KUHUSU KUSAIDIA MICHEZO, WOTE HAWA WAMEDANGANYA TU
![](http://3.bp.blogspot.com/-jdILRLt62Kk/VaDN_K-_EQI/AAAAAAABOXU/7sULDbXdXtQ/s72-c/January%2BMakamba%2Banswering%2Bquestions%2Bfrom%2Bparticipants.jpg)
MAKAMBA
Na Saleh AllyCHAMA cha Mapinduzi (CCM), kiko katika harakati za mwisho kumpata mgombea wake wa urais na leo ndiyo tatu bora inajulikana.Tayari tano bora imeishajulikana ambayo ni Benard Membe, Asha-Rose Migiro, Januari Makamba, John Magufuri na Amina Ally.
Mgombea mmoja atatangazwa kesho na kitendawili cha nani atakuwa mgombea wa urais wa chama hicho kikongwe nchini kitakuwa kimetenguliwa, huenda itakuwa wakati wa kupongezana na kufutana machozi.Hayo tuwaachie wao wanasiasa, lakini si...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Q12jfn7F59g/U5HZGZO896I/AAAAAAAFoGU/yrzNByJ5Do4/s72-c/unnamed+(19).jpg)
SERIKALI YASHAURI WADAU WA MICHEZO KUJITOKEZA KUSAIDIA MICHEZO NCHINI
![](http://3.bp.blogspot.com/-Q12jfn7F59g/U5HZGZO896I/AAAAAAAFoGU/yrzNByJ5Do4/s1600/unnamed+(19).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-cIzN8ZSIYLU/U5HZF3f3ypI/AAAAAAAFoGQ/wJ0gOciTpPs/s1600/unnamed+(21).jpg)
9 years ago
MillardAyo06 Jan
Sio Wakenya wote wanasupport WaTz kufungiwa Instagram… kuna hawa waliopinga kwa mashambulizi!!
January 5 2015 niliisogeza kwako stori ya Wakenya iliyoweka headlines kwenye mtandao wa kijamii wa Twitter ambapo watu wengi walianzisha mjadala wa kuwataka Watanzania wote wafungiwe matumizi ya Instagram kutokana na matumizi mabaya ya baadhi ya Watanzania! Lakini sio Wakenya wote wanakubaliana na #KickTanzaniansOutOfIG. Hizi ni baadhi ya posts za @XtianDela Mkenya aliyeanzisha mjadala wa […]
The post Sio Wakenya wote wanasupport WaTz kufungiwa Instagram… kuna hawa waliopinga kwa...
10 years ago
Dewji Blog10 Dec
Watanzania wahaswa kuendelea kusaidia sekta ya Michezo nchini
Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Mhe. Dkt. Fenella Mukangara akizungumza na wadau wa michezo ya Ngumina na Karate wakati wa hafla ya kukabidhiwa msaada wa Ulingo wa Ngumi wa Kimataifa pamoja na hundi yenye thamani ya shilingi milioni kumi kwa ajili ya kusaidia mchezo wa Karate kutoka kwa Kampuni ya Mawasiliano ya Simu ya Zantel Tanzania leo jijini Dar es Salaam. Kushoto kwake ni Afisa Mtendaji Mkuu wa Zantel Pratap Ghose.
Ulingo wa kisasa kwa ajili ya Mchezo wa Ngumi...
10 years ago
Bongo Movies22 May
JB Atoa Tahadhari Kuhusu ya Matapeli Hawa
Tahadhari: kuna watu wametengeneza akaunti feki yenye picha zangu.na wanasema kwamba Jerusalem inahitaji wasanii wapya.na wanawapigia simu watu huku wakiwatoza kiasi cha tsh 45000 hadi laki kama ada ya kujiandikisha.watu hawa ni matapeli.na wamechukua hela nyingi kwa watu.jamani hatuna utaratibu huo na usikubali kutoa pesa...Fb watu wanaitumia vibaya sana..
By:JB on Instagram
9 years ago
Bongo Movies08 Nov
Lulu Awacharukia Hawa Kuhusu Gharama za Urembo Wake
STAA asiyekaukiwa matukio Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amewacharukia watu wanaohoji kwa nini anapendeza angali mwanafunzi kwa kuwaambia, ‘kwani akiwa mwanafunzi ni mwiko kupendeza?’
Akizungumza na mwandishi wa habari hii hivi karibuni, Lulu alisema amekuwa akiona maoni ya watu wengi mtandaoni wakihoji anapata wapi fedha za kupendeza wakati yeye ni mwanafunzi hoja ambayo ameiona haina mashiko kwani yeye hatumii fedha nyingi katika urembo wake.
“Watu bwana! Ningekuwa niko rafu...
10 years ago
Vijimambo28 Jul
5 years ago
Michuzi24 Apr
10 years ago
VijimamboMAWAZIRI WA NISHATI WAJADILI KUHUSU NISHATI ENDELEVU KWA WOTE
Na Mwandishi Maalum, New York
Naibu ...
5 years ago
CCM Blog![](https://img.youtube.com/vi/1gydulqw72U/default.jpg)