Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hoja 4 zinazotikisa Bunge la Katiba

MAHAKAMA ya Kadhi, Uraia pacha, kiongozi wa umma kumiliki akaunti ya benki nje ya nchi na nafasi tatu za Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni hoja...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Bunge la Katiba lijadili nguvu ya hoja si hoja za nguvu

BUNGE la kujadili katiba mpya limepangwa kuanza rasmi Februari 18 mwaka huu, pale Makao Makuu ya Tanzania, mjini Dodoma. Mijadala itaendeshwa kwa siku 70. Ikibidi zitaongezwa tena siku nyingine 20...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Hoja za wanawake zitimizwe Bunge la Katiba

NI wiki mbili tangu Bunge Maalumu la Katiba lianze vikao vyake kwa ajili ya kujadili rasimu ya pili ya katiba. Lakini inasikitika kuona katika wiki ya kwanza baadhi ya wajumbe...

 

10 years ago

Mwananchi

Hoja kuamua hatima Bunge la katiba leo

Hatima ya kesi mbili za kupinga Bunge la Katiba, inatarajiwa kujulikana leo wakati Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam itakapotoa uamuzi wake.

 

11 years ago

Tanzania Daima

CCM NA BUNGE LA KATIBA: Hoja nyepesi za kukariri

NI ukweli usio na shaka kwamba wajumbe wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwenye Bunge la Katiba ni wengi kuliko wajumbe kutoka makundi mengine. Kwa maana hiyo, CCM imelihodhi Bunge na...

 

10 years ago

Michuzi

HOJA YA KUSITISHA BUNGE MAALUM LA KATIBA YAHITIMISHWA RASMI

Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba toka Kamati namba Tano, Mhe. Dkt. Asha-Rose Migiro akisoma taarifa wakati wa mjadala wa jioni bungeni hapo jana 15 Septemba, 2014 mjini Dodoma.Na Benedict Liwenga, MAELEZO-Dodoma HOJA ya kusitisha Bunge Maalum la Katiba imehitimishwa rasmi Kisheria kwa Mahakama Kuu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutamka kwamba bunge hilo linaweza kuendelea na shughuli zake. Taarifa hiyo imetolewa jana 15 Septemba, 2014 na Mjumbe wa Kamati namba Tano, Mhe. Dkt....

 

11 years ago

Mwananchi

Wajumbe sekta ya afya wajipanga kusukuma hoja Bunge la Katiba

>Wataalamu wa afya ambao ni wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba jana walikutana ili kupanga mkakati wa namna ya kushauri na kusukuma hoja za sekta ya afya katika Rasimu ya Katiba.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kwa Bunge hili na hoja hizi, tutapata katiba inayofaa?

MWANICHEFUA naapa! Mmeenda  Dodoma tukiwa taifa moja, lakini kwa   hisia zenu hizi zilizokosa uzalendo mnaweza mkarudi mkatuachia nchi iliyo vipande vipande. Nasema hata yale ya posho mie wacha tu nikae...

 

10 years ago

Michuzi

MASHIRIKISHO YA SANAA NCHINI YATUA BUNGE LA KATIBA KUFUKUZIA HOJA ZAO

Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Mh. Samuel Sitta (kulia), akisisitiza jambo kwa wawakilishi wa mashirikisho ya sanaa mjini Dodoma hivi karibuni. Mashirikisho hayo yamekuwa yakipambana kufa na kupona kuhakikisha katiba mpya inatambue wasanii kama kundi maalum na pia ilinde mali zisizoshikika yaani miliki bunifu (intellectual property). Maoni ya mashirikisho hayo yalishatolewa katika hatua za awali za utoaji maoni na pia kupitia mabaraza lakini kwa bahati mbaya, hayakujumuishwa katika...

 

10 years ago

Michuzi

TAARIFA YA WAWAKILISHI WA TAASISI ZA DINI WA BUNGE MAALUM LA KATIBA TOKA WAJUMBE 201 KUHUSU MWENENDO WA SHUGHULI ZA BUNGE MAALUM LA KATIBA

 Sisi Wawakilishi wa Jumuiya na Taasisi za Dini, tuliopendekezwa na Taasisi zetu na baadaye kuteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, baada ya kushauriana na Rais wa Zanzibar kuwa Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba, na kula kiapo cha utekelezaji wa jukumu hili kubwa.Tukiamini kuandaa Katiba Mpya kwa maridhiano ya Kitaifa kwa wananchi wote, tulipokea jukumu hili kama wajibu wetu Kitaifa.  Aidha tunaamini kwamba katika kupata maridhiano ya Kitaifa ni muhimu kuheshimu kila wazo na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani