Waziri Mwakyembe Apokea Ujumbe wa Wadau wa Michezo toka Nchini Misri
Kiongozi wa ujumbe toka nchini Misri akifafanua jambo kwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe (kulia) wakati ujumbe huoulipomtembelea Waziri Mwakyembe katika ofisi ndogo jijini Dar es Salaam mapema hii leo na kujadiliana masuala mbalimbali ya maendeleo ya sekta ya michezo ikiwemo la ujenzi wa eneo changamani la michezo.
Balozi wa Misri nchini, Mhe. Gaber Mohamed Abulwafa akifafanua jambo kwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziMKUU WA WILAYA YA KINONDONI PAUL MAKONDA, APOKEA VIFAA VYA MICHEZO KUTOKA KWA WADAU WA MICHEZO NCHINI KWA AJILI YA MASHINDANO YA KINONDONI CUP
5 years ago
MichuziWAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA APOKEA UJUMBE KUTOKA NCHINI UTURUKI
Ujumbe umeonesha nia yao ni kufanya mazungumzo lenye lengo la nchi ya Uturuki kufanya uwekezaji nchini Tanzania.
Bashungwa amewaeleza jinsi Tanzania inavyoendelea kuweka mazingira wezeshi ya uwekezaji na biashara kwa...
10 years ago
VijimamboBALOZI SEIF APOKEA VIFAA MBALIMBALI VYA MICHEZO TOKA KWA MOHAMMED RAZA
10 years ago
MichuziBalozi Seif akutana na Ujumbe wa Taasisi ya Kimataifa ya ushauri wa Uhandisi wa Ujenzi toka Misri
11 years ago
MichuziSERIKALI YASHAURI WADAU WA MICHEZO KUJITOKEZA KUSAIDIA MICHEZO NCHINI
5 years ago
MichuziWaziri Mwakyembe apokea ripoti ya utekelezaji wa mkataba wa UNESCO 2005
11 years ago
Michuzi24 Feb
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo apokea zawadi toka Kamati ya vibali vya filamu.
10 years ago
MichuziWaziri Mwakyembe apokea mabehewa yatakayo boresha usafiri katika reli ya kati
10 years ago
GPLRAIS KIKWETE APOKEA UJUMBE TOKA KWA RAIS WA SUDAN KUSINI SALVAR KIIR JIJINI DAR