwanza baadhi ya wajumbe...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-LuibVj0oezc/UwUfG9TlmhI/AAAAAAAFOJE/fcx1MiG4AhE/s72-c/unnamed+(10).jpg)
wasanii wavamia bunge maalumu la katiba kudai haki zao zitambulike katka katiba mpaya dodoma
Wsanii 12 wakiwemo viongozi toka Shirikisho la muziki, Shirikisho la Filamu, Shirikisho la Sanaa za ufundi, Mtandao wa Wanamuziki Tanzania walifunga safari na kuvamia Dododma na kuwa na mfululizo wa mikutano na wabunge mbalimbali ili kuwashawishi waunge mkono vipengele viwili ambavyo wasanii wanavitaka katika Katiba 1. Kundi la wasanii kutambuliwa katika Katiba kama vile walivyotambuliwa Wakulima, wafugaji, wavuvi na wafugaji walivyotajwa 2. Milliki Bunifu kwa kiingereza Intellectual...
10 years ago
Mwananchi22 Sep
Hoja kuamua hatima Bunge la katiba leo
11 years ago
Tanzania Daima16 Apr
CCM NA BUNGE LA KATIBA: Hoja nyepesi za kukariri
NI ukweli usio na shaka kwamba wajumbe wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwenye Bunge la Katiba ni wengi kuliko wajumbe kutoka makundi mengine. Kwa maana hiyo, CCM imelihodhi Bunge na...
11 years ago
Tanzania Daima07 Mar
Bunge la Katiba mpya lisiisahau tasnia ya sanaa
WIKI iliyopita wasanii kutoka makundi mbalimbali na mashirikisho ya sanaa nchini waliungana katika hafla ya uzinduzi wa wimbo wenye maudhui ya kupigania haki ya msanii kutajwa na kupewa haki katika...