Sio Wakenya wote wanasupport WaTz kufungiwa Instagram… kuna hawa waliopinga kwa mashambulizi!!
January 5 2015 niliisogeza kwako stori ya Wakenya iliyoweka headlines kwenye mtandao wa kijamii wa Twitter ambapo watu wengi walianzisha mjadala wa kuwataka Watanzania wote wafungiwe matumizi ya Instagram kutokana na matumizi mabaya ya baadhi ya Watanzania! Lakini sio Wakenya wote wanakubaliana na #KickTanzaniansOutOfIG. Hizi ni baadhi ya posts za @XtianDela Mkenya aliyeanzisha mjadala wa […]
The post Sio Wakenya wote wanasupport WaTz kufungiwa Instagram… kuna hawa waliopinga kwa...
MillardAyo
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo05 Jan
Wakenya wataka Watanzania kufungiwa matumizi ya Instagram!! Na hizi ndio sababu zao…
Wakenya wameanza mwaka wa 2016 kwa kuomba Watanzania waondolewe kwenye mtandaoa wa Instagram, mtandao maarufu wa kijamii! Watumiaji wa mtandao huo kutoka Kenya, wanadai Watanzania wamethibitisha kuwa hawawezi kutumia mtandao huo vizuri kutokana na lugha nzito inayotumiwa na Watanzania pamoja na tabia ya baadhi ya Watanzania kupost videos za utupu kwenye mtandao huo. Wakenya wengi […]
The post Wakenya wataka Watanzania kufungiwa matumizi ya Instagram!! Na hizi ndio sababu zao… appeared first...
11 years ago
Mwananchi31 May
Wasichana wenye vipaji ni hawa tu au kuna zengwe?
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-jdILRLt62Kk/VaDN_K-_EQI/AAAAAAABOXU/7sULDbXdXtQ/s72-c/January%2BMakamba%2Banswering%2Bquestions%2Bfrom%2Bparticipants.jpg)
KUHUSU KUSAIDIA MICHEZO, WOTE HAWA WAMEDANGANYA TU
![](http://3.bp.blogspot.com/-jdILRLt62Kk/VaDN_K-_EQI/AAAAAAABOXU/7sULDbXdXtQ/s640/January%2BMakamba%2Banswering%2Bquestions%2Bfrom%2Bparticipants.jpg)
MAKAMBA
Na Saleh AllyCHAMA cha Mapinduzi (CCM), kiko katika harakati za mwisho kumpata mgombea wake wa urais na leo ndiyo tatu bora inajulikana.Tayari tano bora imeishajulikana ambayo ni Benard Membe, Asha-Rose Migiro, Januari Makamba, John Magufuri na Amina Ally.
Mgombea mmoja atatangazwa kesho na kitendawili cha nani atakuwa mgombea wa urais wa chama hicho kikongwe nchini kitakuwa kimetenguliwa, huenda itakuwa wakati wa kupongezana na kufutana machozi.Hayo tuwaachie wao wanasiasa, lakini si...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-5i8ihrYDgBk/VVBVqxUNJeI/AAAAAAAAtj0/MVfg1IQaXLo/s72-c/wachaga.jpg)
Wachaga Wamegawanyika Kama ifuatavyo, Sio Wote ni Wajanja!
![](http://4.bp.blogspot.com/-5i8ihrYDgBk/VVBVqxUNJeI/AAAAAAAAtj0/MVfg1IQaXLo/s640/wachaga.jpg)
Wachaga wamegawanyika kama ifuatavyo, sio wote wajanja. Kuna:-1. Warombo wajanja sana kibiashara/wezi pia, wameajiri Wamarangu mjini ni walevi sana hupeleka wake zao vijijini wakileta kiburi mjini. Wanawake zao ni mama Huruma, wanaachia tu.. Ukioa mrombo ujue umeolea kijiji.
2. Kuna Wamarangu wazuri sana wa sura na umbo wanawachuna Warombo. Wanawake wana dharau sana na wanaume ni waoga kuliko wanawake. Mwanaume wa Marangu kupigwa na mkewe si jambo la ajabu.
3. Kuna Wakibosho wanafanana na...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/G8icHtTqOlI/default.jpg)
11 years ago
Michuzi27 Mar
Hoja ya haja: Viongozi wa Siasa tupatieni katiba ya watu wote sio ya vyama
9 years ago
MillardAyo22 Dec
Christmas sio kila mtu anasherehekea, hawa hapa watakuwa kazini kama kawaida Uingereza..
December 25 huwa ni siku ambayo wakristo wengi duniani wanaungana kwa pamoja kusherehekea sikukuu ya Christmas, japo sikukuu inawahusu wakristo lakini huwa ni siku ya mapumziko kwa ujumla kwa watu wote bila kujali dini zao. Sasa nimekutana na hii stori kutoka Uingereza, labda nikufahamishe tu kwamba kama ikitokea December 25 2015 utakuwa na jukumu au […]
The post Christmas sio kila mtu anasherehekea, hawa hapa watakuwa kazini kama kawaida Uingereza.. appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
Habarileo01 Oct
Waliopinga Katiba mpya kusikilizwa
WAJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, waliopiga kura ya ‘Hapana’ kwa Rasimu yote ya Katiba Inayopendekezwa, wameundiwa Kamati ya Mashauriano itakayosikiliza malalamiko yao.
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-8nKws01d9YA/Vm7mIArLHAI/AAAAAAAIMXI/m-ryxqsDIiU/s72-c/20151214075157.jpg)