Kama mwili wote ungekuwa jicho…!
p>TUMESHUHUDIA sote hapa nchini jinsi vyama vya siasa vyenye ushawishi mkubwa vinavyosambaratika vikifikia hatua nzuri ya kuelekea Ikulu. NCCR-Mageuzi kilisambaratika na Chama cha Wananchi (CUF) nacho kikasambaratika kiaina. Sasa mgogoro...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo22 Dec
Kama watatengeneza ndege kama hii, basi ajali ikitokea inawezekana abiria wakaokolewa wote
Wanasema usafiri wa ndege ni usafiri salama zaidi duniani…. kwenye hii jamaa wamewaza ni jinsi gani abiria wanaweza kutolewa kwenye ndege bila shida… kwenye hii video hapa chini utaweza kujionea mwenyewe… ili kuitazama video subiria sekunde kadhaa itatokea. A inovação na tecnologia e indústria aeronáutica continua a surpreender. Este modelo apresenta uma estrutura completa maciça […]
The post Kama watatengeneza ndege kama hii, basi ajali ikitokea inawezekana abiria wakaokolewa wote appeared...
11 years ago
Tanzania Daima16 Apr
CCM wote wanawaza kama JK?
MWENYE kujua swali hili naomba anisaidie jibu. Kwanini wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) hawataki kutumia akili zao kufikiri, badala yake wanaabudu kile anachokisema Mwenyekiti wao wa Taifa, Jakaya Kikwete?...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-5i8ihrYDgBk/VVBVqxUNJeI/AAAAAAAAtj0/MVfg1IQaXLo/s72-c/wachaga.jpg)
Wachaga Wamegawanyika Kama ifuatavyo, Sio Wote ni Wajanja!
![](http://4.bp.blogspot.com/-5i8ihrYDgBk/VVBVqxUNJeI/AAAAAAAAtj0/MVfg1IQaXLo/s640/wachaga.jpg)
Wachaga wamegawanyika kama ifuatavyo, sio wote wajanja. Kuna:-1. Warombo wajanja sana kibiashara/wezi pia, wameajiri Wamarangu mjini ni walevi sana hupeleka wake zao vijijini wakileta kiburi mjini. Wanawake zao ni mama Huruma, wanaachia tu.. Ukioa mrombo ujue umeolea kijiji.
2. Kuna Wamarangu wazuri sana wa sura na umbo wanawachuna Warombo. Wanawake wana dharau sana na wanaume ni waoga kuliko wanawake. Mwanaume wa Marangu kupigwa na mkewe si jambo la ajabu.
3. Kuna Wakibosho wanafanana na...
9 years ago
Bongo529 Oct
Timbaland awataja Tupac na Notorious B.I.G. kama rappers bora wa muda wote
9 years ago
MillardAyo27 Dec
RIP mtu mnene kuliko wote duniani, kutana na picha za mwili wake wakati wa uhai wake
Unakumbuka au umwahi kusikia zile headlines za mtu mnene kuliko wote duniani, basi imenifikia stori yake mpya japokuwa sio njema mtu wangu. Andres Moreno jamaa ambaye anashikilia rekodi ya kuwa mtu mnene duniani amefariki dunia December 25 siku ya sikukuu ya Chrismass. Stori kutoka indianexpress.com zinaeleza Andres Moreno ambaye alikuwa anatajwa kuwa na uzito wa Kilogram […]
The post RIP mtu mnene kuliko wote duniani, kutana na picha za mwili wake wakati wa uhai wake appeared first on...
10 years ago
Bongo528 Feb
PAPASO: Sidhani kama wasanii wote wa filamu hawajatulia, mimi nimetulia — Salma Jabu (Nisha)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-EhxwFc-RS2Q/VPNPxQw62KI/AAAAAAAC0wI/IjrOTsEgYXY/s72-c/komba.gif)
RATIBA YA KUSAFIRISHA MWILI WA MAREHEMU MHE. CAPT. JOHN KOMBA ITAKUWA KAMA IFUATAVYO:
![](http://1.bp.blogspot.com/-EhxwFc-RS2Q/VPNPxQw62KI/AAAAAAAC0wI/IjrOTsEgYXY/s1600/komba.gif)
Kesho tarehe 02/3/2015 saa 1 asubuhi misa parokia ya Mt. Bikira Maria Mpalizwa iliopo mbezi , saa 4 asubuhi mwili utaelekea Karimjee kwa ajili ya kuagwa, na saa 8 mchana mwili utaelekea airport tayari kwa safari ya Songea. Mazishi yatafanyika tarehe 3/3/2015 kijijini kwake Lituhi.
Kufuatia Msiba huu shughuli za kamati hazitakuwepo kwa kesho tarehe 2/3/2015. Ukipata taarifa hii tafadhali mjulishe na mwingine.
IMETOLEWA NA;OFISI KATIBU WA BUNGE1.3.2015
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mMRmJLLEzVFWCUiXyPLgBuTtseUZ7gmxWZbxO02RgezHkL9n*J05rVPzIrPp5L2WNNVazL-Kc2NLTm1wxH9f3HNcVHjvhBYo/w.jpg?width=650)
JE, UNGEKUWA HUJAFANYIWA KITCHEN PARTY?!-2
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/e*Q7chwcF2bpXVUFq7ZDF-nQi-q9jzykeGN*X5BlRr*kJgaCNC0Nnh9gcuebQvLTYpBlS0L1V3srg-qimVA5mS5PZU07ixZE/bbb.jpg)
JE, UNGEKUWA HUJAFANYIWA KITCHEN PARTY?!