Wachaga Wamegawanyika Kama ifuatavyo, Sio Wote ni Wajanja!
![](http://4.bp.blogspot.com/-5i8ihrYDgBk/VVBVqxUNJeI/AAAAAAAAtj0/MVfg1IQaXLo/s72-c/wachaga.jpg)
Wachaga wamegawanyika kama ifuatavyo, sio wote wajanja. Kuna:-1. Warombo wajanja sana kibiashara/wezi pia, wameajiri Wamarangu mjini ni walevi sana hupeleka wake zao vijijini wakileta kiburi mjini. Wanawake zao ni mama Huruma, wanaachia tu.. Ukioa mrombo ujue umeolea kijiji.
2. Kuna Wamarangu wazuri sana wa sura na umbo wanawachuna Warombo. Wanawake wana dharau sana na wanaume ni waoga kuliko wanawake. Mwanaume wa Marangu kupigwa na mkewe si jambo la ajabu.
3. Kuna Wakibosho wanafanana na...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-EhxwFc-RS2Q/VPNPxQw62KI/AAAAAAAC0wI/IjrOTsEgYXY/s72-c/komba.gif)
RATIBA YA KUSAFIRISHA MWILI WA MAREHEMU MHE. CAPT. JOHN KOMBA ITAKUWA KAMA IFUATAVYO:
![](http://1.bp.blogspot.com/-EhxwFc-RS2Q/VPNPxQw62KI/AAAAAAAC0wI/IjrOTsEgYXY/s1600/komba.gif)
Kesho tarehe 02/3/2015 saa 1 asubuhi misa parokia ya Mt. Bikira Maria Mpalizwa iliopo mbezi , saa 4 asubuhi mwili utaelekea Karimjee kwa ajili ya kuagwa, na saa 8 mchana mwili utaelekea airport tayari kwa safari ya Songea. Mazishi yatafanyika tarehe 3/3/2015 kijijini kwake Lituhi.
Kufuatia Msiba huu shughuli za kamati hazitakuwepo kwa kesho tarehe 2/3/2015. Ukipata taarifa hii tafadhali mjulishe na mwingine.
IMETOLEWA NA;OFISI KATIBU WA BUNGE1.3.2015
9 years ago
MillardAyo22 Dec
Kama watatengeneza ndege kama hii, basi ajali ikitokea inawezekana abiria wakaokolewa wote
Wanasema usafiri wa ndege ni usafiri salama zaidi duniani…. kwenye hii jamaa wamewaza ni jinsi gani abiria wanaweza kutolewa kwenye ndege bila shida… kwenye hii video hapa chini utaweza kujionea mwenyewe… ili kuitazama video subiria sekunde kadhaa itatokea. A inovação na tecnologia e indústria aeronáutica continua a surpreender. Este modelo apresenta uma estrutura completa maciça […]
The post Kama watatengeneza ndege kama hii, basi ajali ikitokea inawezekana abiria wakaokolewa wote appeared...
11 years ago
Michuzi27 Mar
Hoja ya haja: Viongozi wa Siasa tupatieni katiba ya watu wote sio ya vyama
9 years ago
MillardAyo06 Jan
Sio Wakenya wote wanasupport WaTz kufungiwa Instagram… kuna hawa waliopinga kwa mashambulizi!!
January 5 2015 niliisogeza kwako stori ya Wakenya iliyoweka headlines kwenye mtandao wa kijamii wa Twitter ambapo watu wengi walianzisha mjadala wa kuwataka Watanzania wote wafungiwe matumizi ya Instagram kutokana na matumizi mabaya ya baadhi ya Watanzania! Lakini sio Wakenya wote wanakubaliana na #KickTanzaniansOutOfIG. Hizi ni baadhi ya posts za @XtianDela Mkenya aliyeanzisha mjadala wa […]
The post Sio Wakenya wote wanasupport WaTz kufungiwa Instagram… kuna hawa waliopinga kwa...
11 years ago
Tanzania Daima16 Apr
CCM wote wanawaza kama JK?
MWENYE kujua swali hili naomba anisaidie jibu. Kwanini wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) hawataki kutumia akili zao kufikiri, badala yake wanaabudu kile anachokisema Mwenyekiti wao wa Taifa, Jakaya Kikwete?...
11 years ago
Tanzania Daima08 Dec
Kama mwili wote ungekuwa jicho…!
10 years ago
Bongo505 Feb
Christiana Bella: Kama sio Godfather, ntaenda na Adam Juma kushoot video South
9 years ago
Bongo529 Oct
Timbaland awataja Tupac na Notorious B.I.G. kama rappers bora wa muda wote
9 years ago
MillardAyo22 Dec
Christmas sio kila mtu anasherehekea, hawa hapa watakuwa kazini kama kawaida Uingereza..
December 25 huwa ni siku ambayo wakristo wengi duniani wanaungana kwa pamoja kusherehekea sikukuu ya Christmas, japo sikukuu inawahusu wakristo lakini huwa ni siku ya mapumziko kwa ujumla kwa watu wote bila kujali dini zao. Sasa nimekutana na hii stori kutoka Uingereza, labda nikufahamishe tu kwamba kama ikitokea December 25 2015 utakuwa na jukumu au […]
The post Christmas sio kila mtu anasherehekea, hawa hapa watakuwa kazini kama kawaida Uingereza.. appeared first on TZA_MillardAyo.