Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kama mwili wote ungekuwa jicho…!

p>TUMESHUHUDIA sote hapa nchini  jinsi vyama vya siasa vyenye ushawishi mkubwa vinavyosambaratika vikifikia hatua nzuri ya kuelekea Ikulu. NCCR-Mageuzi kilisambaratika na Chama cha Wananchi (CUF) nacho kikasambaratika kiaina. Sasa mgogoro...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

MillardAyo

Kama watatengeneza ndege kama hii, basi ajali ikitokea inawezekana abiria wakaokolewa wote

Wanasema usafiri wa ndege ni usafiri salama zaidi duniani…. kwenye hii jamaa wamewaza ni jinsi gani abiria wanaweza kutolewa kwenye ndege bila shida… kwenye hii video hapa chini utaweza kujionea mwenyewe… ili kuitazama video subiria sekunde kadhaa itatokea. A inovação na tecnologia e indústria aeronáutica continua a surpreender. Este modelo apresenta uma estrutura completa maciça […]

The post Kama watatengeneza ndege kama hii, basi ajali ikitokea inawezekana abiria wakaokolewa wote appeared...

 

11 years ago

Tanzania Daima

CCM wote wanawaza kama JK?

MWENYE kujua swali hili naomba anisaidie jibu. Kwanini wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) hawataki kutumia akili zao kufikiri, badala yake wanaabudu kile anachokisema Mwenyekiti wao wa Taifa, Jakaya Kikwete?...

 

10 years ago

Vijimambo

Wachaga Wamegawanyika Kama ifuatavyo, Sio Wote ni Wajanja!


Wachaga wamegawanyika kama ifuatavyo, sio wote wajanja. Kuna:-1. Warombo wajanja sana kibiashara/wezi pia, wameajiri Wamarangu mjini ni walevi sana hupeleka wake zao vijijini wakileta kiburi mjini. Wanawake zao ni mama Huruma, wanaachia tu.. Ukioa mrombo ujue umeolea kijiji.
2. Kuna Wamarangu wazuri sana wa sura na umbo wanawachuna Warombo. Wanawake wana dharau sana na wanaume ni waoga kuliko wanawake. Mwanaume wa Marangu kupigwa na mkewe si jambo la ajabu.
3. Kuna Wakibosho wanafanana na...

 

9 years ago

Bongo5

Timbaland awataja Tupac na Notorious B.I.G. kama rappers bora wa muda wote

Timbaland amedai kuwa Tupac na Notorious B.I.G. ndio rappers bora wa muda wote. Producer huyo mahiri alisema hayo kwenye mahojiano na kipindi cha ESPN cha First Take na kuulizwa ni rappers gani wakali kuwahi kutokea kwenye muziki wa hip hop. Pamoja na kuwataja rappers hao marehemu alimpa sifa zake pia Jay Z anayemchukulia kama kaka […]

 

9 years ago

MillardAyo

RIP mtu mnene kuliko wote duniani, kutana na picha za mwili wake wakati wa uhai wake

Unakumbuka au umwahi kusikia zile headlines za mtu mnene kuliko wote duniani, basi imenifikia stori yake mpya japokuwa sio njema mtu wangu. Andres Moreno jamaa ambaye anashikilia rekodi ya kuwa mtu mnene duniani amefariki dunia December 25 siku ya sikukuu ya Chrismass. Stori kutoka indianexpress.com zinaeleza Andres Moreno ambaye alikuwa anatajwa kuwa na uzito wa Kilogram […]

The post RIP mtu mnene kuliko wote duniani, kutana na picha za mwili wake wakati wa uhai wake appeared first on...

 

10 years ago

Bongo5

PAPASO: Sidhani kama wasanii wote wa filamu hawajatulia, mimi nimetulia — Salma Jabu (Nisha)

Muigizaji wa filamu Tanzania, Salma Jabu a.k.a Nisha amefunguka mambo mengi yanayomhusu ikiwemo filamu, mahusiano yake, tuhuma za kuwa miongoni mwa wasanii wa kike wanaosemwa kwa kuvaa nusu utupu nk. Amezungumza hayo kupitia mahojiano na kipindi cha Papaso cha TBC Fm na D’Jaro Arungu ambacho hurushwa kupitia TBC 1.

 

10 years ago

Vijimambo

RATIBA YA KUSAFIRISHA MWILI WA MAREHEMU MHE. CAPT. JOHN KOMBA ITAKUWA KAMA IFUATAVYO:

Marehemu Kapteni Komba enzi za Uhai wake.

Kesho tarehe 02/3/2015 saa 1 asubuhi misa parokia ya Mt. Bikira Maria Mpalizwa iliopo mbezi , saa 4 asubuhi mwili utaelekea Karimjee kwa ajili ya kuagwa, na saa 8 mchana mwili utaelekea airport tayari kwa safari ya Songea. Mazishi yatafanyika tarehe 3/3/2015 kijijini kwake Lituhi.
Kufuatia Msiba huu shughuli za kamati hazitakuwepo kwa kesho tarehe 2/3/2015. Ukipata taarifa hii tafadhali mjulishe na mwingine.
IMETOLEWA NA;OFISI KATIBU WA BUNGE1.3.2015

 

10 years ago

GPL

JE, UNGEKUWA HUJAFANYIWA KITCHEN PARTY?!-2

JUMANNE zinakuja kama mvua! Imeshafika Jumanne nyingine huku nikiamini wasomaji wangu wote mko na afya njema kabisa baada ya kuachana wiki iliyopita katika mada hiihii ya Je, Ungekuwa Hujafanyiwa Kitchen Party? Wiki iliyopita tuliishia pale ambapo nilisema nilijaribu kuchunguza kwa muda mrefu kuhusu wanandoa wanawake ambao walipata mafunzo ya Kitchen Party nikagundua kuwa, wengi wao wanapoingia ukumbini siku ya sherehe mawazo...

 

10 years ago

GPL

JE, UNGEKUWA HUJAFANYIWA KITCHEN PARTY?!

Mungu kweli mkubwa! Ni Jumanne tena ambapo naamini wasomaji wangu wa safu hii ya Mapenzi na Maisha mpo sawasawa mkiendelea kunifuatilia.Baada ya wiki iliyopita kumalizia mada yangu ya; HERI USIWE HEWANI KULIKO KUTOPOKEA SIMU, nimefikiria kuwaletea kitu kingine hapa. Hata hivyo, nawashukuru sana wasomaji wangu kwa mada ile kwani nilipokea simu nyingi za kunipongeza kwamba nilichokiandika kilikuwa cha kweli tupu. Mada ya leo ni;...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani